Vyombo vya habari Tanzania vimethibitisha aliyoyasema Lissu

Vyombo vya habari Tanzania vimethibitisha aliyoyasema Lissu

Mkuu, Technical , hili ni jibu kwa mada ya Mkuu Chakaza,
  1. Kwanza naunga mkono hoja na kwa vile na mimi ni mwandishi wa habari, naomba niwe miongoni mwa wachangiaji wa mwanzo wa mada hii ambaye ni mchezaji na niko uwanjani. Mwanzo nilikuwa critic wa Magufuli, lakini sasa baada ya kujiridhisha kuwa Magufuli is doing something for this nation, sasa namsupport, media zinam support na waandishi wanaojitambua, pia wanamsupport.
  2. Jukumu la media ni kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, ili media ziweze kutimiza majukumu yake hayo, they have to survive. Ili media zi survive, ni lazima ziende na wakati kwa kusikilizia nguvu ya soko, kwa soko la sasa, nguvu za soko zinaelekeza habari za Magufuli. Hivyo tunaishi kwenye ulimwengu wa laws of the jungle, struggle for existance, survival for the fittest!, Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer! - JamiiForums
  3. Media kwenye kutoa habari, habari huwa inapimwa kutokana na uzito. Uzito unapimwa kwa vigezo, big names makes news, the biggest name in Tanzania ni rais wa JMT, sasa akiongea rais wa JMT na akaongea KUB, automatically big news ni alichoongea rais wa JMT. Habari ya Lissu sio habari kubwa kivile!.
  4. Media inapaswa kuwa independent na ku play impartiality. Hivyo media is supposed kuwa ni Mhimili wa nne usio rasmi, jee media ya Tanzania ni independent?. Media kuikosoa Serikali: Je, Tanzania tuna Strong Media au Strong Journalists wenye Uwezo huo? - JamiiForums
  5. Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?. - JamiiForums
  6. Uhuru wa Habari Tanzania: Je, Vyombo Viko Huru? Je, Waandishi wa Habari wako huru? Wanathaminiwa?. - JamiiForums
  7. Pamoja na media kuwa impartial, media na waandishi individuals wana uhuru wa ku take sides, na kuunga mkono upande fulani. Hivyo sasa media nyingi na waandishi wengi wa habari wamegundua rais Magufuli ana nia njema na taifa letu na atatukomboa hivyo media nyingi na waandishi wengi wa habari nikiwemo mini, tumeamua kuunga mkono juhudi za Mhe. Rais, hivyo hakuna ubaya wowote. Kuelekea Octoba 2015: Je, Sasa ni Wakati wa Media Zetu Kufanya Endorsement ya Wagombea? - JamiiForums
  8. Chadema kilipaswa kuwa na media yake na media zinazoiunga mkono Chadema, ili Mbowe akiongea au Lissu akiongea, zimtoe kwenye fonti fedi, vinginevyo waendelee kuhutubia kupitia Facebook, Twitter na YouTube. Mabadiliko Chanya ya Ujio wa Lowassa: CHADEMA Kuhama Ufipa!, Kuwa Makao Yake, Kituo cha TV na Redio! - JamiiForums
P
Vyombo vyetu vya habari vingekuwa huru, Wewe ilibidi uwe Mwandishi na mtangazaji nguli nchini.

Yaani mtu wa kufukunyua yaliyonyuma ya pazia kwa maslahi ya Taifa.

Sema ndio hivyo njaa haina baunsa.
 
Kulialia nako kunachosha.

Inaeleweka kwa kila mwenye akili, kwamba nchi yetu ipo chini ya utawala wa kidikteta usiovumilia ushindani wa aina yoyote.

Kama unatambua hilo kwa nini uendelee kulialia na kulalamikia hivyo vyombo unavyojua havina uhuru wala utashi wa kufanya unayoyategemea?

Jambo mhimu la kufanya katika hali inayoeleweka hivyo ni kufanya kila juhudi za kufikisha ujumbe kwa walengwa kupitia njia mbadala ambazo dikteta hana uwezo wa kuzizuia.

Kitu mhimu hapa ni ujumbe ufike kwa walengwa, sio aina ya njia ujumbe huo utakavyofika huko.

CHADEMA wanajua wazi wamefungiwa hivyo vyombo wasiwafikie wananchi; waache kulialia na kutafuta huruma. Ni kazi yao kutafuta njia za kuufikisha ujumbe.
 
Nani anaetaka kuwa airtime kikundi Cha wahuni?
 
Yale yale aliyoyasema kwamba vyombo vya habari haviko huru kuanzia Clouds, Azam, ITV wameshindwa kabisa kuwa huru kuipa airtime hii habari, Pamoja na kuwa trending news africa kupitia mitandao ya kijamii,BBC, VOA, DW lakini wao wamekuwa kimya.

