Kwa kweli bora angemtwanga Risasi tu huyu kichwa panzi Nape! Nchi hii ya waigizaji wakati wanaingia kwenye uwaziri kelele kibao! Akili kisoda hai naga matakoe hata siku moja!HV kwann yule jamaa hakumtwanga shaba palepale.?
Sipendagi hii tabia ya viongozi ku compare hali ya nchi yetu na nchi nyingine ......bas tuAkija front utackia anasema "WENZETU MAREKANI NA ULAYA UKO WANALIPA DATA BEI KUBWA ZAIDI UKILINGANISHA NA SISI, NI VILE TU SEREKALI YETU INA HURUMA NA WANANCHI WAKE"
MBona tulishangilia wizara imepata mwenyewe, acheni wivu sukuma gang nyieVifurushi vya Data kila siku vinaongezwa gharama na hawa Providers kama wapendavyo na Nape na wizara yake pamoja na TCRA wako kimya.
Leo asubuhi TIGO wamekuja na menu mpya. Nape atupishe maana hata Rais hamuondoi kama vile anafanya kazi katika kampuni binafsi ya Rais.
View attachment 2400109
Taratibu mkuu hapa si si kusema robo ya Serikali hakuna kitu na hapo hujapandisha kwa ma boss zao kazi ipoMawaziri mzigo ni 1. Makamba 2. Aweso 3. Mbarawa 4. Bashe. 5. Jafo 6. Mwigulu 7. Nape 8. Gwajima 9. Kairuki 10 Gwajima
Watu wanapozungumza mambo ya msingi unapaswa kuacha upumbavuMBona tulishangilia wizara imepata mwenyewe, acheni wivu sukuma gang nyie
Acha kulialia tafuta hela ya bandoWatu wanapozungumza mambo ya msingi unapaswa kuacha upumbavu
Wewe ni bwege sana, hivi unadhani wote waandikao humu ni kwa ajili ya kujipigania wao wenyewe?Acha kulialia tafuta hela ya bando
UMesomekaWewe ni bwege sana, hivi unadhani wote waandikao humu ni kwa ajili ya kujipigania wao wenyewe?
Humu wengine tumo kama voice of voiceless
Inaonekana we ni mke wa mtu , Na ni goli kipaAcha kulialia tafuta hela ya bando
Hii nchi wanapandisha bei ya vitu wanavyotaka na hamna kiongozi wa kututeteaVifurushi vya Data kila siku vinaongezwa gharama na hawa Providers kama wapendavyo na Nape na wizara yake pamoja na TCRA wako kimya.
Leo asubuhi TIGO wamekuja na menu mpya. Nape atupishe maana hata Rais hamuondoi kama vile anafanya kazi katika kampuni binafsi ya Rais.
View attachment 2400109
unaijua elimu ya nape lakini, hamna kitu mle ni jemba imeunga unga tu hiyo empty box kabisaVifurushi vya Data kila siku vinaongezwa gharama na hawa Providers kama wapendavyo na Nape na wizara yake pamoja na TCRA wako kimya.
Leo asubuhi TIGO wamekuja na menu mpya. Nape atupishe maana hata Rais hamuondoi kama vile anafanya kazi katika kampuni binafsi ya Rais.
View attachment 2400109
Kwani mkuu bei elekezi kwa kila MB 1 ni tshs?Vifurushi vya Data kila siku vinaongezwa gharama na hawa Providers kama wapendavyo na Nape na wizara yake pamoja na TCRA wako kimya.
Leo asubuhi TIGO wamekuja na menu mpya. Nape atupishe maana hata Rais hamuondoi kama vile anafanya kazi katika kampuni binafsi ya Rais.
View attachment 2400109
Wengine tupo maporini mkuuFungeni Fiber au Copper ni gharama nafuu mno.
#RudiNyumbaniKumenoga