Vyama vya upinzani mjifunze kutokana na makosa

Vyama vya upinzani mjifunze kutokana na makosa

Acha kutupumbaza je mwaka kesho wabunge ,na madiwani wa vyama hivyo watasusia uchaguzi?
Kama jibu ni hapana,basi wamewahadaa wenzao.
 
Endeleeni kujidanganya.NA AKILI ZENU ZA KENGE...KUKIMBIA MVUA NA KUJITUPA MTONI....
Mkuu ona misukule haijui hata kuandika arobaini na mbili elfu mkato wa arobaini na mbili unakaa wapi hayajui maskini mataga.
IMG_20191125_194601.jpg
 
Huku kwetu walijiandikisha 133 waliopiga kura ccm 1 TLP 0 ...mzee wa kiraracha mmeshindwa hata kumpa kijiji?
Mkuu huku kuna sehemu wapiga kura hawakujitokeza maccm yakaanza kutembea nyumba kwa nyumba kuomba watu waende wakapige kura watu wakagoma, yakaingia kwenye chumba cha darasa yakaanza kupiga tick sehemu ya mgombea wa ccm yaani watu wote wanajua huku mpaka aibu.
 
Mnalazimisha hii issue iendane na hisia zenu tu lakini mambo ni tofauti.

Kama wagombea wao wana uhakika ya ushindi,wakapige kura ya nini sasa?

Kama unadhani wanaungwa mkono to that extent waambie waitishe maandamano tuone idadi ya hao wanaowaunga mkono barabarani!
Mwambie kiongozi wako afuate matakwa ya katiba Kama hatalia kuona wingi wa watu kwenye mikutano ya wapinzani.
Watajaa na Hali kwenye mikutano yake watakuwa wa kumlika na tochi.
 
IMG_20191122_135342.jpg
Yaani hapo ni sawa na kusema kwamba,: mtu kakuvizia umelala kakupiga bao halafu unamka unasema japo kanipiga bao lakini hana hata furaha. Sasa atakosaje furaha wakati alikusudia kukupiga bao ukiwa umelala
Nyie mnawaza hayohayo tu
 
Mwambie kiongozi wako afuate matakwa ya katiba Kama hatalia kuona wingi wa watu kwenye mikutano ya wapinzani.
Watajaa na Hali kwenye mikutano yake watakuwa wa kumlika na tochi.
Huu utetezi hauna mashiko Mimi sizungumzii mikutano bali kuandamanisha watu kupinga hata haya matokeo tu tuone kama kweli huo uungwaji mkono.

Nenda Uganda Bobby Wine na Besidje wanavyoandamanisha watu ilhali mazingira kwa wapinzani ni mabovu kuliko hata Tz.

Uungwaji mkono tuupime kwa watu kujitoa kwenye maandamano yaliyopigwa marufuku na mamlaka.
 
Viongozi wa upinzani mmeona kukubalika kwenu mbele ya watanzania wote sasa ni jukumu lenu kujua mtumie mbinu gani na teknik gani mpate uongozi wa taifa hili ccm inakaribia kukata roho.
 
Hii itapendeza zaidi maana watatupunguzia gharama za uchaguzi. hiyo pesa ielekezwe kwenye shughuli nyingine za maendeleo
 
Hii itapendeza zaidi maana watatupunguzia gharama za uchaguzi. hiyo pesa ielekezwe kwenye shughuli nyingine za maendeleo
 
Endapo huo ujao utafanyika bila magumashi na ufeshuli kama huu wa mitaa, na chini ya tume yauchaguzi isokuwa na bosi wake ambaye ni mgombea, hakika upinzani utatikisa kuliko chaguzi zote zilizopita. Huu uchafuzi ulopita umewaudhi wengi hata wanaccm wwnyewe.
Hebu tuambie huo Upinzani ulio kichwani kwako utapita kwa lipi? Kwa sera zipi? Kwa jambo gani kubwa waliloliganya la kuwafanya wananchi wawe upande wao?
 
Acha kutupumbaza je mwaka kesho wabunge ,na madiwani wa vyama hivyo watasusia uchaguzi?
Kama jibu ni hapana,basi wamewahadaa wenzao.
Sasa wangeshirikije wakati wagombea wao zaidi ya asilimia 90 walienguliwa? Ulienda shule kweli wewe?
Maana yake ni kwamba kama wagombea hawataenguliwa watashiriki. Wakienguliwa kama ilivyokuwa kwa serikali za mitaa utataka washiriki uchaguzi hewa?
 
Back
Top Bottom