Vyombo vya habari Tanzania vimethibitisha aliyoyasema Lissu

Vyombo vya habari Tanzania vimethibitisha aliyoyasema Lissu

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Yale yale aliyoyasema kwamba vyombo vya habari haviko huru kuanzia Clouds, Azam, ITV wameshindwa kabisa kuwa huru kuipa airtime hii habari, Pamoja na kuwa trending news africa kupitia mitandao ya kijamii,BBC, VOA, DW lakini wao wamekuwa kimya.

Wakati wako tayari kurusha habari ya TLP kumpitisha Magufuli kuwa mgombea wao lakini Lissu kupewa airtime hapana.

Lakini nawapa somo kuwa makini juu ya kuingiza siasa kwenye taaluma ya habari maana siasa ni kama gwaride nawakumbusha pia sisi ndio wasikilizaji wenu na ndio tunaleta matangazo ya biashara kwenye media zenu kuogopa udicteta kuna siku mtakosa na biashara kama TBC.
 
Watu wanaona yote haya ndugu. Wanafikiri Magufuli atashinda mwaka huu kumbe Mungu ana mipango yake. Hivi Lissu ndo ashinde sijui wataanzaje kumuomba msamaha.

Kwa hizi figisu za waziwazi, Nina uhakika Mungu hawezi simama upande wa wanaomwonea Lissu. Mwaka huu utatoa funzo kubwa sana kwenye mustakabali wa nchi hii.
 
Umenikumbusha kule Kenya, ile siku ya kumwapisha Mwai Kibaki awamu ya kwanza, yule mtangazaji maarufu pale KBC, MAMBOMBOTELA (sina uhakika kama nimelipatia jina lake)alirambishwa mtama uwanjani, wakati akijitia kihere here cha kutangaza mubashara sherehe hiyo, wakati hao wapinzani walikuwa hawapewi nafasi, wao kila kukicha, wanaimba KANU, KANU tu!
 
Yale yale aliyoyasema kwamba vyombo vya habari haviko huru kuanzia Clouds, Azam, ITV wameshindwa kabisa kuwa huru kuipa airtime hii habari, Pamoja na kuwa trending news africa kupitia mitandao ya kijamii,BBC, VOA, DW lakini wao wamekuwa kimya.

Wakati wako tayari kurusha habari ya TLP kumpitisha Magufuli kuwa mgombea wao lakini Lissu kupewa airtime hapana.

Lakini nawapa somo kuwa makini juu ya kuingiza siasa kwenye taaluma ya habari maana siasa ni kama gwaride nawakumbusha pia sisi ndio wasikilizaji wenu na ndio tunaleta matangazo ya biashara kwenye media zenu kuogopa udicteta kuna siku mtakosa na biashara kama TBC.
Kwanini mnatizama hivyo vyombo vya habari?
 
Yale yale aliyoyasema kwamba vyombo vya habari haviko huru kuanzia Clouds, Azam, ITV wameshindwa kabisa kuwa huru kuipa airtime hii habari, Pamoja na kuwa trending news africa kupitia mitandao ya kijamii,BBC, VOA, DW lakini wao wamekuwa kimya.

Wakati wako tayari kurusha habari ya TLP kumpitisha Magufuli kuwa mgombea wao lakini Lissu kupewa airtime hapana.

Lakini nawapa somo kuwa makini juu ya kuingiza siasa kwenye taaluma ya habari maana siasa ni kama gwaride nawakumbusha pia sisi ndio wasikilizaji wenu na ndio tunaleta matangazo ya biashara kwenye media zenu kuogopa udicteta kuna siku mtakosa na biashara kama TBC.

Lakini kuna vyombo vingi tu vimekuwa kimya kwenye habari hii hapa chini, hata wewe hujaonekana, kulikoni? Amerika (USA) burning
 
Labda kwenye redio na tv ila kwenye mitandao ya kijamii clouds wamepost
 
Yale yale aliyoyasema kwamba vyombo vya habari haviko huru kuanzia Clouds, Azam, ITV wameshindwa kabisa kuwa huru kuipa airtime hii habari, Pamoja na kuwa trending news africa kupitia mitandao ya kijamii,BBC, VOA, DW lakini wao wamekuwa kimya.

