Vijana msiwe na shaka tafrija hapa jukwaan lazima lifanyike na mikia wote wataarikwa ili wajue kuwa sisi ni timu bora tanzania,....Ha ha ha.Haya bwana na tusubiri na sisi itabidi tufanye kitafrija kidogo hapa hapa jukwaani.
Basi mkuu wewe utaandaa hiyo tafrija mie nitakuwa msaidizi wako au unasemaje ?
Vijana msiwe na shaka tafrija hapa jukwaan lazima lifanyike na mikia wote wataarikwa ili wajue kuwa sisi ni timu bora tanzania,....
Mngesubiri kwanza tushangilie wote ushindi uwanjani halafu tukitoka hapo turudi tena jukwaan kupanga mipango ya kufanya tafrija.
nasema nyie polisi toeni ubingwa mapema kabla sijakasika.......
Poa poa mkuu, mie nasubiri kwa hamu hiyo tafrija michango napokea mimi kama unataka kutuma mchango ni PM ili nikupe namba ya kutumiaJibu hili hapa
↓↓↓↓
Poa poa mkuu, mie nasubiri kwa hamu hiyo tafrija michango napokea mimi kama unataka kutuma mchango ni PM ili nikupe namba ya kutumia
Mie sio Etoile du Sahel waliodhulumu mikia fc, huo mchango nitawakilisha kwa mods hapa Invisible ili kuipa uhai zaidi jamiiforum. nifah uwe wa kwanza kutoa mchangoHa ha ha,acha hizo wewe.Utapeli mwisho msimbazi Jangwani hakuna hayo mambo.
Tafrija inafanyika hapa hapa jukwaani.
Nikiwa Nimenyong'onyea Kwani Sina Jinsi Napenda Mchezo Wa Soka ILA Wasiojua Mpira Leo Wanatawazwa Japo Maji Hakuna Kuwa Mabingwa Wapya Wa Ligi Kuu Ya Tanzania VPL. Wanasimba Tutabaki Kuumia Shingo Tu Tukiona Wenzetu Kila Mwaka Wakipaa Angani Na Ndege.........Inauma Mno Lakini Ndiyo Hivyo Tena. Lakini PIA NAOMBA NITOE OMBI LANGU LA DHATI KWA Wana Yanga Wote Ndani Na Nje Ya Nchi Kuwa Hebu TUNAOMBA MTUSAIDIE MUWEZE KUWAFUNGA Azam FC Ktk Mtanange Wenu Wa Wiki Ijayo Mkishatoka KUPIGWA ( Kufungwa ) Magoli 11 - 0 Na Etoile Sportive Du Sahel Jumapili Ijayo. Kama MKITUFANYIA Wena Huo Basi Sisi Wana Simba Wote Tutarudisha Ule Udugu Wetu Na Nyie. Naipenda Sana Yanga ILA Nawapenda Kuliko Maelezo Etoile Sportive Du Sahel.
Hongereni Wana Yanga Kwa Kuwa MABINGWA Leo Jioni Na Tukutane Taifa!!!!!!!!
nifah ule ubuyu wetu pendwa kule kwa MMU wa lara 1 mbona siuoni aisee?? nimechelewa kuingia humu sasa kila nikifekenyua wapi sioni kitu!! aliweka ile episodi ya mchaga?? nina ugwadu nayoJibu hili hapa
↓↓↓↓
Mkuu bado kidogo, mambo yatakapokuwa tayar utapata kila kitu kupitia hapa hapa jf-sports.Bado niko job, vp mlioko uwanjani maana saa 10 hii
Dogo ana wivu huyu, halafu mgeni anapata wapi ujasiri wa kuwakejeli wazawa ?, ANGEKUWA SOMALIA KESHAPIGWA RISASIKavumbagu:'' simon msuva anafunga magoli ya offside marefa wanamuchia ili awe mfungaji bora lakini hana uwezo kama mimi''
Sasa kipi kilichokufurahisha hapo ?Nimecheka sana humu ndani baada ya ndugu mmoja kusema SIMBA ni MABORESHO ya YANGA FC.
Kavumbagu:'' simon msuva anafunga magoli ya offside marefa wanamuchia ili awe mfungaji bora lakini hana uwezo kama mimi''
Nimemfuatilia kama mechi tano za hiv karibuni ila sijamuona hata akifunga goli la offside likakataliwa na refa.Kavumbagu:'' simon msuva anafunga magoli ya offside marefa wanamuchia ili awe mfungaji bora lakini hana uwezo kama mimi''