shadrackAmri
JF-Expert Member
- Oct 27, 2023
- 275
- 4,064
anal ndio nani humu?Siku hizi naona umeacha kumtag analyse kwenye mingle zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anal ndio nani humu?Siku hizi naona umeacha kumtag analyse kwenye mingle zangu
siwezi kujiita jina lakisengre kama hilo.sawa kibonge?Wewe
Mimi kwa ephen ni kipofu .nampenda sana ephen nampenda sana huyu binti.kwa hiyo hata uongea umbeya na maneno ya aina gani wala siwezi kukusikiliza kwa chochote.hata awe mwembamba kama sindano ya nguo bado nitampenda tu,lakini pia hata akiwa mnene kama pipa bado nampendaa tu kuliko jana.kila uchwao nazidi kumpendaaa zaidi ya janaanilitaka nimfanye hawarawangu SEMA ukibonge wake nimemkataa
naona mumekutana walugaluga watumia bando lakupima washamba mumeelewana
Lucas achana na huyo! Wewe unanijua jinsi nilivyo mzuri☺️Mimi kwa ephen ni kipofu .nampenda sana ephen nampenda sana huyu binti.kwa hiyo hata uongea umbeya na maneno ya aina gani wala siwezi kukusikiliza kwa chochote.hata awe mwembamba kama sindano ya nguo bado nitampenda tu,lakini pia hata akiwa mnene kama pipa bado nampendaa tu kuliko jana.kila uchwao nazidi kumpendaaa zaidi ya janaa
hilo sishangai kama unaweza kuipigia promo ccm kwabando lajero utashindwa kumpenda mtoto kibonge mwenye nyamazake🤣🤣🤣Mimi kwa ephen ni kipofu .nampenda sana ephen nampenda sana huyu binti.kwa hiyo hata uongea umbeya na maneno ya aina gani wala siwezi kukusikiliza kwa chochote.hata awe mwembamba kama sindano ya nguo bado nitampenda tu,lakini pia hata akiwa mnene kama pipa bado nampendaa tu kuliko jana.kila uchwao nazidi kumpendaaa zaidi ya janaa
Siwezi nikamsikiliza hata ingekuwaje hata asemaje na akili zake hizo za kitoto kitoto .ukiona mwanaume anaongea ongea hivyo ujuage hajakomaa akili na akili yake ni ya kike kike tu .Lucas achana na huyo! Wewe unanijua jinsi nilivyo mzuri☺️
Soma vizuri uelewe sababu ya mimi kuweka jero ilikuwa ni katika kufanya uchunguziKumbe una maisha magumu hivyo! Unaweka mb za jero!
Wewe kaa na akili yako ya kike kike hiyo. Kwa ephen nimetua mzima mzima .nampenda sana na kumpatia upendo wangu wotee.hilo sishangai kama unaweza kuipigia promo ccm kwabando lajero utashindwa kumpenda mtoto kibonge mwenye nyamazake🤣🤣🤣
Mimi namiliki warembo wazuri sana ongea namimi vizuri nikuunganishe nawarembo achana navibonge wenye shepu ya mwantumu shepu mshumaa sura kikombeWewe kaa na akili yako ya kike kike hiyo. Kwa ephen nimetua mzima mzima .nampenda sana na kumpatia upendo wangu wotee.
Haijalishi ulianza kutumia lini, inashindwa nn kumudu gharama? Kada kama ww kifurushi cha 500? Unalalamika?Mimi sijaanza kutumia voda jana wala juzi.ni mtumiaji wa muda mrefu sana
Naona unaumia sana juu ya mrembo wangu ephen.wivu umekujaa mpaka akili imekutoka kabisa .ndio maana bado unamfuatilia na kumzungumzia sana ,maana huamini kama yupo kwa Mwashambwa kisiwa cha utulivu na upendo .kama inakuuma basi kunywa sumu UFE tu maana huna faida yoyote hapa DunianiMimi namiliki warembo wazuri sana ongea namimi vizuri nikuunganishe nawarembo achana navibonge wenye shepu ya mwantumu shepu mshumaa sura kikombe
Umeelewa sababu ya mimi kununua mb za jero?Haijalishi ulianza kutumia lini, inashindwa nn kumudu gharama? Kada kama ww kifurushi cha 500? Unalalamika?
dogo angalia bandolako lajero hilo likikaribia kuisha niambie nikuunge lamwezi bila kikomo sawa?Naona unaumia sana juu ya mrembo wangu ephen.wivu umekujaa mpaka akili imekutoka kabisa .ndio maana bado unamfuatilia na kumzungumzia sana ,maana huamini kama yupo kwa Mwashambwa kisiwa cha utulivu na upendo .kama inakuuma basi kunywa sumu UFE tu maana huna faida yoyote hapa Duniani
Najinunulia kwa hela zangu Mwenyewedogo angalia bandolako lajero hilo likikaribia kuisha niambie nikuunge lamwezi bila kikomo sawa?
mume wakibonge
Ndio anaupiga mwingi sana.Mama anaupiga mwingi.