Vyama vya upinzani mjifunze kutokana na makosa

Vyama vya upinzani mjifunze kutokana na makosa

Next ni uchaguzi mkuu 2020, CCM inakamilisha kazi, kwa Tanzania kurudi kuwa nchi ya chama kimoja, kazi sasa itakuwa ni moja tuu, maendeleo kwa kwenda mbele, kama ilivyo China. Hizi kelele za upinzani ni so distractive ndio zimekwamisha maendeleo, baada ya 2020, Tanzania kupata maendeleo kama China.

P

Upinzani ndio umeleta mabadiliko CCM, ulichoandika ni wrong strategy. Tuwe wakweli kwa nafsi zetu.
 
Next ni uchaguzi mkuu 2020, CCM inakamilisha kazi, kwa Tanzania kurudi kuwa nchi ya chama kimoja, kazi sasa itakuwa ni moja tuu, maendeleo kwa kwenda mbele, kama ilivyo China. Hizi kelele za upinzani ni so distractive ndio zimekwamisha maendeleo, baada ya 2020, Tanzania kupata maendeleo kama China.

P
Yani tuzipite nchi nyingine za Africa ambazo zina maendeleo kuliko sisi? Kwanini usijifananishe na waafrika wenzako?(apple to apple?)

Libya yenyewe pamoja na Gaddafi kuondolewa bado uchumi wao uko juu yetu. Je ungependelea tuwe kama Libya?

Kujifananisha na China ni uzembe wa hali ya juu. Nitolee mfano wa nchi ya Africa iliyopata maendeleo kwa mfumo huo wa China na wakawa salama.
 
Sio tu kama China, Dodoma Itakuwa kama New York City

Vijana watapewa ajira sana sana serikalini

Wabunge wa ccm wataongeza mishahara kwa watumishi wa uma

Wabunge wa chama kimoja watapingana kwa hoja bungeni ili watanzania wapewe Fedha taslimu mkononi kila mwezi

Gazeti la Chama kimoja litaandika habari za ukweli na Uchunguzi kuhusu afya za watanzania, magonjwa ya mlipuko na kuwajibishwa kwa Waziri mkuu akikosea

Kutakuwa na Furaha kila kona ya nchi watu wakila milo mitatu na kushiba

Kutakuwa hakuna kufanya kazi kabisa, Chama kimoja kitaleta Chakula na mboga mezani

Hakika litatimia lile neno la mataga
Next ni uchaguzi mkuu 2020, CCM inakamilisha kazi, kwa Tanzania kurudi kuwa nchi ya chama kimoja, kazi sasa itakuwa ni moja tuu, maendeleo kwa kwenda mbele, kama ilivyo China. Hizi kelele za upinzani ni so distractive ndio zimekwamisha maendeleo, baada ya 2020, Tanzania kupata maendeleo kama China.

P
 
Yani tuzipite nchi nyingine za Africa ambazo zina maendeleo kuliko sisi? Kwanini usijifananishe na waafrika wenzako?(apple to apple?)

Libya yenyewe pamoja na Gaddafi kuondolewa bado uchumi wao uko juu yetu. Je ungependelea tuwe kama Libya?

Kujifananisha na China ni uzembe wa hali ya juu. Nitolee mfano wa nchi ya Africa iliyopata maendeleo kwa mfumo huo wa China na wakawa salama.
Mkuu JMushi, mimi sio mtu wa political science bali mimi ni realist ninayesema kitu kilichopo, kilichopo ni CCM imeshinda serikali za mitaa nchi nzima, hivyo sasa serikali za mitaa ziko chini ya chama kimoja. Uchaguzi wa 2020 kazi ya kurejea chama kimoja inakwenda kukamilishwa kwa Bunge la cha
Kimoja CCM.

Kwa vile tangu enzi za Mwalimu Nyerere sisi Tanzania tunafuata China modal, Tanzania ya Magufuli ya chama kimoja from 2020, tutapata maendeleo kama China.
P
 
Mtu hype sensitive
hapo umenipata vema! Ukiwa mahakamani usipokuwa mwangalifu wakili mkorofi anakuuliza maswali una loose focus, amekupata!
What Is Hypersensitivity?
Hypersensitivity—also known as being a “highly sensitive person” (HSP)—is not a disorder. It is an attribute common in people with ADHD. Symptoms of hypersensitivity include being highly sensitive to physical (via sound, sigh, touch, or smell) and or emotional stimuli and the tendency to be easily overwhelmed by too much information
 
kwa Upinzani uchwara kama wa Chadema, CUF, ACT na nccr bora tubaki na chama kimoja tu
 
Wewe mpuuzi kweli. Sasa wangeshirikije wakati wagombea wao zaidi ya asilimia 90 walienguliwa? Ulienda shule kweli wewe?
Maana yake ni kwamba kama wagombea hawataenguliwa watashiriki. Wakienguliwa kama ilivyokuwa kwa serikali za mitaa utataka washiriki uchaguzi hewa?
Njaa inakusumbua stay focused on big picture. Walijiandikisha Wakagombea kwa masharti yale yale,lakini waliposhindwa kujaza form wakàruhusiwa kuendelea na uchaguzi,ghafla wakaweka mpira kwapwani.
Come 2020 hao wabunge wa upinzani je watasusia kwa masharti yale yale?
 
