Vyama vya upinzani mjifunze kutokana na makosa

Vyama vya upinzani mjifunze kutokana na makosa

Dawa ya upumbavu huu Pascal ni katiba ya wananchi . Na Katiba haiwezi kuja hivi hivi, kwa kuiomba toka kwa viongozi wa ccm, walikamia kukaa madarakani kwa gharama zozote. Katiba lazima ipiganiwe ikibidi kwa maisha . Ili wajukuu zetu wasikutane na utumwa huu

Hakuna maendeleo chini ya ccm yatashuhudiwa zaidi ya porojo na propaganda . Omba uhai ushudie aibu mwisho wa awamu ya tano .
 
Katiba haiwezi kuja hivi hivi, kwa kuiomba toka kwa viongozi wa ccm, walikamia kukaa madarakani kwa gharama zozote. Katiba lazima ipiganiwe ikibidi kwa maisha . Ili wajukuu zetu wasikutane na utumwa huu
Tunahiji civil war! kama sudan kusini etc
 
Dawa ya upumbavu huu Pascal ni katiba ya wananchi . Na Katiba haiwezi kuja hivi hivi, kwa kuiomba toka kwa viongozi wa ccm, walikamia kukaa madarakani kwa gharama zozote. Katiba lazima ipiganiwe ikibidi kwa maisha . Ili wajukuu zetu wasikutane na utumwa huu

Hakuna maendeleo chini ya ccm yatashuhudiwa zaidi ya porojo na propaganda . Omba uhai ushudie aibu mwisho wa awamu ya tano .
 
Mkuu JMushi, mimi sio mtu wa political science bali mimi ni realist ninayesema kitu kilichopo, kilichopo ni CCM imeshinda serikali za mitaa nchi nzima, hivyo sasa serikali za mitaa ziko chini ya chama kimoja. Uchaguzi wa 2020 kazi ya kurejea chama kimoja inakwenda kukamilishwa kwa Bunge la cha
Kimoja CCM.

Kwa vile tangu enzi za Mwalimu Nyerere sisi Tanzania tunafuata China modal, Tanzania ya Magufuli ya chama kimoja from 2020, tutapata maendeleo kama China.
P
Pascal ulichokinywa unakielewa mwenyewe . Nikikizungumzia huenda nikakukosea heshima. Tulienaye ni binaadamu na hakuna mwanaadamu aliyewahi kuishinda dunia . Atamaliza era yake na aiache nchi isonge mbele. Siyo kuirudisha nyuma kwenye mfumo wa chama kimoja .
 
Next ni uchaguzi mkuu 2020, CCM inakamilisha kazi, kwa Tanzania kurudi kuwa nchi ya chama kimoja, kazi sasa itakuwa ni moja tuu, maendeleo kwa kwenda mbele, kama ilivyo China. Hizi kelele za upinzani ni so distractive ndio zimekwamisha maendeleo, baada ya 2020, Tanzania kupata maendeleo kama China.

P
Ningekubaliana na wewe kama zingetumika njia za kiutaratibu, kubadilisha sheria za nchi na kuifanya kuwa ya chama kimoja. Na iende mbali zaidi kuamua nchi ifuate mfumo gani wa kiuchumi, ili kila mwananchi ajue anashiriki kuleta maendeleo chini ya kanuni za huo mfumo. Kwa sasa bado inasemwa mfumo wetu ni wa ujamaa, lakini kivitendo kuna utaratibu ambao sio rasmi - tunafuata upepo tu (ndiyo maana naweza kulima mahindi yangu nikazuiwa kutafuta soko popote duniani, na ndiyo maana nazuiwa kutoa pesa Tanzania kwenda kuwekeza nje- ref: Safaricom shares in Kenya).
Mwisho, maendeleo huletwa na kila mwananchi, na sifa zinapaswa kwenda kwa kila mwananchi. Hali ya sasa imefanywa kwamba anayeleta maendeleo ni mtu mmoja tu, wengine wote hawafanyi lolote mpaka aje huyo mtu kuwasukuma na bila yeye kila kitu kitasimama.
 
Next ni uchaguzi mkuu 2020, CCM inakamilisha kazi, kwa Tanzania kurudi kuwa nchi ya chama kimoja, kazi sasa itakuwa ni moja tuu, maendeleo kwa kwenda mbele, kama ilivyo China. Hizi kelele za upinzani ni so distractive ndio zimekwamisha maendeleo, baada ya 2020, Tanzania kupata maendeleo kama China.

P
Uko vizuri mjomba nakukubali sana. Mwenye macho haambiwi tazama. Tena tutakuwa zaidi ya china. Hivi mahindi debe sasa ni madafu mangapi vile?.
 
Mkuu JMushi, mimi sio mtu wa political science bali mimi ni realist ninayesema kitu kilichopo, kilichopo ni CCM imeshinda serikali za mitaa nchi nzima, hivyo sasa serikali za mitaa ziko chini ya chama kimoja. Uchaguzi wa 2020 kazi ya kurejea chama kimoja inakwenda kukamilishwa kwa Bunge la cha
Kimoja CCM.

Kwa vile tangu enzi za Mwalimu Nyerere sisi Tanzania tunafuata China modal, Tanzania ya Magufuli ya chama kimoja from 2020, tutapata maendeleo kama China.
P
Hivi kwa nini hawakuelewi?
 
Hivi kwa nini hawakuelewi?
Kila mtu na uwezo wake wa uelewa ila baada ya matokeo ya uchaguzi Mkuu wa 2020 ndipo wengi watanielewa. Tunakwenda kujenga Tanzania ya maendeleo kama China, viwanda kama China, tumehimizwa tuzaane tuongezeke tuwe wengi kama WaChina, hadi siasa zetu kama China na tuwe na vyama kama China.

P
 
Back
Top Bottom