Haya maajabu nafikiri yanapatikana Tz pekee, hata Burundi sidhani kama yapoNi kituko kwelikweli,eti mgombea yeyote lazima athibitishwe na barua rasmi ya chama chake inayomtambulisha kuwa huyu ni mgombea wetu,ina maana chama kinatoa dhamana,lakini chama kinapoamua kujitoa katika uchaguzi eti haikubaliki mpaka mgombea mwenyewe ajitoe yeye mwenyewe,huu upuuzi wa wapi?
Tanzania amani ya kutosha kabisa.....tusiombee tufikie zilipofikia nchi zingine tukajua kuitofautisha amani na vita.Wewe ni coward kwani sasa hivi familia ngapi zinateseka,Ben wa saanane, aquilina,azory gwanda,mwangosi, watu 21 Pemba, mawazo, kinondoni uchaguzi mdogo ,makamanda kibao wameuliwa na greengurd, miili Coco beach,kibiti,na wengine wengi waliofilisiwa na kesi za uchumi kwenye jasho Lao hiyo Amani unayohubiri ipo wapi? WA kina kabendera? Tatizo bado hayajakufika ndo mana unaongea huo upuuzi wako tulia dawa ikuingie#anaitwaroma#tumehuruyauchaguzi#katibampyayawarioba
They are doing nonsense
Kwa hili tangazo peke yake, yaani uthubutu wa kulitoa hili tangazo ni signal tosha ya kuonyesha kuwa tumeanza kubadiri phase ya kisiasa, kutoka kwenye siasa za kikondoo kwenda kwenye siasa za kuheshimiana.
Hao CCM wanaotegemea majeshi, ipo siku majeshi wanayoyaaminia yatasema tumechoshwa na magomvigomvi yenu sasa ili amani iwepo nchini basi na nyinyi CCM kaeni pembeni. Hapo ndipo watakapojua kuwa wapo madarakani kwa hisani ya majeshi yetu na haohao wanaweza siku moja kuamua kutowaunga mkono na kuamua kuwaweka pembeni vilevile, Wajifunze historia ya uturuki pale wanasiasa walipoharibu nchi kwa sababu ya michezo ya kipuuzi ya kisiasa
Ni uchanga wa kisiasa mno na ni hatari kwa Taifa na mustakbali wa CCM yenyewe kujiegemeza kwenye majeshi kama nguzo muhimu ya wao kutawala, wajue tu kuna dynamic shift kwenye mifumo, kutokana na generations kubadirika, hao wanaowapa nyadhifa kwenye vyombo vyetu vya dola waliosomeshwa na Nyerere, waliozaliwa kipindi cha chama kimoja wanaishiashia sasa. Sasa CCM na viongozi wenye upeo mfupi wakiendelea kudhani mambo yataendelea kuwa kama yalivyo, na kwamba society itatake it kwa sababu wana nguvu ya majeshi behind, basi wawe makini sana. Majeshi hayanaga rafiki wa kudumu bali maamuzi yao hutegemea circumstances husika. CCM wasije wakajutia huko mbeleni, wakati wao ndo wanapanda mbegu za kuvuruga nchi leo hii
labda tukakodi waandamanaji kutoka uarabuniKuna tetesi kuwa kuna maandamano yasiyo na kikomo hivi karibuni
...umewaza na kuandika kiboya sana mkuu-..tungekuwa na watu wengi wa aina yako dunia pangekuwa mahali pa hovyo sana.
....stupid you !
Huu ndio ufala wa viongozi wa vyama vya upinzani,sasa wewe unajiita mpinzani harafu hautaki kupingwa tena,kama ni hivyo na wewe usipinge ili muende sawa, by the way mkiitisha maandamano hakikisheni ninyi viongozi ndio muwe mbele ili kuleta dhana ya uongozi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Karibu Afande Sirro kuna watu wanataka kupapaswa.
Genge la vibakaGenge la wakora
Dar es Salaam. Siku moja kabla ya kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa kuanza vyama saba vilivyojitoa katika mchakato wa uchaguzi huo vimetoa tamko vikiwataka Watanzania kujiandaa kwa maelekezo mengine yatakayotolewa baada ya kumalizia mashauriano.
Kauli hiyo imetolewa leo Jumamosi Novemba 16 baada vyama vya CHADEMA, ACT-Wazalendo, CHAUMMA, CCK, NCCR Mageuzi, UPDP na NLD kutoa msimamo wao.
Akiongea kwa niaba ya vyama hivyo, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Profesa Abdallah Safari amesema vyama hivyo vilishatoa matamko ya kujitoa kwenye uchaguzi huo kutokana na ukiukwaji wa kampuni na sheria.
