Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
💯💯💯💯💯Usitafute mwanamke masikini wa mali na akili.
Kuwa na standards.
Vinginevyo, haya ni matatizo ya kujitakia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
💯💯💯💯💯Usitafute mwanamke masikini wa mali na akili.
Kuwa na standards.
Vinginevyo, haya ni matatizo ya kujitakia.
We ni chui katika ngoz ya kondoo ni suala la muda tu utamla mchungajiNiokoe kondoo Mimi, nita tulia tuhubiri neno 😃😝
Wamamq wa hivi leo hawapo, mitoto ndio maana inaharibika👉Wata isoma namba😃🤣🤒
View attachment 2872399
Nataka niwe baba mchungaji, the one and only 😝🤗Aah we mbona hujaamua😆 tu
Ni suala la kumkiri Yesu kuwa Bwana na mwokozi wako binafsi
Amua leo
Humu Humu jf au 😃🤣🤔😂😂😂😂 bora hata wewe ilikua 150,000/=.
Mimi nilipoga u-turn nilipopigwa kizinga cha elfu 10 tuu...imagine..sasa 150k si ndio ningepagawa
Utajiri bila utawala mzuri wa fedha ni kuutafuta umasikiniSasa kama mwenyewe unajiita TAJIRI MKUU WA MATAJIRI ulitegemea nini mkuu
Mbona kuwa mchungaji sio suala la kutaka ndugu yangu 😆Nataka niwe baba mchungaji, the one and only 😝🤗
Acha roho mbaya basi😂😂😂😂 bora hata wewe ilikua 150,000/=.
Mimi nilipoga u-turn nilipopigwa kizinga cha elfu 10 tuu...imagine..sasa 150k si ndio ningepagawa
Hapana sio humu..humu sina personal ties mdogo angu..tunaojuana humu ni ki proffesional zaidi na ule ushkaji smartHumu Humu jf au 😃🤣🤔
Hamna tajiri asiyeithamini shilingi kumi yakeKwani wewe si TAJIRI MKUU WA MATAJIRI 😂😂😂😂😂
Kinachokuuma nini hapo
We mrusi wa mchongo tulia 🤣😃, nataka nitulie niokoke na Tayana-wog 🤗🤗😁We ni chui katika ngoz ya kondoo ni suala la muda tu utamla mchungaji
Usi jifanye huelewi😁, nataka tuunde msingi imara 😁😃.Mbona kuwa mchungaji sio suala la kutaka ndugu yangu 😆
Ni wito km hujaitiwa huko huwezi survive
Dah niko nachora start up biz 1 hivi, ngoja niki Anza kuona profit.Hapana sio humu..humu sina personal ties mdogo angu..tunaojuana humu ni ki proffesional zaidi na ule ushkaji smart
Mzeya nina bodaboda hapa njoo nikuoe upige kazi maana unanifurahisha na nondo zakoNawaambiaga kila siku haya mambo. Wanawake ni makahaba wanachotofautina ni kuna ambao wapo directly na wengine indirectly. Tatizo binadamu wanapenda kusikia yanayowafurahisha tu
Labda asiwe maskini wa akili, inawezekana. Lakini asiwe maskini wa mali na hali wewe ni maskini, hapo mtihani.Usitafute mwanamke masikini wa mali na akili.
Kuwa na standards.
Vinginevyo, haya ni matatizo ya kujitakia.
WakristoZipi zinaongoza talaka
Do that please uniokote huku jalalaniDah niko nachora start up biz 1 hivi, ngoja niki Anza kuona profit.
👉Nita share na wadau wangu wa faida 💪