Wakati wako tayari kurusha habari ya TLP kumpitisha Magufuli kuwa mgombea wao lakini Lissu kupewa airtime hapana.

Lakini nawapa somo kuwa makini juu ya kuingiza siasa kwenye taaluma ya habari maana siasa ni kama gwaride nawakumbusha pia sisi ndio wasikilizaji wenu na ndio tunaleta matangazo ya biashara kwenye media zenu kuogopa udicteta kuna siku mtakosa na biashara kama TBC.
Mchawi mkubwa sana wa kukua kwa demokrasia na uelewa wa wananchi katika nchi hii ni Waandishi wa Habari na vyombo vyao vya Habari.
Kazi na wajibu wao mkubwa ni kuelimisha na kuhabarisha bila upendeleo na uwazi mkubwa. Hata ikibidi kutoa ufafanuzi na kubalance story zao kwa kuzingatia maadili ya taaluma zao.

Kwa nini sasa hivi wanahabari wote na vyombo vyao wanakubali kuwa kama waajiriwa wa Gazeti LA Uhuru, Channel 10, au TBC1? Mbona hawaonyeshi weledi wao bila woga kama wafanyavyo wanasiasa (tunawajua waliojitoa)? Mbona wakijikuta pabaya nao wanataka wapiganiwe wakati wao hahapiganii wengine kwa kalamu zao wakati kalamu INA nguvu?
Kwa sasa mwananchi asiye na uwezo wa kuingia mitandao ya kijamii hawezi kuzijua kasoro za serikali hii na utawala kwani atakumbana na propaganda, mapambio na sifa za ajabu na uongo toka kila chombo cha habari.
Kizazi cha kina Ulimwengu, Mbwambo, Meena, Balile nk ndio kinapotea kama upepo wa kusi! Nani wa kuponya nchi kwa ukweli kuwa hadharani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, Technical , hili ni jibu kwa mada ya Mkuu Chakaza,
  1. Kwanza naunga mkono hoja na kwa vile na mimi ni mwandishi wa habari, naomba niwe miongoni mwa wachangiaji wa mwanzo wa mada hii ambaye ni mchezaji na niko uwanjani. Mwanzo nilikuwa critic wa Magufuli, lakini sasa baada ya kujiridhisha kuwa Magufuli is doing something for this nation, sasa namsupport, media zinam support na waandishi wanaojitambua, pia wanamsupport.
  2. Jukumu la media ni kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, ili media ziweze kutimiza majukumu yake hayo, they have to survive. Ili media zi survive, ni lazima ziende na wakati kwa kusikilizia nguvu ya soko, kwa soko la sasa, nguvu za soko zinaelekeza habari za Magufuli. Hivyo tunaishi kwenye ulimwengu wa laws of the jungle, struggle for existance, survival for the fittest!, Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer! - JamiiForums
  3. Media kwenye kutoa habari, habari huwa inapimwa kutokana na uzito. Uzito unapimwa kwa vigezo, big names makes news, the biggest name in Tanzania ni rais wa JMT, sasa akiongea rais wa JMT na akaongea KUB, automatically big news ni alichoongea rais wa JMT. Habari ya Lissu sio habari kubwa kivile!.
  4. Media inapaswa kuwa independent na ku play impartiality. Hivyo media is supposed kuwa ni Mhimili wa nne usio rasmi, jee media ya Tanzania ni independent?. Media kuikosoa Serikali: Je, Tanzania tuna Strong Media au Strong Journalists wenye Uwezo huo? - JamiiForums
  5. Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?. - JamiiForums
  6. Uhuru wa Habari Tanzania: Je, Vyombo Viko Huru? Je, Waandishi wa Habari wako huru? Wanathaminiwa?. - JamiiForums
  7. Pamoja na media kuwa impartial, media na waandishi individuals wana uhuru wa ku take sides, na kuunga mkono upande fulani. Hivyo sasa media nyingi na waandishi wengi wa habari wamegundua rais Magufuli ana nia njema na taifa letu na atatukomboa hivyo media nyingi na waandishi wengi wa habari nikiwemo mini, tumeamua kuunga mkono juhudi za Mhe. Rais, hivyo hakuna ubaya wowote. Kuelekea Octoba 2015: Je, Sasa ni Wakati wa Media Zetu Kufanya Endorsement ya Wagombea? - JamiiForums
  8. Chadema kilipaswa kuwa na media yake na media zinazoiunga mkono Chadema, ili Mbowe akiongea au Lissu akiongea, zimtoe kwenye fonti fedi, vinginevyo waendelee kuhutubia kupitia Facebook, Twitter na YouTube. Mabadiliko Chanya ya Ujio wa Lowassa: CHADEMA Kuhama Ufipa!, Kuwa Makao Yake, Kituo cha TV na Redio! - JamiiForums
P
 
