Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
No mimi na Lissu, hatulingani, japo tulikuwa shule moja Ilboru, mimi nikiwa A level, Lissu alikuwa O-level hivyo kwa Lissu mimi ni Kaka yake, na yeye ni mdogo wangu.Mayalla, wewe na Lissu mnalingana?
Ona aibu mdogo wangu.
Nimeisha mzungumza sana Lissu humu jf.
P