Uchaguzi 2020 Vurugu zatawala ofisi za CCM Dodoma baada ya walioshinda kura za maoni Udiwani kukatwa

Mtu huyu anabembelelezwa kupanda karandinga lakini ingekuwa wa upande mwingine angeshakula mitama kibao
 
Vumilieni kidogo maana October 2020 Lissu anakuwa rais na Salum Mwalimu anakuwa makamu wa rais wa JMT mnafanya mnavyotaka.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Kamati kuu waliwahi kuandamana na kuimba wanaimani na Lowasa lakini bado huyo Lowasa akakatwaa!
Lowasa akahamia upinzani wale waliondamana wakahama nae na kauli mbiu ya UlipoTupo nako akafeli
Msingi wa CCM uko imara sana bado, muda utatoa majibu

Hiyo ndio ccm tuijuayo ambayo ni chama dola. Mwl JK alisema, Bila CCM imara hatuna taifa imara. Huyu aliye kusanya watu na kuwa shawishi kufanya vurugu lazima aadhibiwe kwa mujibu wa taratibu za katiba ya chama. Awe fundisho kwa wengine wanaotarajia kufanya hivyo. Asitake kuuaminisha umma kuwa chama nguli Afrka CCM hakina taratibu za kushughulikia tatizo lake.
 
Walialia kwanini sasa wakati taratibu za chama zao ndivyo zinavyosema kwamba hata kama umeshinda kuna vikao vingine vya chama ndivyo vyenye mamlaka ya kukamilisha zoezi la uteuzi ambapo kuna kukatwa ama kuendelea kama wajumbe walivyotaka
 
UJANJA AMBAO CCM WAMEUFANYA MWAKA HUU, WANATAKA WATANGAZE MAJINA TAREHE ZA MWISHO WA KUCHUKUA FORM ILI UKIKATWA HATA UKIKIMBILIA UPINZANI UNAKUTA FORM HAZITOLEWI TENA SABABU MWISHO WA KUCHUKUA FORM NI TAREHE 25/08/2020.
Kwani huko upinzani hakuna wagombea Hadi mlalamike kuwa waliokatwa CCM hawana muda wa kuja kwenu? Mpayukaji Hana watu wa kumfaa huko Hadi mmuletee waliokatwa CCM?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…