Mlinganisho wako ni mlinganisho mfu.ANC wanakumbana na upinzani uliojipanga.DA waliwahi kutawala South Afrika,Zuma na Malema ni zao la ANC wanajua kujenga hoja za kufanya wachaguliwe licha ya kutoshinda.
Hapa Tanzania tuna wapinzani waganga njaa tu na kusema eti walishinda Urais 2020 ni wishful thinking.
Wapinzani wa Tanzania ni wakosoaji wa matukio bila sera mbadala za kiuchumi,mazingira na uhusiano wa kimataifa.
Lini ulisikia wame table bajeti mbadala na jinsi watakavyo finance hayo matumizi.
Hawa ni wafukuzia ruzuku tu ili kushibisha matumbo yao.Na hawana utamaduni wa kukubali kushindwa. Mfano Msigwa kashindwa lakini anadai kashinda.
Wewe hujui siasa za RSA unazisikia kwenye TV tu.
Hivi ni lini DA ilitawala South Africa. Au kwako ukiona chama cha wazungu tu assumption zako ndiyo chama kile kile cha De clark....!?
Anyway, hivi katika vyama EFF au MK unaviona ni vyama ....!? Jaribu kutofautisha movement na chama. Kwa RSA vyama ni ANC, IFP, DA may be na UDM. Vingine ni waganga njaa tu. Ndiyo maana kuna vyama zaidi ya 100. Kudai kuwa RSA wana vyama bora vya upinzani kuliko Bongo ni kukosa ufahamu tu kudharau Watanzania. Syestem yao ilikuwa designed in a way haisupport ukuaj wa vyama. Actually, itachukua muda mrefu sana huko mbeleni chama kimoja kutawala peke yake.
Mlinganisho wako ni mlinganisho mfu.ANC wanakumbana na upinzani uliojipanga.DA waliwahi kutawala South Afrika,Zuma na Malema ni zao la ANC wanajua kujenga hoja za kufanya wachaguliwe licha ya kutoshinda.
Hapa Tanzania tuna wapinzani waganga njaa tu na kusema eti walishinda Urais 2020 ni wishful thinking.
Wapinzani wa Tanzania ni wakosoaji wa matukio bila sera mbadala za kiuchumi,mazingira na uhusiano wa kimataifa.
Lini ulisikia wame table bajeti mbadala na jinsi watakavyo finance hayo matumizi.
Hawa ni wafukuzia ruzuku tu ili kushibisha matumbo yao.Na hawana utamaduni wa kukubali kushindwa. Mfano Msigwa kashindwa lakini anadai kashinda.
Mkuu, wewe hujui siasa za RSA unazisikia kwenye TV tu na kuzisoma kwenye magazeti tu. Yaani hii EFF inayoambulia 8 to 10 % kila uchaguzi unataka uilinganisha na vyama vya Tanzania!? EFF ambayo kila mwaka Wabunge wake wanatolewa kwa nguvu Bungeni kwa utovu wa nidhamu. EFF hawa wanaomtukana Rais wao Bungeni live kwenye Television ya Taifa. .... Au unazungumzia EFF ipi ... labda ya Namibia!!?
Halafu, ni lini DA ilitawala South Africa. Au kwako ukiona chama cha wazungu tu assumption zako ndiyo chama kile kile cha De clark....!?
Anyway, hivi katika vyama EFF au MK unaviona ni vyama ....!? Jaribu kutofautisha movements na vyama. Kwa RSA vyama ni ANC, IFP, DA may be na UDM. Vingine ni waganga njaa tu kuliko hata hivi vya Tanzania. Ndiyo maana kuna vyama zaidi ya 100. Kudai kuwa RSA wana vyama bora vya upinzani kuliko Bongo ni kukosa ufahamu tu kudharau Watanzania. Tatizo la Tanzania ni system mbovu ya uchaguzi na wizi wa kura wa chama tawala. kama uchaguzi ungeendeshwa kama RSA .... mbona CCM tayari ingelishakuwa history Bongo.
Kwa RSA, System yao ilikuwa designed in a way haisupport ukuaji wa vyama. Actually, itachukua muda mrefu sana huko mbeleni chama kimoja kutawala peke yake. Wazungu alitaka hiyo system ya PROPORTIONAL REPRESENTATION ili wajihakikishie kuwa wanakuwa represented Bungeni. Kama wangekuchua hii system kama yetu Tanzania Wazungu wasingonekana Bungeni na pia ingekuwa ni vigumu sana kuiangusha ANC.