Mkuu siku hizi haya magojwa yasiyo ya kuambukizana ni mengi sana, naomba umsamehe bure tu.digba sowey umeona wenye matendo ya ki-CCM kama SYLLOGIST! alivyoandika???
Hivi kweli ukiwa na akili timamu unaweza kuuliza ni lini CCM ilikataa kushindwa!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu siku hizi haya magojwa yasiyo ya kuambukizana ni mengi sana, naomba umsamehe bure tu.digba sowey umeona wenye matendo ya ki-CCM kama SYLLOGIST! alivyoandika???
Hivi kweli ukiwa na akili timamu unaweza kuuliza ni lini CCM ilikataa kushindwa!?
Wizi wa kura unaofanywa na CCM wakisaidiana na vyombo vya usalama ndio sababu hatuna uchaguzi huru,JPM aliiba kura za wabunge nchi nzima, wapinzani wanashinda sana na sio siriIts a zero sum game.
Dola sio peremende unamega halafu unampatia mwenzio amalizie, hilo hakuna.
================
CHADEMA uzeni sera na sio vitisho.
Naona umepaniki,utasubiri sana,ila kama unadhani kutatokea vurugu sababu ya CCM kushinda uchaguzi hapo umepotosha,chini ya ccm ,nchi iko salama hata kwa miaka 1000,usijitie hofu bure kijanaMnasema hivi lakini kwa katiba hii ya kipuuzi mtakuja kuichoma hii nchi halafu katiba lenu la kipuuzi linazuia kupeleka mahakamani matokeo ya urais yaliyoibiwa ccm ndio italeta machafuko kwenye hii nchi kizazi cha wajinga wa vijijini kinaondoka wanabaki vijana wasiopenda upuuzi wenu wa kusifiana kijinga.
Mkuu hapo ndipo hawa jamaa wanaonekana hamnazo, watu tunajadili mambo ya vyama yeye anamtuhu mtu, ukiambiwa watu wana mashaka na elimu yako, una anza kunaleta matusi.Aisee!!!
Yaani CCM huwa sijui mkoje... Mbowe anaongoza nchi gani!!??
Mku payroll ya nini tena?Mkuu name upo kwenye payroll?
ccm hawezekani kimkakati, haiwezekani kisiasa na haiwezekani kiuchumi iko kisasa mno, imeshindikana....Leo nimeunganisha matukio ya vyama vikongwe vya siasa Afrika ambavyo vimeonesha weledi wake na kufanya nchi zao ziwe za kupigiwa mfano Afrika.
Chama cha kwanza ni chama cha United National Independency Party (UNIP) Cha Zambia ambacho kilitawala Zambia tangu mwaka 1964 hadi mwaka 1991.
Mwaka 1991 UNIP walishindwa uchaguzi dhidi ya chama cha Movement for Multparty Democracy (MMD) kilichokuwa kinaongozwa na Fredrick Chiluba.
Mpaka Leo Zambia kumetulia na UNIP wamekubaliana na matokeo.
Chama cha pili ni Kenya Africans National Union (KANU). Mwaka 2002 Muungano wa vyama vya siasa uliojulikana kwa jina la National Rainbow Coalition (NARC) ulishinda uchaguzi.
KANU wala hawakushughulika kupindua matokeo kama tabia ya CCM ilivyo wanaposhindwa uchaguzi. Maisha ya KANU huko Kenya yanaendelea na siasa zinasonga mbele.
Chama cha mwisho ni African National Congress (ANC) cha Afrika ya kusini.
Kwenye uchaguzi wa mwaka huu ANC imekataliwa na waafrika ya kusini. ANC wamepata asilimia arobaini (40%) wakati vyama vingine vimepata Asilimia sitini (60%).
ANC wala hawajifaragui kukubali matokeo badala yake wanatafuta kuunda Serikali na vyama vya siasa vingine walivyoshindana navyo kwenye uchaguzi.
Afrika nzima kwenye purukushani za mapinduzi na machafuko ni kule ambako vyama vilivyoko madarakani hukataa matokeo au mabadiliko.
CCM tabia yake ya kupora matokeo imewanogea hadi kwa Sasa hawaoni tena aibu kupora uchaguzi.
Walianza mwaka 1995 kule Zanzibar na baadae mwaka 2019/2020 wakaiba uchaguzi mzima.
Iko siku tabia hii ya kukataa kushindwa ya CCM italiletea Taifa letu madhara.


Ya hao unao wayetea.Mku payroll ya nini tena?
Kwa ivo CCM ikishindwa kutatokea vurugu???ila kama unadhani kutatokea vurugu sababu ya CCM kushinda uchaguzi hapo umepotosha,chini ya ccm...
Mmmh,mkuu mimi mwalimu,nipo huku liwale-lindi,ukitaka kunipata mimi njoo moja kwa moja hadi shule ya msingi mpigamiti,utanipata,sina cheo Ccm tofauti na kuwa na kadi ya chama.Ya hao unao watetea.
Ccm haiwezi kushindwa,maana vyama ponzani havina muekekeo wa kunitetea mimi mtanzania wa chini tofauti na inavyofanya ccmKwa ivo CCM ikishindwa kutatokea vurugu???
Mwalimu na mwana CCM....😛😛😛😛Mmmh,mkuu mimi mwalimu,nipo huku liwale-lindi,ukitaka kunipata mimi njoo moja kwa moja hadi shule ya msingi mpigamiti,utanipata,sina cheo Ccm tofauti na kuwa na kadi ya chama.
Bora wazungu kuliko wale blacksDemocratic Alliance pamoja na ku merge na vyama vingine kama Inkatha bado ni chama kile kile cha kulinda privileges za wazungu.Same old wine in a new bottle.
Hujagundua hivyo wewe ni naive na wishful thinker.
Vyama vya upinzani vikutetetee dhidi ya nani!??Ccm haiwezi kushindwa,maana vyama ponzani havina muekekeo wa kunitetea mimi mtanzania wa chini tofauti na inavyofanya ccm
Mkuu huna cheo kivipi wakati wewe ni mwalimu, tena mzowefu.Mmmh,mkuu mimi mwalimu,nipo huku liwale-lindi,ukitaka kunipata mimi njoo moja kwa moja hadi shule ya msingi mpigamiti,utanipata,sina cheo Ccm tofauti na kuwa na kadi ya chama.
Wakifanya kweli mnawateka na kuwapiga risasi kama beni na lisu wakipoa kama mbowe mnawazodoa sasa mnalolitaka litafika tuuuuCcm haiwezi kushindwa,maana vyama ponzani havina muekekeo wa kunitetea mimi mtanzania wa chini tofauti na inavyofanya ccm
Kabisa... Hawa jamaa ni zaidi ya uongo, maana wanadanganya kwenye kila jambo hadi uongo wenyewe unaonekana kuwa ni ukweli.Wakifanya kweli mnawateka na kuwapiga risasi kama beni na lisu wakipoa kama mbowe mnawazodoa sasa mnalolitaka litafika tuuuu
Haliwezi fika,kizazi chako hadi cha nne kitapita bila kushuhudia haya unayoyatamani,Wakifanya kweli mnawateka na kuwapiga risasi kama beni na lisu wakipoa kama mbowe mnawazodoa sasa mnalolitaka litafika tuuuu
Sina cheo chamaniMkuu huna cheo kivipi wakati wewe ni mwalimu, tena mzowefu.