wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Nilishatoa tahadhari, ole kwa yule atakaye isambaza hotuba ya Lissu.
Naona mnaanza kuvilaumu vyombo vya habari.
Vinajipenda kuendelea kuwepo hewani. Mvumilie tu kuwa chama kuu kimeshika hatamu.
Naona mnaanza kuvilaumu vyombo vya habari.
Vinajipenda kuendelea kuwepo hewani. Mvumilie tu kuwa chama kuu kimeshika hatamu.