The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,117
- 7,899
Hilomkuu ulitaka tufungaje mbona goal zuri hili [emoji41][emoji41]
Ni sawa siyo offside shabiki wa footballmkuu ulitaka tufungaje mbona goal zuri hili [emoji41][emoji41]
Inabidi vyura wakate rufaa maana Mnyama anaongezewa dakika nyingi na anafunga magoli ya ushindi. . Dakika 5 zote hizo za nini kama si upendeleoSiku hizi Simba ni mpaka jioniiiiiii.
Uliona maafadhe walivyokuwa walala ovyo Kama wanadegedege?Inabidi vyura wakate rufaa maana Mnyama anaongezewa dakika nyingi na anafunga magoli ya ushindi. . Dakika 5 zote hizo za nini kama si upendeleo