NIMEIKUTA KWENYE PAGE YA BABA ASKOFU DR BENSON BAGONZA ASUBUHI HII

FURAHA KAENDA WAPI?

Waliopiga kura hawana furaha

Waliosusa/suswa hawana furaha

Waliopita bila kupingwa hawana furaha

Waliosimamia kura hawana furaha

Walioshinda hawana furaha

Walioshindwa hawana furaha

Waliopanga yaliyotokea hawana furaha

Waliopangiwa yaliyotokea hawana furaha

Walioshauri hekima hawana furaha

Waliokaa kimya hawana furaha

Wanaounga mkono nilichoandika hapa, hawana furaha

Wanaopinga nilichoandika hapa, hawana furaha

Wanaodhani wana furaha hawana furaha

Wapinzani hawana furaha
Wapinzani wa wapinzani, hawana furaha.

ILA wanaodhani hawana furaha, ni KWELI hawana furaha.

Ni bora kujiuliza huyu furaha yuko wapi?
 
Mkuu JMushi, mimi sio mtu wa political science bali mimi ni realist ninayesema kitu kilichopo, kilichopo ni CCM imeshinda serikali za mitaa nchi nzima, hivyo sasa serikali za mitaa ziko chini ya chama kimoja. Uchaguzi wa 2020 kazi ya kurejea chama kimoja inakwenda kukamilishwa kwa Bunge la cha
Kimoja CCM.

Kwa vile tangu enzi za Mwalimu Nyerere sisi Tanzania tunafuata China modal, Tanzania ya Magufuli ya chama kimoja from 2020, tutapata maendeleo kama China.
P
Maendeleo ni tafsiri pana labda kama unazungumzia madaraja,barabara na vitu vitakavyotoweka once machafuko yakitokea.
Kwangu maendeleo ni pamoja na hata namna ambavyo Magufuli kapatikana na kua Raisi wa nchi...Bila upinzani lazima tukubali kwamba Magufuli asingepatikana.
 
Mkuu vyama bingo vimeanza link Tanzania,kama vimezuia maendeleo na kabla ya hapo ebu dadavua ni maendeleo gani yalipatikana?.
Next ni uchaguzi mkuu 2020, CCM inakamilisha kazi, kwa Tanzania kurudi kuwa nchi ya chama kimoja, kazi sasa itakuwa ni moja tuu, maendeleo kwa kwenda mbele, kama ilivyo China. Hizi kelele za upinzani ni so distractive ndio zimekwamisha maendeleo, baada ya 2020, Tanzania kupata maendeleo kama China.

P
 
Mi nadhani upinzani tuelendelee na huu msimamo wetu wa kususia chaguzi. Nashauri hivi vyama vilivyosusia uchaguzi wa serikali za mtaa viendelee kususia hadi uchaguzi mkuu mwakani ili tuionyeshe CCM kwamba tuna mtaji wa watu wengi nyuma yetu. Hii itamfanya JPM na serikali yake kupita kiulani ili aendelee kuwaletea maendeleo watz wote tukiwemo na sisi wapinzani tuliosusia pamoja na wafuasi wetu. Kwa sababu kama vyama sita vikijitoa kwenye uchaguzi kuna vyama vilivyosalia vitashiriki tu tupende tusipende.
Ni kweli ila hawa wenzetu rangi ya kijani wanadhani majanga yanatukuta wapinzani tu ila hawafaham kuwa linalo mkuta mamba mtoni hata kiboko litamkuta.
 
Ni kweli maendeleo yallikuwa makubwa Sana kabla ya 1992...vilipoanzishwa vyama vya upinzani tu yakaaanza kusuasua
Next ni uchaguzi mkuu 2020, CCM inakamilisha kazi, kwa Tanzania kurudi kuwa nchi ya chama kimoja, kazi sasa itakuwa ni moja tuu, maendeleo kwa kwenda mbele, kama ilivyo China. Hizi kelele za upinzani ni so distractive ndio zimekwamisha maendeleo, baada ya 2020, Tanzania kupata maendeleo kama China.

