Vodacom wamefungia line yangu ikiwa na milioni 10 kwenye M-PESA

Vitasa kila mahali
 
Voda wameishapita na hiyo 10m..tafuta pesa nyingine
 
Kufanya miamala kwa line ya kawaida ndio 5 million, ila ukiiongezea uwezo unaweka hadi 100 million kutoa hadi 50 million kwa siku
 
Bora ufanye kwenda huko TCRA ili upate ushahidi na vigezo vya kuwaburuza mahakamani wote Voda na TCRA, tafuta wakili mzuri umfahamishe hiyo kadhia yako.

Huoni wamekupa shida juu ya pesa yako mwenyewe??.
Una uhakika kama hizo ni pesa zake mwenyewe?

Yeye aende TCRA halafu atakuja kutupa mrejesho

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nilisha liwa laki6 zamani na mimi nikaviziaaawee nikapita na laki2.3 nikaing'atang'ata nikapita hivi[emoji124][emoji124][emoji125][emoji125] pesa kwenye simu zinapita tu sio kutunza
 
Utawekaje pesa nyingi kiasi hiko M-Pesa?? Binafsi mm siamini sana kuweka pesa zaidi ya M1 ktk line hizi za simu. Binafsi nana Bank tu ndio sehemu salama za kuweka pesa nyingi, huku kwengine ni kujitafutia matatizo tu!! Katka hii mitandao tunaweka pesa za kufanya miamala midogo midogo kama kununua vocha, kununua bidhaa mtandaoni n.k. Anza kuweka pesa Bank
 
Vodacom ni wajinga kweli ni haki yako Wairekebishe iyo laini na pesa zako pia ziwepo vodacom ni kampuni kubwa inatkiwa ni sehemu safe kama mteja kuweka fedha zako ingekuwa upo huku nje faster tu una wa sue sa hii tz imejaa ujinga mwingi, ww wasikilize wanachokuambia fatilia wakiwa wanakuzingua nenda mbele ya sheria, nilisahau tu ktoa hela na nimesahua password ni laki moja kwenye Mpesa now ni 4years sijarudi bongo nikirudi tu wakinizingua watanitambua πŸ˜‚πŸ˜‚ sheria na taratibu lazima zifatwe, nilivyo ningewaanika uko mitandaoni hao voda mbona wangeitapika iyo hela πŸ˜‚
 
Duh! 10ml unahifadhi m-pesa! Haupo serious na uchumi wako. Anyway nenda TCRA.
Ikishindikana nenda kwa waziri wa habari na mawasiliano.
Kupanga ni kuchagua mkuu, kuweka mil 10 mpesa haimaanishi jamaa hayuko serious na uchumi wake. Yamkini ana akaunti nyingine mbalimbali na hiyo 10M kwake ni 'petty amount of money' kwa ajili ya matumizi madogomadogo ya dharura.

Sasa aende TCRA kwa minajili ipi? Yeye anatakiwa apambane na Vodacom Tanzania. Ukimwambia aende TCRA hiyo ni sawa na kupata changamoto kwenye akaunti yako ya NMB halafu uende ukalalamike BOT! Ni kweli kwamba BOT ni 'guarantor' wa NMB, kama ilivyo TCRA kwa Vodacom, lakini 'guarantor' ana mipaka yake kimamlaka, hawezi kufanya kila kitu. Yeye asumbuane na Vodacom, kama Vodacom wanasema TCRA ndiyo wenye shida basi haohao Vodacom ndiyo wawasiliane na TCRA and not the other way round.

Ushauri wangu; njoo kwetu Wanasheria tukuandikie NOTISI/BARUA YA MADAI NA KUSUDIO LA KUSHTAKI (DEMAND NOTICE AND AN INTENTION TO SUE), tuwape siku 3 wawe wamekulipa fedha zako za kwenye mpesa sambamba na kukulipa fidia ya usumbufu, vinginevyo tutawapeleka Mahakamani.

Yani hapo kuna hela mkuu, tena wakishaipata tu hiyo barua kutoka kwa Mwanasheria (Wakili) utambembelezwa wewe mpake ushangae! Naziona dalili za kuipoteza hiyo fedha ukiishia kulialia tu huku mitandaoni for what is rightful yours. Nchi ngumu sana hii [emoji1]..

Pambana mkuu. Ohooo!
 
Ulitamani kazi ya laana Sana Bora hujapata tu
Duniani kote, haipo kazi yenye sifa ulizozitaja wewe hapa. Kazi ambazo zinaongoza kwa kuonekana kuwa zina baraka, ni za watumishi wa Mungu pamoja na zile za dharula, zinazohusiana na uhai wa mwanadamu moja kwa moja, mojawapo zikiwa ni za udaktari na za usalama, uPolisi ikiwa ni mojawapo ya kazi hizo.

Ni kwa sababu watu wote wanaofanya kazi hizi wanaonekana kuwa ni immediate surbodinates wa Mungu moja kwa moja kwa sababu Mungu ndiyo chanzo cha uhai!
 
Mimi nilishaacha mambo ya kutumia simu kuweka hela. Hela iliyopo kwenye mpesa ni kwa ajili ya vocha tu. In the order of 10000's tu
 
Kutamani kuwa polisi Ni kukosa hekima...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…