Vyama vya upinzani mjifunze kutokana na makosa

Vyama vya upinzani mjifunze kutokana na makosa

Ulitaka wajitokeze kwenda wapi wakati 98% wagombea walipita bila kupingwa?? Waambie wasithubutu kuugomea huo ujao labda wa kuziba pengo tu au dirisha dogo litakapofunguliwa January kwa wale mnaotaka kurudi kundini kabla ya uchaguzi mkuu
Endapo huo ujao utafanyika bila magumashi na ufeshuli kama huu wa mitaa, na chini ya tume yauchaguzi isokuwa na bosi wake ambaye ni mgombea, hakika upinzani utatikisa kuliko chaguzi zote zilizopita. Huu uchafuzi ulopita umewaudhi wengi hata wanaccm wwnyewe.
 
kuna kituo kimoja huko Songea waliojiandikisha walikuwa 166 , waliojitokeza kupiga kura walikuwa watatu tu , yaani mgombea wa ccm alishinda kwa kupata kura 3 , TLP 0
Hii imetokea pia Iringa na Rukwa,KURA 3
 
Sijui kama waelewa unachoongelea. Ushindi wa aina gani unaojivunia?
Sisi tunaangalia ushindi hizo idadi za wapiga kura wawe wachache au wengi sio ishu ya chama ,chama ishu yake ushindi


State agent
 
Mpaka mzee Augustino Lyatonga Mrema amewachoka ccm.
IMG_20191126_145539.jpg
 
Tatizo lako unaongea huo utumbo kisa wewe unashiba makombo hapo lumumba wakati mamako na baba yako kule kwenu homboro wanakula mlo mmoja tu
Ulitaka wajitokeze kwenda wapi wakati 98% wagombea walipita bila kupingwa?? Waambie wasithubutu kuugomea huo ujao labda wa kuziba pengo tu au dirisha dogo litakapofunguliwa January kwa wale mnaotaka kurudi kundini kabla ya uchaguzi mkuu
 
Mnalazimisha hii issue iendane na hisia zenu tu lakini mambo ni tofauti.

Kama wagombea wao wana uhakika ya ushindi,wakapige kura ya nini sasa?

Kama unadhani wanaugwa mkono to that extent waambie waitishe maandamano tuone!
Kama wanadhani wanaungwa mkono wajîtoe na 2020..
 
Mnalazimisha hii issue iendane na hisia zenu tu lakini mambo ni tofauti.

Kama wagombea wao wana uhakika ya ushindi,wakapige kura ya nini sasa?

Kama unadhani wanaungwa mkono to that extent waambie waitishe maandamano tuone idadi ya hao wanaowaunga mkono barabarani!
Nakuona unavyoshangilia ushindi
IMG_20191123_134348.jpg
 
Kijiji cha Uhominyi, kata ya Image wilaya ya Kilolo wakishangilia ushindi jamani mpaka aibu.
IMG_20191126_195125.jpg
 
Ulitaka wajitokeze kwenda wapi wakati 98% wagombea walipita bila kupingwa?? Waambie wasithubutu kuugomea huo ujao labda wa kuziba pengo tu au dirisha dogo litakapofunguliwa January kwa wale mnaotaka kurudi kundini kabla ya uchaguzi mkuu
Endeleeni kujidanganya.NA AKILI ZENU ZA KENGE...KUKIMBIA MVUA NA KUJITUPA MTONI....
 
Huku kwetu walijiandikisha 133 waliopiga kura ccm 1 TLP 0 ...mzee wa kiraracha mmeshindwa hata kumpa kijiji?
kuna kituo kimoja huko Songea waliojiandikisha walikuwa 166 , waliojitokeza kupiga kura walikuwa watatu tu , yaani mgombea wa ccm alishinda kwa kupata kura 3 , TLP 0
 
Huu utumbo unafaa sana kwa ndizi
Mnalazimisha hii issue iendane na hisia zenu tu lakini mambo ni tofauti.

Kama wagombea wao wana uhakika ya ushindi,wakapige kura ya nini sasa?

Kama unadhani wanaungwa mkono to that extent waambie waitishe maandamano tuone idadi ya hao wanaowaunga mkono barabarani!
 
ata wao ccm hawana furaha na huo ushindi feki wao....japo hawanaga haya ila nafsi zinawasuta
Yaani hapo ni sawa na kusema kwamba,: mtu kakuvizia umelala kakupiga bao halafu unamka unasema japo kanipiga bao lakini hana hata furaha. Sasa atakosaje furaha wakati alikusudia kukupiga bao ukiwa umelala
 
Back
Top Bottom