Vyama vinavyong'ang'ania madaraka kama CCM ndiyo huleta machafuko na mapinduzi Afrika

Wizi wa kura unaofanywa na CCM wakisaidiana na vyombo vya usalama ndio sababu hatuna uchaguzi huru,JPM aliiba kura za wabunge nchi nzima, wapinzani wanashinda sana na sio siri
Hizo ni propaganda tu zinazofanywa na walioshindwa. Kama ni kweli kura zimeibiwa unaenda mahakamani. Hata hivyo katika nchi zote zinazofanya Uchaguzi, Afrika, Ulaya, Asia na kwingineko, suala hili la kuibiwa kura huwa linaibuka. Na walioshindwa.

JPM ameikuta CCM. na Ameiacha.Wachaneni na siasa za majitope na kufukuzana na makaburi.

Wapinzani Tanzania wapo toka 1990's Magufuli alikuwepo kuwaibia kura huko nyuma. Narudia, kampeni zenu za kumlalamikia mtu mmoja ambaye hakuwa na moja ama mbili za siasa ni Uwenawazimu.

Fanyeni utafiti. Hizi lalama kuwa ni Afrika pekee ndimo kunapovurugwa kwa Uchaguzi ni Upotoshaji wa hali ya Juu.

Nani anajua Ujerumani na CDU wamekuwa huko tangia 1945? Merkel amekaa miaka mingapi?

Nani anajua Democrats wamekuwa na Uraisi kwa miaka mingapi kablabya Republicans kuchukua Urais?

Hawa wakina Allen Kilewella wanafanya Propaganda hasi za Kisaikilojia. Wanapandikiza uwongo na wakati huo huo wanakuza Ukuu wa Mzungu.

Fanyeni critical analysis.

Kama Faiza anavyouliza. Shuleni mlienda kusoma nini?
 
digba sowey umeona wenye matendo ya ki-CCM kama SYLLOGIST! alivyoandika???

Hivi kweli ukiwa na akili timamu unaweza kuuliza ni lini CCM ilikataa kushindwa!?
Mkuu, hakuna pahali nimesema CCM ilikataa kushindwa. Hata hivyo huo nao ni Upotoshaji.

Katika chaguzi za nyuma wapinzani walijaa Bungeni na katiik serikali za mitaa. Nikuulize CCM ilikataa kushindwa?
==============

Nikuambie hivi. Usichezee himaya yangu, utaumia mwenyewe. Haijalishi.

Nasema hivi, hamnitetereshi. Nitasema ukweli siku zote.
 
CCM haiwezi kutoka madarakani ikiwa wananchi bado wanaipigia kura,kutoka madarakni kwa ccm pale wananchi wataikataa
Imekataliwa mara nyingi na mara ya mwisho ni 2020.
Acha kujitoa akili ingawa huna akili,2020 tuliona mambo ya kutisha na ya aibu.
Vituo vingi vya kupigia kura vilikuwa na takwimu kama ifuatavyo
Waliokiandikisha mfano 179
Waliopiga kura 238
Kura zilizo haribika 2
Kura halali 573
Ccm kura 1596
Sasa huko ndiyo kukataliwa kwa ccm.
 
Asante sana mwanachaduma mwenzangu kwa taarifa sahih,kazi nzuri
 
Pikipiki za kampeni zinagawiwa kabla ya muda, fedha zinatapanywa kwenye kunyanyua mabango
Sawa Mkuu.

CHADEMA mna mabilionea kede kede. Kila mgombea aliyeshinda chaguzi, tumetaarifiwa na Erythrocyte kuwa ni BILIONEA. Hata mbowe ni BILIONEA l, itoshe mna TShs 2.7 bilion za ruzuku.

Mmekatazwa kununua piki piki. (Vifukuza upepo🤭)?

Mmekatazwa kuweka mabango? Kweli hayo?

Msitafute visingizio. Hela mnayo nankama CCM imetumia sheria zilizopwaya, mnashindwa nini?
 
Dah. Upo sawa Mkuu.

Mlinanganisho upo Sawa na CHADEMA. Just a movement!

Unaona CHADEMA kama chama?
 
CHADEMA. Just a movement!
Sometimes circumstances decide the fate. If you are in the banana republic country, what do you expect to come out of the jungle law system!??

So CHADEMA to be a movement organisation is just the situational fact. TANU and ASP was a movement Parties that's why today we have the historical event of Zanzibar revolution.
 

View: https://youtu.be/93uf0cMvExU?si=5UEY483BrEdOCs02
 
Hakuna namna. Si unaona CCM inavofanya uhuni kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…