Amesema baada ya vyama hivyo kujitoa kushiriki uchaguzi, serikali kwa upande wake ilitoa matamko mbalimbali yaliyokuwa yakitofautiana na kuchanganya, licha ya kuwa yalikuwa yakitolewa na mtu mmoja ambaye ni Waziri wa TAMISEMI.
"Baada ya wagombea wa vyama hivyo kujitoa kwenye uchaguzi huo, waliwajulisha wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kuhusu kujitoa na kwa ngazi ya Taifa baadhi ya vyama vilimjulisha waziri wa TAMISEMA kwa barua,” amesema Profesa Safari.
Baada ya kushauriana vyama hivyo vimeazimia kwa pamoja havitashiriki kwa vyovyote “kwenye kampeni na uchaguzi unaoenda kinyume na kanuni za uchaguzi” na vimewataka wanachama na wafuasi kutoshiriki.
Aidha vyama hivyo vimetoa wito “uchaguzi huo ufutwe na mchakato wake uanze upya kwa mustakabali wa amani ya Taifa.”
"Tunatoa wito kwa umma na Watanzania wajiandae kwa maelekezo yoyote yatakayotolewa baada ya mashauriano yanayoendelea miongoni mwa vyama na makundi mengine ya jamii," amesisitiza Profesa Safari.
Maazimio mengine ni pamoja na kuundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi ambayo itakuwa na jukumu la kusimamia uchaguzi zote nchini.
Amesema vyama hivyo vimetambua kauli na wito uliotolewa na viongozi wastaafu na viongozi wa dini nchini na kuwaomba kuchukua hatua za kuingilia kati mapema ili kunusuru amani ya Taifa.
Akizungumza katika mkutano huo, Kiongozi wa ACT –Wazalendo, Zitto Kabwe amesema Watanzania wanatakiwa kuwa tayari na kutega masikio wakati vyama hivyo na makundi mbalimbali yakiendelea na mashauriano.
"Hatutakubali kuendelea kupingwa kwa miaka minne mfululizo. Tunawataka Watanzania kuendelea kutega masikio wakati hatua zikiendelea ikiwemo mashauriano na makundi mbalimbali," amesema Zitto.
Mwenyekiti wa Chaumma, Hashimu Rungwe ametumia mkutano huo kufafanua taarifa zinazoelezwa kuwa vyama vingine vilivyojitoa havikuweka wagombea, akisema si za kweli na akashauri zipuuzwe.
"Mimi niliweka wagombea 25O ambao walitolewa wote wanaosema sikuweka wagombea muwapuze," alisema Rungwe
CHANZO: Mwananchi
Mimi pia nitaandamana cyo mbowe tu.Huu upumbavu mwisho CHATO.Ataandamana zito ,mbowe ,na sipunda wakiwa na wake zao huo ujinga wa kuwafanya vilema watoto wa maskini harafu mnarudi CCM awamu hii hakuna
State agent
Upuuzi tuKwa hili tangazo peke yake, yaani uthubutu wa kulitoa hili tangazo ni signal tosha ya kuonyesha kuwa tumeanza kubadiri phase ya kisiasa, kutoka kwenye siasa za kikondoo kwenda kwenye siasa za kuheshimiana.
Hao CCM wanaotegemea majeshi, ipo siku majeshi wanayoyaaminia yatasema tumechoshwa na magomvigomvi yenu sasa ili amani iwepo nchini basi na nyinyi CCM kaeni pembeni. Hapo ndipo watakapojua kuwa wapo madarakani kwa hisani ya majeshi yetu na haohao wanaweza siku moja kuamua kutowaunga mkono na kuamua kuwaweka pembeni vilevile, Wajifunze historia ya uturuki pale wanasiasa walipoharibu nchi kwa sababu ya michezo ya kipuuzi ya kisiasa
Ni uchanga wa kisiasa mno na ni hatari kwa Taifa na mustakbali wa CCM yenyewe kujiegemeza kwenye majeshi kama nguzo muhimu ya wao kutawala, wajue tu kuna dynamic shift kwenye mifumo, kutokana na generations kubadirika, hao wanaowapa nyadhifa kwenye vyombo vyetu vya dola waliosomeshwa na Nyerere, waliozaliwa kipindi cha chama kimoja wanaishiashia sasa. Sasa CCM na viongozi wenye upeo mfupi wakiendelea kudhani mambo yataendelea kuwa kama yalivyo, na kwamba society itatake it kwa sababu wana nguvu ya majeshi behind, basi wawe makini sana. Majeshi hayanaga rafiki wa kudumu bali maamuzi yao hutegemea circumstances husika. CCM wasije wakajutia huko mbeleni, wakati wao ndo wanapanda mbegu za kuvuruga nchi leo hii