Okay ila iyo Tourage ni ya mwaka gani mzee baba ili nijue najichanga vipi mpaka kibubu kijae [emoji3][emoji3][emoji3]. Maana kila kukicha vyuma vipya vinaingia road .Hizo ni gari 2 tofauti mkuu! Tiguan ni mdogo wake Touareg
Wajameni, majanga yapo kila siku. Kubwa ni kukaza moyo. Ukiendeza majanga huto furahia maisha ya dunia hii vingine unafumbia machoTatizo ukizifikisha hizo hela ujue ni una majanga ya pesa kila kona kiasi kwamba gari inakuwa last option sasa na huwezi kutoa almost 50m uweke mchuma uani[emoji848]
Labda kwa Code.Mkuu nani anabakia mnipe hata mmoja nipate chochote kitu, njaa itatuua
Hio hapo baba ni design ya 2018 to present kibubu inatakiwa iwe inameza hela ndefu kwa siku!Okay ila iyo Tourage ni ya mwaka gani mzee baba ili nijue najichanga vipi mpaka kibubu kijae [emoji3][emoji3][emoji3]. Maana kila kukicha vyuma vipya vinaingia road .
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka picha mkuuIla mimi mwaka huu anvuta E350 AMG , kabla hatujamaliza 31 December 2021.. hii ndoto nilianza nayo toka January ππππ haitokuwa fair isipotimilika
OkayHio hapo baba ni design ya 2018 to present kibubu inatakiwa iwe inameza hela ndefu kwa siku!
Hii code nime fail kuifungua π₯²π₯²Labda kwa Code.
Ana bapa na huwa ana chora hapo tu
Kujikinga tu mkuu na hizo kazi za jamaa hapo siunaona hata yeye kavaa mkononi tu.. ? Mkononi ni muhimu kuliko chiniππGloves za nini tena mkuu.. ππ
Tununue tu magari. Vw au Rover 110XHii code nime fail kuifungua π₯²π₯²
Ndivyo jinsi mambo yalivyo.. hahahaha!!Yeah kadri zinavyoongezeka unaanza kuizoea hela! Kipindi huna uwezo wa million ulikuwa unahisi ni kama fortune kuimiliki ila ukifika levels za 10M unaona tena 1M ni kama laki tu! Ukisogea ukafikia kwenye 100Ms unaona hizi za chini ni za kama buku buku hata kwa kumsimulia mtu anaona heee!
Kweli mkuu sasa Barakoa muhimu ukijinga upumuaji ukiwa unachora, UVIKO 19Kujikinga tu mkuu na hizo kazi za jamaa hapo siunaona hata yeye kavaa mkononi tu.. ? Mkononi ni muhimu kuliko chini[emoji2][emoji2]
Umeongea point sana, mm binafsi nimejiwekea malengo baada ya 5 years nivute European carIn short kama unatenga $20,000 unaendesha European car nzuri na latest sana. Tunakomaa na magari ya zamani bure tu. Ukijipangia malengo yako hushindwi
No that is too much for now.....Umepata bei, hope soon unaagiza mkuu
Vile spare parts zilivyoshiba bei na zilivyo serious kupatikana!πIn short kama unatenga $20,000 unaendesha European car nzuri na latest sana. Tunakomaa na magari ya zamani bure tu. Ukijipangia malengo yako hushindwi
Unataka kukaa chini unakaa bonyokwa?Watu wengi hawataki kukaa chini chini [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata IST mpya yenye 0 km hupati kwa 35M.0 km?
Hehehee! Muongezee na Lamborghini Urus, Bentley Bentayga.Vw Touareg vs Audi Q7 vs Porsche Cayenne.
All the best.
Gari hili ni zuri kama ulivyo sema but bei yake sio mkasi kiviile ukilinganisha na gari la size hiyo hiyo from Japan, size ya engine ya Touareg ni kama Prado kwa maana Toyota so nakutia moyo mkuu, you can make it bro.Hii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this whip!
View attachment 1841907View attachment 1841908View attachment 1841909
Ukiniambia ni gari gani naiwaza na kuiota kuja kuimiliki basi this is it. Its a dream hasa ile V6! Wenye uzoefu na hii gari karibuni mnipe mchanganuo wa wasifu wake zaidi sababu muda ukifika sitajiuliza mara 2!
π π π mkuu ukiangalia haraka haraka unaweza kusema hivyo ila hii ni Touareg, ni kubwa kwa Tiguan.Sawa na BMW X3 na BMW X5
π π π mkuu ukiangalia haraka haraka unaweza kusema hivyo ila hii ni Touareg, ni kubwa kwa Tiguan.Sawa na BMW X3 na BMW X5