VODACOM naomba mnisaidie kwanini Mb zangu zinakwisha Haraka pasipo matumizi utafikiri kuna jini linakula?

VODACOM naomba mnisaidie kwanini Mb zangu zinakwisha Haraka pasipo matumizi utafikiri kuna jini linakula?

nilitaka nimfanye hawarawangu SEMA ukibonge wake nimemkataa

naona mumekutana walugaluga watumia bando lakupima washamba mumeelewana
Mimi kwa ephen ni kipofu .nampenda sana ephen nampenda sana huyu binti.kwa hiyo hata uongea umbeya na maneno ya aina gani wala siwezi kukusikiliza kwa chochote.hata awe mwembamba kama sindano ya nguo bado nitampenda tu,lakini pia hata akiwa mnene kama pipa bado nampendaa tu kuliko jana.kila uchwao nazidi kumpendaaa zaidi ya janaa
 
Mimi kwa ephen ni kipofu .nampenda sana ephen nampenda sana huyu binti.kwa hiyo hata uongea umbeya na maneno ya aina gani wala siwezi kukusikiliza kwa chochote.hata awe mwembamba kama sindano ya nguo bado nitampenda tu,lakini pia hata akiwa mnene kama pipa bado nampendaa tu kuliko jana.kila uchwao nazidi kumpendaaa zaidi ya janaa
Lucas achana na huyo! Wewe unanijua jinsi nilivyo mzuri☺️
 
Mimi kwa ephen ni kipofu .nampenda sana ephen nampenda sana huyu binti.kwa hiyo hata uongea umbeya na maneno ya aina gani wala siwezi kukusikiliza kwa chochote.hata awe mwembamba kama sindano ya nguo bado nitampenda tu,lakini pia hata akiwa mnene kama pipa bado nampendaa tu kuliko jana.kila uchwao nazidi kumpendaaa zaidi ya janaa
hilo sishangai kama unaweza kuipigia promo ccm kwabando lajero utashindwa kumpenda mtoto kibonge mwenye nyamazake🤣🤣🤣
 
Mimi namiliki warembo wazuri sana ongea namimi vizuri nikuunganishe nawarembo achana navibonge wenye shepu ya mwantumu shepu mshumaa sura kikombe
Naona unaumia sana juu ya mrembo wangu ephen.wivu umekujaa mpaka akili imekutoka kabisa .ndio maana bado unamfuatilia na kumzungumzia sana ,maana huamini kama yupo kwa Mwashambwa kisiwa cha utulivu na upendo .kama inakuuma basi kunywa sumu UFE tu maana huna faida yoyote hapa Duniani
 
Naona unaumia sana juu ya mrembo wangu ephen.wivu umekujaa mpaka akili imekutoka kabisa .ndio maana bado unamfuatilia na kumzungumzia sana ,maana huamini kama yupo kwa Mwashambwa kisiwa cha utulivu na upendo .kama inakuuma basi kunywa sumu UFE tu maana huna faida yoyote hapa Duniani
dogo angalia bandolako lajero hilo likikaribia kuisha niambie nikuunge lamwezi bila kikomo sawa?
mume wakibonge
 
Mama anaupiga mwingi.
Ndio anaupiga mwingi sana.
Screenshot_20240617-115839.png
 
Juzi juzi hapa kuna mtu alikuwa analalamika baada ya kujiunga bando la 35K kwa mwezi lakini siku moja tu akalala tena bila kudownload cho chote kuja kuamka asubuhi anakuta Voda wamepita na bando lote!

Nadhani Voda kuna vipindi system yao imesetiwa kutafuta MB kiholela tu ili waweze kupata faida kubwa kupindukia. Ni mtandao unaoongoza kufakamia mabando. Yaani unajiunga tu na kabla hata hujaamua ufanye nini unaambiwa bando lishakata! Na hakuna kitu utafanya!
 
Back
Top Bottom