Wakati wako tayari kurusha habari ya TLP kumpitisha Magufuli kuwa mgombea wao lakini Lissu kupewa airtime hapana.

Lakini nawapa somo kuwa makini juu ya kuingiza siasa kwenye taaluma ya habari maana siasa ni kama gwaride nawakumbusha pia sisi ndio wasikilizaji wenu na ndio tunaleta matangazo ya biashara kwenye media zenu kuogopa udicteta kuna siku mtakosa na biashara kama TBC.
Unataka watangaze Ushoga??
 
Wakati mmoja rais wa sasa wa Zimbabwe alikuwa makamu wa Rais hivyo akafutwa kazi na mh Mugabe na kuundiwa zengwe ili afungwe na wammalize.Usiku uliooangwa tukio lifanyike alidokezwana baadhi yawatuwa usalama ikabidiatoroke kwa kutaka kukodi ndege ya private lakini wahindi waliokuwa wanaimiliki ile ndege walikataa kwa madai kuwa wanamuogopa Mugabe na uhusiano wao utateteleka.Basi Mh Mnangagwa ambae ni Rais wa sasa akavalishwa baibui na kutoroka kwa shida akipitia safari ngumu ya taabu Hadi msumbiji na baadae South Africa.Hivi sasa ndiye Rais wa Zimbabwe kwa sasa sijui itakuaje kwa wale wahindi waliomnyanyasa wakati alipokuwa na shida.
 
Yale yale aliyoyasema kwamba vyombo vya habari haviko huru kuanzia Clouds, Azam, ITV wameshindwa kabisa kuwa huru kuipa airtime hii habari, Pamoja na kuwa trending news africa kupitia mitandao ya kijamii,BBC, VOA, DW lakini wao wamekuwa kimya.

Wakati wako tayari kurusha habari ya TLP kumpitisha Magufuli kuwa mgombea wao lakini Lissu kupewa airtime hapana.

Lakini nawapa somo kuwa makini juu ya kuingiza siasa kwenye taaluma ya habari maana siasa ni kama gwaride nawakumbusha pia sisi ndio wasikilizaji wenu na ndio tunaleta matangazo ya biashara kwenye media zenu kuogopa udicteta kuna siku mtakosa na biashara kama TBC.
Kijana angaika na maisha yako achana na maisha ya wanasiasa ambao wakishapata madaraka wanawafikria ndugu zao kwanza.
 
Tutatoa eyataymu kesho kuanzia magazeti yetu na tv. Habari za msingi kwa leo zilikuwa zimejaa.
 
Kwani mbowe ni CCM mbona anaitaga waandish wa habari na wanakuja wa vyombo vyote tatizo tundulisu akipewa maiki anaanza kutukana na kutaja watu majina badala ya kuongea kilicho mpelekea waandish wa habari hawawez kupoteza muda wao kumsikiliza chizi alifikir atakiki maskin ujinga wake umezid kufika mbali
 
Watu wanaona yote haya ndugu. Wanafikiri Magufuli atashinda mwaka huu kumbe Mungu ana mipango yake. Hivi Lissu ndo ashinde sijui wataanzaje kumuomba msamaha.

Kwa hizi figisu za waziwazi, Nina uhakika Mungu hawezi simama upande wa wanaomwonea Lissu. Mwaka huu utatoa funzo kubwa sana kwenye mustakabali wa nchi hii.
Hilo la Lissu kushinda halimo kabisa katika akili zao, ndio maana ya haya yote wanayofanya.

Wao wamejipa uhakika kwamba hawawezi 'kushindwa' kwa njia yoyote.

Ndio maana huko unakokusema "...wataanzaje kumuomba msamaha" hawakufikirii, kwa sababu wanajua haitatokea washindwe, na iwalazimu kuomba msamaha.

Hata ikitokea kwamba iwalazimu kusalimu amri kwa matakwa ya wananchi, sioni kamwe mtu wa kuomba mwingine msamaha hapo.

Sioni jinsi anayoweza Magufuli kuanza kumwomba Lissu msamaha. Huyu sio mtu wa kuomba msamaha, yeye ni mtu wa kuombwa msamaha tu kwa kulazimisha, hata ambao hawana sababu ya kuomba msamaha kwake, na hata aliowakosea yeye mwenyewe, analazimisha wamwombe yeye msamaha. Huyo sio mtu wa kuomba asamehewe.

Itabidi alazimishwe kufanya hivyo kwa aibu kubwa sana mbele za jamii.
 
