Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
This is pure African mama🤣🤣🤣🤣kanikumbusha mbalii sana👉Wata isoma namba😃🤣🤒
View attachment 2872399
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This is pure African mama🤣🤣🤣🤣kanikumbusha mbalii sana👉Wata isoma namba😃🤣🤒
View attachment 2872399
Najioneaga mageni tuYaah kwangu mimi umbea/habari za mastaa nmezicategory kama entertainment news...wew unauweka kundi gani?
Mbavu zangu🤣, Eti naenda chapa- na ile sketi🤒😃This is pure African mama🤣🤣🤣🤣kanikumbusha mbalii sana
Noted [emoji3578]Nafikiri siku hizi kudanga imekuwa fashion, ile aibu ya kuomba pesa, kwa wengi, imetoweka.
Wakati una shoot your shot unamsoma mtu, unamsikilizia falsafa zake zikoje.
Unapofanya interview kuomba kazi na meneja anayekufanyia interview nawe unamu interview kuona kama hii kazi itakufaa.
Kwa mfano, kama wewe stories zako ni za stocks na investment, real estate na bonds, halafu mwanamke anakuletea stories za Kajala na Shishi Baby, na unaona huyu hata utashi wa kufundishwa hana, na wewe unataka mtu wa kujenga naye business empire, ni wazi hamtaendana.
Sasa ukilazimisha kuwa naye, wakati tangu mwanzo kakuonesha upande wake, wewe ukang'ang'ania, hapo kosa ni lako.
Ukiona hamuendani, unambwaga.
Wanawake mbona wako wengi sana tu?
Sasa tatizo vijana wanaona kama ligi, kila mwanamke lazima umpate, hata kama hamuendani.
Mimi nilivyokuwa natafuta actively bado, nilikuwa nafuatilia wanawake, baadhi naona hatuendani, nawamwaga, inakuwa wao ndio wananifukuzia mimi, na hawanipati.
Ukitaka kula kila kitu, utakula mpaka sumu.
Anakuwa hakupendiMwanaume kavutiwa na wewe, karusha ndoano, umekubali. Usiku huo huo unaanza mizinga, naomba 150,000/ mama mdogo ana fibroid anatakiwa upasuaji. Kwa shingo upande unampa.
Baada ya siku mbili, mzinga mwingine tena, mdogo wangu kakamatwa na bodaboda ya wizi yuko OYSTERBAY inatakiwa laki 7 tu.
Jamani mizinga inauma, hata ukiombwa 10,000 tu.
Mtasugua sana bench hadi muolewe.
😂🙏🤝🤝Hiyo hoja ya "watakosa wanaume wazuri" kwa kiasi kikubwa hapa ni passive aggressive reverse psychology tu ya wanaume wanaojifanya wana huruma sana.
Wanawake wajinga wakikosa wanaume wazuri wewe mwanamme inakuuma nini? Si wamekosa kwa ujinga wao?
Hao wanaosema hivyo wengi wao ni wanaume wenye upwiru tu wanataka wanawake wajirahisishe kwao, katika mfumo unaolazimisha uwe na hela ili kuwa na mwanamke.
This is not an entirely altruistic argument.
Ni kama hoja ya Waislamu kutaka wanaume waoe wake wengi ili wawasaidie wanawake.
It is a thinly disguised self serving passive aggressive reverse psychology trick.
Sio wanawake ya kizazi cha sasa hawana hata aibu yaani hata ukimjibu "sina hela" anakuuliza "utakuwa nayo lini?Anakuwa hakupendi
Mwanamke akimpenda mwanaume ht kuomba Hela unawaza
Ndoa za kiislamu hazidumu ndiyo maana hazisumbui, Mwaisla wao wanaachana kwa kosa dogo tu.Kuoa wake wengi waliona mbali mke mmoja humuwezi bila competition.
Jiulize kwann ndoa za Kikristo ndio zinazosumbua zaidi kuliko za waislamu
Mkuu au hafikirii mbona kaka zake hawana pesa au Baba yake.Weka na [emoji441] mic mkuu wakusikie vizuri,
Mbaya sana halafu hawajuagi kitu hela hamna(anajua unamnyima) " yaani umwambie sina hela haelewi lakini unajiuliza anashangaa mimi sina mbona yeye hana hafikirii hilo?"
Hakika hili ndo jibu pekee kwa hao mapaka,hakikisha unakuwa na mwanamke anaeweza maliza shida zakeUsitafute mwanamke masikini wa mali na akili.
Kuwa na standards.
Vinginevyo, haya ni matatizo ya kujitakia.
Simple n clearNdoa za kiislamu hazidumu ndiyo maana hazisumbui, Mwaisla wao wanaachana kwa kosa dogo tu.
Mama mchunga 😃Simple n clear
Na masikini wa mali na akili wataolewa na nani?Usitafute mwanamke masikini wa mali na akili.
Kuwa na standards.
Vinginevyo, haya ni matatizo ya kujitakia.
SemaMama mchunga 😃
Niokoe kondoo Mimi, nita tulia tuhubiri neno 😃😝Sema
Aah we mbona hujaamua😆 tuNiokoe kondoo Mimi, nita tulia tuhubiri neno 😃😝