Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Wangalau sasa wapinzani wanaanza kuzungumza lugha inayotakiwa kutufikisha pazuri, tunajua njia hii ni ngumu na italeta mauji, lakini kwa hapa tulipofikia hakuna njia nyingine nje ya njia hii, tena ilichelewa. Tunajua fika woga umewaingia wananchi, lakini kwenye madai halali uwoga itabidi uondoke.