Yale yale aliyoyasema kwamba vyombo vya habari haviko huru kuanzia Clouds, Azam, ITV wameshindwa kabisa kuwa huru kuipa airtime hii habari, Pamoja na kuwa trending news africa kupitia mitandao ya kijamii,BBC, VOA, DW lakini wao wamekuwa kimya.

Wakati wako tayari kurusha habari ya TLP kumpitisha Magufuli kuwa mgombea wao lakini Lissu kupewa airtime hapana.

Lakini nawapa somo kuwa makini juu ya kuingiza siasa kwenye taaluma ya habari maana siasa ni kama gwaride nawakumbusha pia sisi ndio wasikilizaji wenu na ndio tunaleta matangazo ya biashara kwenye media zenu kuogopa udicteta kuna siku mtakosa na biashara kama TBC.
Wakati Roma akiulizwa kwann haandaman Kama wasanii wengine USA baada ya kifo Cha Floyd alisema wakati anapigania tz wao walikuwa kimya hivo ni zam yao,hivo wakati tz media ikitangaza tlp kuunga juhudi za kuunga mtono hoja -voa,BBC etal walikuwa kimya hivo nao Ni zam yao 🤣😂🤣😂,usinipangie Cha kusema mdomo Ni wangu
 
Watu wanaona yote haya ndugu. Wanafikiri Magufuli atashinda mwaka huu kumbe Mungu ana mipango yake. Hivi Lissu ndo ashinde sijui wataanzaje kumuomba msamaha.

Kwa hizi figisu za waziwazi, Nina uhakika Mungu hawezi simama upande wa wanaomwonea Lissu. Mwaka huu utatoa funzo kubwa sana kwenye mustakabali wa nchi hii.
Ukishakuwa mshindi wa urais vyombo vyote vya dola vinakuwa upande wako from day one hata vyombo vya habari vya umma vinaanza kukupamba.

Siku Michael Chilufya Sata ametangazwa mshindi wa urais wa Zambia kesho yake vyombo vya habari vya serikali kurasa zote za gazeti zilimpamba Michael Sata tu
 
