SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Hizo ni propaganda tu zinazofanywa na walioshindwa. Kama ni kweli kura zimeibiwa unaenda mahakamani. Hata hivyo katika nchi zote zinazofanya Uchaguzi, Afrika, Ulaya, Asia na kwingineko, suala hili la kuibiwa kura huwa linaibuka. Na walioshindwa.Wizi wa kura unaofanywa na CCM wakisaidiana na vyombo vya usalama ndio sababu hatuna uchaguzi huru,JPM aliiba kura za wabunge nchi nzima, wapinzani wanashinda sana na sio siri
JPM ameikuta CCM. na Ameiacha.Wachaneni na siasa za majitope na kufukuzana na makaburi.
Wapinzani Tanzania wapo toka 1990's Magufuli alikuwepo kuwaibia kura huko nyuma. Narudia, kampeni zenu za kumlalamikia mtu mmoja ambaye hakuwa na moja ama mbili za siasa ni Uwenawazimu.
Fanyeni utafiti. Hizi lalama kuwa ni Afrika pekee ndimo kunapovurugwa kwa Uchaguzi ni Upotoshaji wa hali ya Juu.
Nani anajua Ujerumani na CDU wamekuwa huko tangia 1945? Merkel amekaa miaka mingapi?
Nani anajua Democrats wamekuwa na Uraisi kwa miaka mingapi kablabya Republicans kuchukua Urais?
Hawa wakina Allen Kilewella wanafanya Propaganda hasi za Kisaikilojia. Wanapandikiza uwongo na wakati huo huo wanakuza Ukuu wa Mzungu.
Fanyeni critical analysis.
Kama Faiza anavyouliza. Shuleni mlienda kusoma nini?