Vyama Vya Siasa Vyasema Kusoma kwa Muswada wa Sheria ya Uchaguzi ni Ishara Nzuri

Bunge limesema katika sheria Mpya ya Vyama vya Siasa Chama chenye Kiongozi wa kutoa maamuzi ambaye ni mkimbizi kitachukuliwa hatua kali Sana

Source: TBC

Mlale Unono πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯
CCM itakua ya kwanza wamo wengi ila tuanze na mbunge wa ngara Kisha Bashe tunamaliza na biteko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…