Vurugu Umbwe-Lyamungo: Miaka 12 baadae

Vurugu Umbwe-Lyamungo: Miaka 12 baadae

Kijana wa umbwe aliyeuliwa alikua anaitwa Ayubu
Hadi Leo Kuna kitanda chake kikiwa kimetandikwa vizuri na vitu vyake baadhi vilevile, Kama sehem ya historia ya kumuenzi
Duuuh ni huzuni kwa kweli.
 
Ndiyo maana siku hizi watoto wa boarding wanawekewa mafuta ya taa kwenye chakula kwa makusudi kwa sababu inaaminika yana control hormones hizo za testosterone na adrenaline n.k kupunguza munkari.

Everyday is Saturday............................... 😎
Kuumizana tu matumbo lol, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Way back wakati Niko uboyizini pale mbeya mjini.

Katika mashindano ya umiseta ulizuka mzozo Kati ya camp letu na watoto wa meta .

Kuna mwamba mmoja alikuwa anajiona gangwe kwakuwa ana mbavu Nene Sasa ana akawa anajipitisha mbele ya wanaume huku kapigilia pafyuma kavaa kitozi nyangema huku analeta Maneno mbofu mbofu.

Wana walimvumilia Ila wakasanda akatoa Jamaa mmoja nae mbavu Nene Lina makonfidensi Kama yote si unajua wanyakyusa wa tukuyu .

Akamtandika na mnyororo kichwani Jamaa damu hizi
Halafu msela akawa kajificha hamjui Nani kamchabanga na mnyororo kichwani .

Akaanza panic pale anataka kupigana na asie mjua

Walimu wake wakamtuliza Ila wapi eti akataka kuwachenjia walimu [emoji1787].

Like tukio na mengine nadhani yaliwapa warning watoto wa shule zingine pale mbeya kwamba "mkienda uboyizini kuweni wapole la sivyo mtapigwa"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakati tupo uboyzini kwenye school baraza,

Hoja ilitolewa na mwanafunzi,

Mwalimu wa biology atoke mbele aje athibitishe kitaam,

Kitu gani aambacho kipo kwenye mafuta ya taa Ni kwa namna gani kinaweza kucontrol hiyo mihemko

Ilishindikana,

Mwishowe uo utaratibu wa kuwekewa mafuta ya taa kwenye vyakula ukafutwa rasmi
Bado wanaweka had sasa, shule za jinsia 1,
 
Yap, alijikuta captain akaendelea kurusha mawe watu wakaanza kumkimbiza akafika uwanjani alipigwa mtama hapo ikawa kila aliyemkuta anapiga sio mwenye fyekeo, mwenye mpini, mwenye jiwe, wengine walimkanyaga dah so sad mpaka akakata kamba. Kuna mwenzake nae alikimbilia nyumbani kwa mpishi alichomolewa akaletwa pembeni ya mwenzake. Nae alikula kichapo ila wakamuonea huruma. Akapelekwa KCMC ila nadhani alipona. Na kama alipona nadhani alipata kilema cha maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Nafikiri Songea boys ndo wamepigana Vita na wapinzani wengi zaidi.
Moja kulikua na Vita ya hatari Kati ya Songea boys na Chuo cha Ualimu Songea(Matogoro) kwenye historian Vita hii ilishawahi ua mtu, wanachuo walikua wanapigika vibaya Sana

Pili, kulikua na Vita Kati ya Songea boys na Shule ya sekondari(ya jeshi) Ruhuwiko: Vita hii ulikua inaanzia Uwanja wa Majimaji then inasambaa mtaani. Ruhuwiko walikua wanaumia Sana kwenye mapigano haya
Songea boys ulikua ni zaidi ya Jeshi
Umesahau Box 2 na kigonsera (Kaigo boys), [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila zamani ilikua ni unyama unyama.
 
Jamaa walimuulia uwanjani karibu na bweni ka mkapa,. Niliposoma uzi huu nimejikita ninawaza mengi ila mkuu washule wa lyamungo kipindi hicho wandiba alikua mtu wa kuchochea ghasia maana ninakumbuka tulienda pale form 5 tukakuta o,lever wanapiga fimbo usiku kama nn ila wandimba alikua akituelezea komaa nyie ni wakiume. Dah ninatamani tuwasiliane na ww mtoa uzi wenda tuna fahamiana.
Enzi hizo wandiba anakuja nilikua form 2 akawaanatupa tips za kufaulu pepa.
Yule mzee alikua anasema baadhi ya masomo ukipata zero sawa tu ila wekeza nguvu zako upige above 30.

