Vyama 7 vilivyojitoa uchaguzi wa mitaa vyatoa tamko la pamoja

Vyama 7 vilivyojitoa uchaguzi wa mitaa vyatoa tamko la pamoja

Wangalau sasa wapinzani wanaanza kuzungumza lugha inayotakiwa kutufikisha pazuri, tunajua njia hii ni ngumu na italeta mauji, lakini kwa hapa tulipofikia hakuna njia nyingine nje ya njia hii, tena ilichelewa. Tunajua fika woga umewaingia wananchi, lakini kwenye madai halali uwoga itabidi uondoke.
 
Maamuzi ya vya 7 ya siasa matokeo yakitoka vya kufaidi vyama 2...
 
...waache uoga - wajifunze upinzani wa wenzao wa Uganda...hii habari ya kuonewa huruma haipo

.....walikosea sana pale walupopigwa mkwara kuhusu mikutano ya nje walipogwaya...na ile ya ukuta
We uko upande gani
 
Naona hapa kuna viongozi wengine wenye nafasi kubwa serikalini wanatumiwa vibaya na mabeberu ili kuchafua sifa ya Dr Rais Magufuli!! some leaders in sensitive positions are incognito being used by armyworms who are not happy with the current Aggressive efforts of revamping the Tanzanian economy! In certain vernacular it is literally translated as “THEY ARE ACTING LIKE HEADLESS GRASSHOPPERS”!![emoji38][emoji38]Yetu macho! The simplest advice is for the President to get rid of such headless grasshoppers!



duh

Mkuu utakuwa na degrees zaidi ya 4
 
Hapa ni kuanza mandalizi ya kutafuta kile chombo kinacho safiri maili mia tuu hakuna kubembekezana tunapo dai haki. Mimi nipo tayari kwa Mafunzo na kwenda mstari wa Mbele kuyafurusha haya Mafisadi ya CCM.

Nikifa nikipigania haki ntafurahi zaidi kuliko kufa kwa utapia mlo wakati Malofa wanakwepua EPA, Escro, Kagoda, 1.5tirion ten% ununuzi wa Ndege nk. Huu ndio uzalendo halisia. Wakati tukisoma tulikuwa tukiimba wimbo huu wakati wa mchaka mchaka.

Bembeleza bembeleza bembeleza ooh sasa tumechoka kujibembelezaaa, nchi tano mbili za mstarii wa mbele. Sasa tumechoka kujibembelezaa.

Wimbo mwingine huu.

Idiamini wa Uganda kajifanya Ukamandaa, Atazikwa bila sandaa, hiyo ndiyo lazimaa.

Uzalendo ulijengwa kwa kuwa tayari kufa kulitetea taifa lako na sio kutetea Mafisadi na udharimu.
 
Ok
tapatalk_1552155620493.gif
 
Wangalau sasa wapinzani wanaanza kuzungumza lugha inayotakiwa kutufikisha pazuri, tunajua njia hii ni ngumu na italeta mauji, lakini kwa hapa tulipofikia hakuna njia nyingine nje ya njia hii, tena ilichelewa. Tunajua fika woga umewaingia wananchi, lakini kwenye madai halali uwoga itabidi uondoke.
Wangalau sasa wapinzani wanaanza kuzungumza lugha inayotakiwa kutufikisha pazuri, tunajua njia hii ni ngumu na italeta mauji, lakini kwa hapa tulipofikia hakuna njia nyingine nje ya njia hii, tena ilichelewa. Tunajua fika woga umewaingia wananchi, lakini kwenye madai halali uwoga itabidi uondoke.

TUSIHUBIRI WALA KUFURAHIA VURUGU.

Siyo sahihi wala busara kutafuta suluhisho kwa kuhubiri na kushabikia vurugu.

Wawezaje kutamani kuingia kweye mauaji? Unataka damu ya nani imwagike? Unamfurahisha nani kwa kuhubiri vurugu?

Kumbuka: Nchi ikiingia kwenye vurugu watu wengi wataathirika. Tutapoteza maisha ya Watanzania wenzetu, baadhi watakuwa vilema, na wengine huenda wakawa wakimbizi. Kati ya wahanga wa vurugu unaweza kuwa wewe, watoto wako, ndugu na jamaa zako, mimi, na wengineo wengi.

NI kitu gani hicho tumekikosa hadi vurugu iwe ndiyo mbadala sahihi?
 
Kwa hili tangazo peke yake, yaani uthubutu wa kulitoa hili tangazo ni signal tosha ya kuonyesha kuwa tumeanza kubadiri phase ya kisiasa, kutoka kwenye siasa za kikondoo kwenda kwenye siasa za kuheshimiana.

Hao CCM wanaotegemea majeshi, ipo siku majeshi wanayoyaaminia yatasema tumechoshwa na magomvigomvi yenu sasa ili amani iwepo nchini basi na nyinyi CCM kaeni pembeni. Hapo ndipo watakapojua kuwa wapo madarakani kwa hisani ya majeshi yetu na haohao wanaweza siku moja kuamua kutowaunga mkono na kuamua kuwaweka pembeni vilevile, Wajifunze historia ya uturuki pale wanasiasa walipoharibu nchi kwa sababu ya michezo ya kipuuzi ya kisiasa

Ni uchanga wa kisiasa mno na ni hatari kwa Taifa na mustakbali wa CCM yenyewe kujiegemeza kwenye majeshi kama nguzo muhimu ya wao kutawala, wajue tu kuna dynamic shift kwenye mifumo, kutokana na generations kubadirika, hao wanaowapa nyadhifa kwenye vyombo vyetu vya dola waliosomeshwa na Nyerere, waliozaliwa kipindi cha chama kimoja wanaishiashia sasa. Sasa CCM na viongozi wenye upeo mfupi wakiendelea kudhani mambo yataendelea kuwa kama yalivyo, na kwamba society itatake it kwa sababu wana nguvu ya majeshi behind, basi wawe makini sana. Majeshi hayanaga rafiki wa kudumu bali maamuzi yao hutegemea circumstances husika. CCM wasije wakajutia huko mbeleni, wakati wao ndo wanapanda mbegu za kuvuruga nchi leo hii
 
TUSIHUBIRI WALA KUFURAHIA VURUGU.

Siyo sahihi wala busara kutafuta suluhisho kwa kuhubiri na kushabikia vurugu.

Wawezaje kutamani kuingia kweye mauaji? Unataka damu ya nani imwagike? Unamfurahisha nani kwa kuhubiri vurugu?

Kumbuka: Nchi ikiingia kwenye vurugu watu wengi wataathirika. Tutapoteza maisha ya Watanzania wenzetu, baadhi watakuwa vilema, na wengine huenda wakawa wakimbizi. Kati ya wahanga wa vurugu unaweza kuwa wewe, watoto wako, ndugu na jamaa zako, mimi, na wengineo wengi.

NI kitu gani hicho tumekikosa hadi vurugu iwe ndiyo mbadala sahihi?

Njia zote za kupata haki hazitekelezwi na wala hujawahi kukemea hali hiyo kisa wanaoumizwa na kudhalilishwa kwako ni sawa. Basi ngoja wanaoteswa huku ww ukiwa kimya watumie njia itakayowafanya wapate haki yao. Kama ulikalia kimya unyama na uhayawani basi subiri uchukue mrejesho wa kukalia kimya uovu.
 
Back
Top Bottom