P
 
Next ni uchaguzi mkuu 2020, CCM inakamilisha kazi, kwa Tanzania kurudi kuwa nchi ya chama kimoja, kazi sasa itakuwa ni moja tuu, maendeleo kwa kwenda mbele, kama ilivyo China. Hizi kelele za upinzani ni so distractive ndio zimekwamisha maendeleo, baada ya 2020, Tanzania kupata maendeleo kama China.

P
Tanzania haiwezi kuwa kama China hata siku moja, "mind set", za watu wake ziko tafauti

CCM imeiongoza Tanzania zaidi ya miaka 50,tulichokiona ni rushwa, mikataba mibovu, unyanyasaji wa raia, ukandamizaji wa demokrasia, Tanzania na watu wake wamerejeshwa nyuma kwa kila hali

China mlaji rushwa adhabu yake ni kifo, adhabu zinatekelezwa, Tanzania walaji rushwa wanabembelezwa na wengine tunawaona Bungeni wakiwa na vyeo vikubwa vikubwa..

Mfumo wa vyama vingi ni mfumo mzuri kama utatekelezwa kihaki, ni mfumo unampa unafuu raia, mfumo wa chama kimoja kinashika hatamu ni mfumo unaoficha madudu mengi

Tumeshuhudia mikataba mbovu, rushwa nk, katika mfumo wa chama kimoja, kwavile hamna wa kukemea Maovu.. Tafakari
 
Mkuu JMushi, mimi sio mtu wa political science bali mimi ni realist ninayesema kitu kilichopo, kilichopo ni CCM imeshinda serikali za mitaa nchi nzima, hivyo sasa serikali za mitaa ziko chini ya chama kimoja. Uchaguzi wa 2020 kazi ya kurejea chama kimoja inakwenda kukamilishwa kwa Bunge la cha
Kimoja CCM.

Kwa vile tangu enzi za Mwalimu Nyerere sisi Tanzania tunafuata China modal, Tanzania ya Magufuli ya chama kimoja from 2020, tutapata maendeleo kama China.
P
We unadhani ni kwanini mwalimu Nyerere aling’atuka?

Sasa hivi inatambulika kuwa “strong men mentality” kwenye siasa za mataifa mengi duniani zinapigwa vita na ndiyo maana unaona maandamano kila mahali. Fuatilia maandamano yote na mijadala inayoendelea, utagunduwa ni suala la demokrasia. Kuanzia HongKong, huko mataifa ya Latin America, kuja Asia na baadhi ya mataifa ya Africa ambapo kuna vurugu na mapigano kwasababu ya viongozi wanaokandamiza demokrasia. Mkuu kipindi hiki ni hatari zaidi kuliko hata kile cha mwalimu. Halafu sisi hatuna utajiri wa kuendelea kuwa vyema kiuchumi kama nchi ikichafuka kama kule Libya au Iraq ambako wana mafuta na yanaendelea kunyonywa na mabeberu huku visima vya mafuta tu ndo vikilindwa na binadamu kutelekezwa.

Mkuu hivi unadhani China walikuwa tegemezi kwenye budget zao kama sisi? Unadhani kipindi hicho walitegemea kukopa na kujenga miundo mbinu kama sisi? Sisi wenyewe tuliwategemea kabla hata hawajawa superpowers. Huwezi kuwaiga wachina kwa maneno mzee.
 
Next ni uchaguzi mkuu 2020, CCM inakamilisha kazi, kwa Tanzania kurudi kuwa nchi ya chama kimoja, kazi sasa itakuwa ni moja tuu, maendeleo kwa kwenda mbele, kama ilivyo China. Hizi kelele za upinzani ni so distractive ndio zimekwamisha maendeleo, baada ya 2020, Tanzania kupata maendeleo kama China.

P
Ila Pascal kweli wewe umebobea kwenye uandishi, hongera saaana .Wenye akili tumekuelewa.
 
Next ni uchaguzi mkuu 2020, CCM inakamilisha kazi, kwa Tanzania kurudi kuwa nchi ya chama kimoja, kazi sasa itakuwa ni moja tuu, maendeleo kwa kwenda mbele, kama ilivyo China. Hizi kelele za upinzani ni so distractive ndio zimekwamisha maendeleo, baada ya 2020, Tanzania kupata maendeleo kama China.

P
"Watch dog" atakuwa nani ili tufikie hayo maendeleo kama nchi badala ya kuneemesha wachache?
 
Dawa ni Katiba mpya. Bila Katiba mpya CCM itatawala milele na milele.
Katiba haiwezi kuja hivi hivi, kwa kuiomba toka kwa viongozi wa ccm, walikamia kukaa madarakani kwa gharama zozote. Katiba lazima ipiganiwe ikibidi kwa maisha . Ili wajukuu zetu wasikutane na utumwa huu
 
Back
Top Bottom