2008 tupo F3 wakatutimua and funny enough nikachaguliwa advance pale.
 
UMBWE

-UNIVERSITY OF MOSHI BUT-NOT WELL ESTABLISHED

-MTI SAFI

Moja ya kiburudisho changu ni pale vijana wapya wanapoandamana kwa kukenua na kufurahia kuangalia mlima kilimanjaro unapotokezea nyakati za joto hahah

Pale Vijana wanapowaza mara mbili mbili kuoga maji ya baridi na akioga anataka kila mtu ajue bwenini

Vijana wanapotengeneza butter ya pala chichi kuitumia kama blue band kwenye mikate.

Nakumbuka nilipokuwa mgeni kuna njemba moja kubwa iliongea dorm kwetu muda wa msosi, na akafunga mlango na akamwambia kila mtu atoe shiling hamsini, hamsini ndio utoke nje

Jumamosi watu wanaandamana kwenda kombo kukutana pisi za kichaga

Wakati wa vumbi miguu ilikuwa inajaa vunza kila kona.

Vijana walikuwa hadi wanatembea na wa mama wanaouza chakula... na mara ya mwisho nilisikia vijana walitembea na mke wa olomi mwenye kibanda.. pale nje hahah

A level na O level wanazinguana kuhusiana na TV hadi zinachapwa..

Etc..

Life was crazy maan..
 
kulikuwa na hizi battle na ilikuwa ni balaa
1. Milambo Vs Tabora Boys
Milambo washatembeza sana kichapo kwa Tabora Boys mpaka Tabora Girls tena Tabora Girls walienda kumwaga hadi Divi.
2. Musoma Tech Vs Mara Sec
hii ilikuwa vita zaidi wa Wanchari na Wairege,wakikutana lazima kiumane
3. Tambaza Vs Azania
battle la watoto wa mjini hili
4. Musoma Day ( Morembe) Vs Songe
5. Zanaki Vs Jangwani

battle za kitaaluma
1. Mzumbe Vs KIBAHA vs Ilboru
Hatari sana daaaah.
 
Ila kwanini hizi shule za kilimanjaro miaka ya 80s-90s na early 2000s walikua wanapenda hivi fujo?

Yaan ukikaa hivi ni kili boys, mara sijui kibohehe, sijui nn mara umbwe, sijuu lyamungo etc.

Nina wajomba zangu kama 6 hv kwa memmories miaka ya 90s wakiwa hapo kilimanjaro boys yaan walikua ni matatizo. Wasiende kucheza match aisee na shule yoyote na hilo lilori lao.. ni chaos kila mahali. Wale wajomba nilikua nashangaa ni shule gani hizo uniform zao eti wameprint sura zao. Yaani wooteee... sijui na wao walikua genge la wahuni ama ni nn.
Walimuendesha kweli padre komu.. yaan walikuja iwezea ile.shule baada ya kuondoa boys tupu ikawa day tena mixture. Daily home wageni wa kili boys munawaona halaf later taarifa za uhalifu.

Ila umbwe na lyamungo[emoji119][emoji119] its very touching. Umenifanya nijisikie na mm niko haunted as if nilisoma kwa wanaume hapo aisee
Kubwa tambaza na azania, baba angu mzazi alipelekwa minaki, daaaah.
 
Ndiyo maana mimi sikutaka kwenda uboyizini. Shule zote nilisoma mchanganyiko. Kesi kubwa zilikuwa ni kulana kimasihara kwenye vichochoro vya madarasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Toa ujinga hapa..sisi tugombee nyie Weruweru au Kibosho girls? Kwanza mlikua mnanuka Midomo na mauniform yenu! Kitu ilikua ni Machame girls..unajua kitu kinaitwa UMACHA? UMBWE MACHAME.
Mgogoro wa Umbwe na Lyamungo ni wa kurithi..na sio sababu ya wanawake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee khaaaah.
 
Kipindi Cha makange umbwe ilifika hatua tukaiita college kulikua na ufree uliopitiliza, migomo isiyoisha, walikua kupigwa ilikua ni mwendo wa uharamia, watu mda wowote wanaenda kulewa mpaka wanazima wanaletwa shuleni hawajielewi

Lyimo nae shule ilikuja mshinda tatizo ni wapigaji wa hela, shule ikawa na matatizo mengi kwa migomo ikawa kila uchwao

Kipindi hicho form one mpaka six sare moja ya kaki ukija mgeni ukikaa vibaya unaingizwa mjini sababu huwezi tofautisha uyu ni form one au form four
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom