Vyama 7 vilivyojitoa uchaguzi wa mitaa vyatoa tamko la pamoja


COWARD? NOT ME.

Labda neno "coward" lipotoshwe; mimi siyo coward. Hoja yangu ni AMANI badala ya Vurugu. Sote (pamoja na wewe) ni wadau na wanufaika wa amani. Unaandika na kutoa mawazo kwa kuwa uko hai. Wafu huwa hawaongei!

Umemtaja Acquilina na wengineo kama wahanga. Unataka tuwe na vurugu ili idadi ya wahanga iongezeke? Mimi nasema HAPANA. Na nitaendelea kutetea hoja ya amani hata kama kwa kufanya hivyo utanibatiza majina ya kebehi.

Watanzania tuna nchi moja (TANZANIA) ya kuishi na kuendesha maisha yetu kama raia.

Usijidanganye kwa hoja potofu kwamba njia ya vurugu itatupeleka kwenye amani zaidi na maisha bora zaidi ya haya tuliyo nayo. Mwenyezi Mungu Atuepushe na njia unayoihubiri.
 
Wangesubiri 2020 pangekuwa patamu zaidi huu uchaguzi mdogo utawasanua CCM watajipanga 2020
 
Hakuna wa kuandamana zaidi ya porojo tu! Kwanza nani anawasikiliza hao jamaa walikokosa hoja, kwa kifupi labda wafanye maandamano kuelekea Twitter, JF Facebook na Instagram.
 
Siku zote ukombozi unaacha makaburi kadhaa lakini wengi hukombolewa
 
Hakuna wa kuandamana zaidi ya porojo tu! Kwanza nani anawasikiliza hao jamaa walikokosa hoja, kwa kifupi labda wafanye maandamano kuelekea twaeeter, JF Facebook na Instagram.
Kila siku siyo jumapili
 
Ataandamana zito ,mbowe ,na sipunda wakiwa na wake zao huo ujinga wa kuwafanya vilema watoto wa maskini harafu mnarudi CCM awamu hii hakuna


State agent
 
Siku zote ukombozi unaacha makaburi kadhaa lakini wengi hukombolewa

Kunguru mwoga huepusha bawa lake; na waoga ndio huandika historia za mashujaa.

Wewe ni mmoja wa watakaokuwa mashujaa? Watakaoandika historia yako utapenda waandike ni kwa nini ulianzisha au kushiriki vurugu?

Maisha na damu yako vina thamani kubwa. Hupaswi kuhatarisha usalama wako wa wengineo kwa hoja nyepesi.
 
kila siku siyo jumapili
 
Nongwa!
Ukishajitoa maana yake unafanya shughuli ingine
Mambo ya kusema watu wasubiri maelekezo mengine,ni kutaka kuharibu haki za wengine baada ya plan ya kujitoa kushindwa kuwika
Kitendo cha Jaffo kurudisha wagombea wote waliokatwa,kimewaacha hoi wapinzani hawakujiandaa kwa hilo wala kulitarajia
Sasa wameamua kuuvuruga kabisa,hilo halitawezekana
 
Na vibaraka ni wale waitakiao mabaya serikali iliyowekwa na watu baada ya uchaguzi huru na haki.
Kwahiyo kwa akili zako za ngamia serikali ikiwekwa madarakani kwa mfumo huo na ikibainika ina borongo na kukandamiza haki za raia wake iachwe tu//you are very corrupt
 
Kuna jamaa huwa anahamisha magori sijui ni Cheka Zecha au Jecha
 
Absolutely true

"Kukinukisha" is the only way left in this government ruled by "gangs"
 
Wakati wa kutikisa miti ni sasa, asemaye kesho ni mwongo.

Vyama vya upinzani havihitaji watu wengi sana kuitikisa hii miti. Wakipatikana wananchi wenye 'commitment' ya hali ya juu kuyaunga mkono haya maandamano kwa sasa hivi inatosha kabisa.

Yakishaanza na kuenea, umma uliochoka na vitimbi vya CCM utalipuka wenyewe bila ya kuhimizwa. Shida ipo kwenye kuanza tu basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…