Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Labda pepo mchafu kupitia uvuvi tu analaana nyingi tu kama atakuwa mbinguni mm siendi
 
You're full of shi.t as always. Can't even make a basic coherent argument. Sense of intellect is at best peasant level.
 
Leo within you kakuambia ukweli. Hili naungana na wewe 100%.
 
Watakatifu ni watu waliofanikiwa kuwa wema mpaka wakati wa vifo vyao na wanaishi na Mungu Mbinguni. Kuwa mtakatifu haimaanishi haukuwahi kutenda dhambi. Hauufahamu hata msemo maarufu wa every saint has a past and every sinner has a future!!?
 
Labda pepo mchafu kupitia uvuvi tu analaana nyingi tu kama atakuwa mbinguni mm siendi
Yan ata mimi nikimkuta yule ibilisi mbinguni siingii humo. Huyu muovu lilikuwa onevu sana kwa mengi. Ukiachilia mbali waliouliwa, kuteswa, kupigwa marisasi nk nyumba yetu kimara aliizoa tu akaitupia kule kama takataka tu hadi leo tunatangatanga familia nzima pa kukaa hatuna. Iliniuma mnoo aliposema wa kabila lake wao wasibomolewe sababu walimpa kura!!!!!! Dah!! Magufuli maguful maguful weee...nimekuita mara tatu magu....utachomwa moto sana wee babu.
 
Mbingu gani hiyo inayopokea roho za watu makatili, muuaji, mbinafsi na mwizi kama jpm? Labda kama kuna mbingu ya kisukuma
 
Sitacheka kama leo jamani😀😀
 
Aliua, kuteka, kupora na kutesa watu bila sababu zozote za maana.
Mungu muweza wa yote akapindua meza.
Laana ya kijana wa makambako aliyepigwa na polisi, Tiss na jeshi kwa amri yake itamuandama popote alipo.
Mungu hasamehi waovu
Huyu alikuwa muovu
Inaonekana akili yako inafikiri Mungu ni Lisu
 
Kutubu lazima itangazwe kwenye tv?
 
Vipi, anaongoza malaika?
 
Mbona unateseka sana dada?

Unafikri Mungu ni Lisu au amsterdam?
 
Mungu siyo babako wala mamako
 
Wewe pia ni taktaka za chooni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…