Yale yale aliyoyasema kwamba vyombo vya habari haviko huru kuanzia Clouds, Azam, ITV wameshindwa kabisa kuwa huru kuipa airtime hii habari, Pamoja na kuwa trending news africa kupitia mitandao ya kijamii,BBC, VOA, DW lakini wao wamekuwa kimya.

Wakati wako tayari kurusha habari ya TLP kumpitisha Magufuli kuwa mgombea wao lakini Lissu kupewa airtime hapana.

Lakini nawapa somo kuwa makini juu ya kuingiza siasa kwenye taaluma ya habari maana siasa ni kama gwaride nawakumbusha pia sisi ndio wasikilizaji wenu na ndio tunaleta matangazo ya biashara kwenye media zenu kuogopa udicteta kuna siku mtakosa na biashara kama TBC.
That's why nilishaacha kuangalia tv zote nchini bora nimfuatilie kigooooo
 
Yale yale aliyoyasema kwamba vyombo vya habari haviko huru kuanzia Clouds, Azam, ITV wameshindwa kabisa kuwa huru kuipa airtime hii habari, Pamoja na kuwa trending news africa kupitia mitandao ya kijamii,BBC, VOA, DW lakini wao wamekuwa kimya.

Wakati wako tayari kurusha habari ya TLP kumpitisha Magufuli kuwa mgombea wao lakini Lissu kupewa airtime hapana.

Lakini nawapa somo kuwa makini juu ya kuingiza siasa kwenye taaluma ya habari maana siasa ni kama gwaride nawakumbusha pia sisi ndio wasikilizaji wenu na ndio tunaleta matangazo ya biashara kwenye media zenu kuogopa udicteta kuna siku mtakosa na biashara kama TBC.
Hivyo ni viidara tu vya kipropaganda kwa madhumuni maalum vya kiswahili (kiingereza kwa VOA) vya hao BBC, VOA na DW ambazo hurushwa kwa nchi walengwa na siyo dunia nzima.
 
Watu wanaona yote haya ndugu. Wanafikiri Magufuli atashinda mwaka huu kumbe Mungu ana mipango yake. Hivi Lissu ndo ashinde sijui wataanzaje kumuomba msamaha.

Kwa hizi figisu za waziwazi, Nina uhakika Mungu hawezi simama upande wa wanaomwonea Lissu. Mwaka huu utatoa funzo kubwa sana kwenye mustakabali wa nchi hii.
Maccm hawajafanya tambiko lao (Mwenge)wamekwishaa
 
Yale yale aliyoyasema kwamba vyombo vya habari haviko huru kuanzia Clouds, Azam, ITV wameshindwa kabisa kuwa huru kuipa airtime hii habari, Pamoja na kuwa trending news africa kupitia mitandao ya kijamii,BBC, VOA, DW lakini wao wamekuwa kimya.

Wakati wako tayari kurusha habari ya TLP kumpitisha Magufuli kuwa mgombea wao lakini Lissu kupewa airtime hapana.

Lakini nawapa somo kuwa makini juu ya kuingiza siasa kwenye taaluma ya habari maana siasa ni kama gwaride nawakumbusha pia sisi ndio wasikilizaji wenu na ndio tunaleta matangazo ya biashara kwenye media zenu kuogopa udicteta kuna siku mtakosa na biashara kama TBC.
Ndugu's sometime mue mnatumia ubongo, hivi ITv na vyombo vingine vikipigwa faini hua mnavisaidia kulipa?? Vikifungiwa leseni hua mnafanya nn??
Watz sio watu wakuwapigania kwasababu hawajitambui so acha kulaumu vyombo laumu raia wasiojali kile kinachoendelea
 
Watu wanaona yote haya ndugu. Wanafikiri Magufuli atashinda mwaka huu kumbe Mungu ana mipango yake. Hivi Lissu ndo ashinde sijui wataanzaje kumuomba msamaha.

Kwa hizi figisu za waziwazi, Nina uhakika Mungu hawezi simama upande wa wanaomwonea Lissu. Mwaka huu utatoa funzo kubwa sana kwenye mustakabali wa nchi hii.
We'll said Bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyombo vyetu vya habari vingekuwa huru, Wewe ilibidi uwe Mwandishi na mtangazaji nguli nchini.

Yaani mtu wa kufukunyua yaliyonyuma ya pazia kwa maslahi ya Taifa.

Sema ndio hivyo njaa haina baunsa.
Mkuu ebu acha kejeri aisee
 
Wanaogopa bill za tra
Kodi walikwepa huko nyuma
 
Mleta mada hujielewi Wala Huelewi utaratibu unaotakiwa kuufuata ili uwe mbashara kwenye TV. Na nilichogundua unasumbuliwa na stress za Chama+familia na ndo Maana unabwabwaja tu.
 
Back
Top Bottom