Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu wanaogopa kunyimwa haki ya kuishi. DAB bado yupo kwenye payrollLakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
ITV sasa imekuwa ITVCCMAljazeera wamereport ila ITV wakakosa uzalendo wakakata fasta na kuweka tangazo
Binafsi nna wasiwasi na afya ya akili ya washabiki wa CCM.Nikisoma comments za washabiki wa CCM hata sielewi......natamani kujua kwamba wao vile vifaru na risasi kurindima huko Zanzibar, wao wanafurahi au wanaona ni sawa tu?
Hili si jambo la kufanyia mzaha kabisa
Ni muda sio mrefu tumepata taarifa juu ya mauaji ya watu watatu huko Pemba na kikosi cha polisi.
Na hivi sasa vyombo vya habari vya kimataifa vimeanza kuripoti juu ya tukio hili ambalo kwa vyovyote litatia doa nchi na kupelekea waangalizi wakubwa wa kimataifa kujiridhisha kua kuna uminywaji wa demokrasia na haki za binadamu, watu wanataka madaraka kwa nguvu japo watu wameamua kupiga kura ya mabadiliko lakini inavyoelekea chama tawala hawawezi kukubali hilo.
Hii itoshe tu kusema kua habari zimeanza kusambaa dunia nzima.
??????Huo ni uwongo wa CHADEMA mwisho wao ni October
Al-Jazeera wamesha ripoti mauaji ya Pemba na kuwekwa ndani kwa Maalim Seif.Balozi wa Marekani ndicho chombo cha habari ati?
kwa lipi kiongozi... siwezi furahishwa na uvunjifu wa amani ndani ya nchi yangu kwa namna yoyote ile... wanaoumia ni ndugu zangu waTanzaniaOk. Umefurahi??!!
Ndio salama yetu
Kwasababu mbili kuu
1)Sisi kama Waafrika,hatujui tunachokitafuta hasa....
2)Hakuna Mtawala alieandaliwa kuwa Mzalendo wa kweli katika Nchi yake
Salama kwetu
Ni kukaa kimya na kuienzi amani tuliyokuwa nayo....hata kama Haki haipo
uwongo wa Chadema kwa sababu hakuna jamaa yako aliyekufa wala hujaathirika chochote , mlevi weweHuo ni uwongo wa CHADEMA mwisho wao ni October
Amani unayo wewe kanisani, Sisi ndugu yetu amekuja kuchukuliwa usiku akafungwa gerezani , sababu ametaka kuoa mtoto wa mtu aliyetuhumiwa kwa ugaidi. Na yeye kawekwa kwenye kundi hilo . Sasa ni mwaka wa tano yuko ndani
Mume wa dada yetu kauliwa kwa kukatwa kichwa mbele ya mke na watoto wake . Waliofanya hivyo ni wavamizi kutoka Tanganyika.
Kuna amani hapa
Kieleweke au tutakosa sote. Kibaraka wa Mkuranga kaaaaatu hatawali hapa
Hasira haijengi Chief
Kaa chini,kisha fikiria ni wapi umekosea tokea mwanzo
Kufa Akhyuwongo wa Chadema kwa sababu hakuna jamaa yako aliyekufa wala hujaathirika chochote , mlevi wewe
Nadhani ww MkristoMzigo wa mwenzako kwako ni ganda la usufi.
Bakia na amani yako kanisani
Nadhani ww Mkristo
Maana huna ulijualo isipokuwa kanisa.....!!!!
unataka nikuwekee jina lako la asili , mgen
Endelea na amani yako kwenye hilo kanisa lako
Bro😛😛😛😛😛