[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] garbagePutin ni fyatu. Urusi ina maslahi gani yatakayopatikana kwa kuisumbua Ukraine? Nani anahitaji utawala wa Putin huko Ukraine?
Anapoteza bilions of dollars huku nchi yake imerudi nyuma kiuchumi inategemea zaidi kuuza raw materials na silaha?
Hata China wanamcheka kinafiki.
Wanawezaje kutengeneza silaha kali na wakati Wana uchumi hafifu?? Maana hii wengi hamjiulizagiNorth Korea? Economically, that's a failed state.
Wanachoweza ni kutengeneza tu silaha, basi!
Wameachwa mbali mno na South Korea
Chaliii [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]USA kaufyata
Leo hii Crimea hakuna kampuni itakayoenda kufungua biashara kwanin eneo Zima limepigwa sanction in short Crimea Haina faida kwa RussiaWatu wengi humu wanaongelea kuhusu Putin kiubaya lakini hamjui nia yake nini! Je anajilinda dhidi ya maadui wake kumkaribia?
Kwann Crimea ilichukuliwa na Russia? Because of the potential oil/gas reserves ya black sea.
Blinded mind hao achana nao [emoji16]Tatzo humu ndani watu wanamlaumu putin bila kujua sababu..
Afu nmegundua watz wengi hawajui vitu vingi wao kazi yao ni kusoma vichwa vya habar ya ulaya na us na kumlaum putin bila kujua hata chanzo ni nn...
Safi sana Putin.. wao si wahuni tuone sasa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Wanajiandaa kutoa press kutokea makao makuu Tandale.
[emoji16][emoji16]Jamaa wameshateka dunia Us Na nato wameshaufyata
Russia hayuko vizuri kiuchumi ukilinganisha na wenzake wa Western countries, hata kipato Cha mrusi mmoja mmoja ni kidogoKwamba Russia inafanya vibaya kwenye uchumi? Shabikia tu ccm inatosha
Mwambie huyo watu kama wana tech ya kurusha vyombo angani na kurudi unaanzaje kuwa chukulia poa SasaUnafikiri Vikwazo vina athari gari kwa Russia? N KOREA ana vikwazo toka miaka ya 50 huko lakini angalia mambo yake yanavyotisha. Ukiwekewa vikwazo akili inakaa sawa ndo unawaza kupamban zaidi tofauti na sisi tunaopewa msaada hadi wa sindano.
Unafikiri Rusia ni sawa na Malawi?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hampeleki tena jeshi kumsaidia rafiki yenu?
[emoji16][emoji16][emoji16]Hebu tupate wadhamini kidogo
View attachment 2129392
Mbona marekani alisema Putin anataka kuvamia Ukraine na kweli baadhi ya maeneo ameshachukua hizo habar zako kwamba hakuna vita ni za wapi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji91] pro Americans siwalisema hakuna Vita sijui nyoko nyokoo Russia waoga ,[emoji16]
Muue [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Si za kwao wew inakuhusu nn kuongelea hela za wanaume kwa hiyo wew unakila kumzidi putin wew nyenyew huna hata ubalozi wa nyumba kumi unahojije mtu mwenye kuiendesha linchi likubwa
[emoji16][emoji16][emoji16]Fikiria jamaa wana kuja apa wana mwambia mkuu wa majeshi ajisalimishe !!
Hivi jeshi letu na la Ukraine lipi lipo vizuri[emoji848][emoji848][emoji848]
Halafu wame muacha apigwe peke yke [emoji16][emoji16]NATO ndo wakulaumiwa..huwezi kuwa na jirani yako anatumika na adui zako....NATO wamemtia kiburi Ukraine...sasa haya ndo matokea yake....
Wewe ndo hutaki vita....Watu kama hawataki vita..military alliances ni za nini...NATO mpinzani wake alikua SOVIET UNION na warsaw pact...vyote hivi havipo....unafikiri ni kwa nini bado NATO ipo na inazidi kuexpand....NATO ndo chanzo cha haya matatizoWatu hawataki vita. Hakuna alieufyata. Hakuna anaetaka kuanguka kwenye mtego wa huyo Schezophrenic Putin. Watu wanaangalia humanity kwanza. Hakuna anaemwogopa Putin. Sema watu wenye akili hawataki vita.
Russia ina supply gas karibia Europe yote ...Je unajua hiyo Gas inatoka wapi?Leo hii Crimea hakuna kampuni itakayoenda kufungua biashara kwanin eneo Zima limepigwa sanction in short Crimea Haina faida kwa Russia
Achana nae huyo huwa ana jadili mambo mazito yanayo hitaji logic kwa mahaba badala ya kutumia knowledge ata kuchoshaHawataki vita lakini huko Syria, Iraq, Libya na kwingineko walipeleka majeshi yao kusaport vikundi haramu, kuna muda unajifanya uko neutral lakini mahaba yako kwa NATO yanaonekana waziwazi.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] labda wanataka kulimia mpungaMasilaha ambayo USA na NATO wamejilimbikizia ni kwa ajili ya kilimo cha mboga mboga