Mkuu, Technical , hili ni jibu kwa mada ya Mkuu Chakaza,
  1. Kwanza naunga mkono hoja na kwa vile na mimi ni mwandishi wa habari, naomba niwe miongoni mwa wachangiaji wa mwanzo wa mada hii ambaye ni mchezaji na niko uwanjani. Mwanzo nilikuwa critic wa Magufuli, lakini sasa baada ya kujiridhisha kuwa Magufuli is doing something for this nation, sasa namsupport, media zinam support na waandishi wanaojitambua, pia wanamsupport.
  2. Jukumu la media ni kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, ili media ziweze kutimiza majukumu yake hayo, they have to survive. Ili media zi survive, ni lazima ziende na wakati kwa kusikilizia nguvu ya soko, kwa soko la sasa, nguvu za soko zinaelekeza habari za Magufuli. Hivyo tunaishi kwenye ulimwengu wa laws of the jungle, struggle for existance, survival for the fittest!, Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer! - JamiiForums
  3. Media kwenye kutoa habari, habari huwa inapimwa kutokana na uzito. Uzito unapimwa kwa vigezo, big names makes news, the biggest name in Tanzania ni rais wa JMT, sasa akiongea rais wa JMT na akaongea KUB, automatically big news ni alichoongea rais wa JMT. Habari ya Lissu sio habari kubwa kivile!.
  4. Media inapaswa kuwa independent na ku play impartiality. Hivyo media is supposed kuwa ni Mhimili wa nne usio rasmi, jee media ya Tanzania ni independent?. Media kuikosoa Serikali: Je, Tanzania tuna Strong Media au Strong Journalists wenye Uwezo huo? - JamiiForums
  5. Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?. - JamiiForums
  6. Uhuru wa Habari Tanzania: Je, Vyombo Viko Huru? Je, Waandishi wa Habari wako huru? Wanathaminiwa?. - JamiiForums
  7. Pamoja na media kuwa impartial, media na waandishi individuals wana uhuru wa ku take sides, na kuunga mkono upande fulani. Hivyo sasa media nyingi na waandishi wengi wa habari wamegundua rais Magufuli ana nia njema na taifa letu na atatukomboa hivyo media nyingi na waandishi wengi wa habari nikiwemo mini, tumeamua kuunga mkono juhudi za Mhe. Rais, hivyo hakuna ubaya wowote. Kuelekea Octoba 2015: Je, Sasa ni Wakati wa Media Zetu Kufanya Endorsement ya Wagombea? - JamiiForums
  8. Chadema kilipaswa kuwa na media yake na media zinazoiunga mkono Chadema, ili Mbowe akiongea au Lissu akiongea, zimtoe kwenye fonti fedi, vinginevyo waendelee kuhutubia kupitia Facebook, Twitter na YouTube. Mabadiliko Chanya ya Ujio wa Lowassa: CHADEMA Kuhama Ufipa!, Kuwa Makao Yake, Kituo cha TV na Redio! - JamiiForums
P
Mkuu hiyo misumari sijui wataiondoa vipi?
 
RADIO NA TV za Tz zinapotea kwa kasi kama Magazeti sababu ya kuendekeza siasa.

Yani wqmepoteza mvuto kabisa.
 
Wakirusha hizo habari and then wakiminya mbupu utawasaidia wewe?
 
CHADEMA mnaangaika mjue watu ni wafanya biashara wanaangalia habari ambazo zinavutia wengi na Sio ujinga Kama huo wa tundulisu
Yale yale aliyoyasema kwamba vyombo vya habari haviko huru kuanzia Clouds, Azam, ITV wameshindwa kabisa kuwa huru kuipa airtime hii habari, Pamoja na kuwa trending news africa kupitia mitandao ya kijamii,BBC, VOA, DW lakini wao wamekuwa kimya.

Wakati wako tayari kurusha habari ya TLP kumpitisha Magufuli kuwa mgombea wao lakini Lissu kupewa airtime hapana.

Lakini nawapa somo kuwa makini juu ya kuingiza siasa kwenye taaluma ya habari maana siasa ni kama gwaride nawakumbusha pia sisi ndio wasikilizaji wenu na ndio tunaleta matangazo ya biashara kwenye media zenu kuogopa udicteta kuna siku mtakosa na biashara kama TBC.
 
Watu wanaona yote haya ndugu. Wanafikiri Magufuli atashinda mwaka huu kumbe Mungu ana mipango yake. Hivi Lissu ndo ashinde sijui wataanzaje kumuomba msamaha.

Kwa hizi figisu za waziwazi, Nina uhakika Mungu hawezi simama upande wa wanaomwonea Lissu. Mwaka huu utatoa funzo kubwa sana kwenye mustakabali wa nchi hii.
kuna mgombea tutampoteza kihalali kabisa. itakuwa sherehe hatari
 
Back
Top Bottom