wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Kipande hichi akikiona Erythrocyte anaweza akaharisha kama si kuzimia kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣the biggest name in Tanzania ni rais wa JMT, sasa akiongea rais wa JMT na akaongea KUB, automatically big news ni alichoongea rais wa JMT. Habari ya Lissu sio habari kubwa kivile!.
Kwa ajili ya masikini Pascal Mayalla anayeishi kwa bahasha za khaki !Kipande hichi akikiona Erythrocyte anaweza akaharisha kama si kuzimia kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ila we jamaa [emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, Technical , hili ni jibu kwa mada ya Mkuu Chakaza,
P
- Kwanza naunga mkono hoja na kwa vile na mimi ni mwandishi wa habari, naomba niwe miongoni mwa wachangiaji wa mwanzo wa mada hii ambaye ni mchezaji na niko uwanjani. Mwanzo nilikuwa critic wa Magufuli, lakini sasa baada ya kujiridhisha kuwa Magufuli is doing something for this nation, sasa namsupport, media zinam support na waandishi wanaojitambua, pia wanamsupport.
- Jukumu la media ni kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, ili media ziweze kutimiza majukumu yake hayo, they have to survive. Ili media zi survive, ni lazima ziende na wakati kwa kusikilizia nguvu ya soko, kwa soko la sasa, nguvu za soko zinaelekeza habari za Magufuli. Hivyo tunaishi kwenye ulimwengu wa laws of the jungle, struggle for existance, survival for the fittest!, Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer! - JamiiForums
- Media kwenye kutoa habari, habari huwa inapimwa kutokana na uzito. Uzito unapimwa kwa vigezo, big names makes news, the biggest name in Tanzania ni rais wa JMT, sasa akiongea rais wa JMT na akaongea KUB, automatically big news ni alichoongea rais wa JMT. Habari ya Lissu sio habari kubwa kivile!.
- Media inapaswa kuwa independent na ku play impartiality. Hivyo media is supposed kuwa ni Mhimili wa nne usio rasmi, jee media ya Tanzania ni independent?. Media kuikosoa Serikali: Je, Tanzania tuna Strong Media au Strong Journalists wenye Uwezo huo? - JamiiForums
- Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?. - JamiiForums
- Uhuru wa Habari Tanzania: Je, Vyombo Viko Huru? Je, Waandishi wa Habari wako huru? Wanathaminiwa?. - JamiiForums
- Pamoja na media kuwa impartial, media na waandishi individuals wana uhuru wa ku take sides, na kuunga mkono upande fulani. Hivyo sasa media nyingi na waandishi wengi wa habari wamegundua rais Magufuli ana nia njema na taifa letu na atatukomboa hivyo media nyingi na waandishi wengi wa habari nikiwemo mini, tumeamua kuunga mkono juhudi za Mhe. Rais, hivyo hakuna ubaya wowote. Kuelekea Octoba 2015: Je, Sasa ni Wakati wa Media Zetu Kufanya Endorsement ya Wagombea? - JamiiForums
- Chadema kilipaswa kuwa na media yake na media zinazoiunga mkono Chadema, ili Mbowe akiongea au Lissu akiongea, zimtoe kwenye fonti fedi, vinginevyo waendelee kuhutubia kupitia Facebook, Twitter na YouTube. Mabadiliko Chanya ya Ujio wa Lowassa: CHADEMA Kuhama Ufipa!, Kuwa Makao Yake, Kituo cha TV na Redio! - JamiiForums
Wapinzani wakishinda uchaguzi, ccm watamwaga damu mwaka huuWatu wanaona yote haya ndugu. Wanafikiri Magufuli atashinda mwaka huu kumbe Mungu ana mipango yake. Hivi Lissu ndo ashinde sijui wataanzaje kumuomba msamaha.
Kwa hizi figisu za waziwazi, Nina uhakika Mungu hawezi simama upande wa wanaomwonea Lissu. Mwaka huu utatoa funzo kubwa sana kwenye mustakabali wa nchi hii.
Ukabila ndio nguzo yake , wanaomfahamu wamethibitisha , hana shughuli strong anaungaunga tu , hana budi kulamba nyayoila we jamaa [emoji23][emoji23][emoji23]
namwonea hurumaUkabila ndio nguzo yake , wanaomfahamu wamethibitisha , hana shughuli strong anaungaunga tu , hana budi kulamba nyayo
Kuna watu hata kuwaonea huruma ni kupoteza muda , huyu nimeonana naye miaka mingi mno kwenye kipindi cha Kitimoto lakini ni mganga njaa hadi leo !namwonea huruma
Kwa ile kauli yake ya ku support ushoga akiwa marekani, na leo kuirudia huyu jamaa amefeli on day oneKulialia nako kunachosha.
Inaeleweka kwa kila mwenye akili, kwamba nchi yetu ipo chini ya utawala wa kidikteta usiovumilia ushindani wa aina yoyote.
Kama unatambua hilo kwa nini uendelee kulialia na kulalamikia hivyo vyombo unavyojua havina uhuru wala utashi wa kufanya unayoyategemea?
Jambo mhimu la kufanya katika hali inayoeleweka hivyo ni kufanya kila juhudi za kufikisha ujumbe kwa walengwa kupitia njia mbadala ambazo dikteta hana uwezo wa kuzizuia.
Kitu mhimu hapa ni ujumbe ufike kwa walengwa, sio aina ya njia ujumbe huo utakavyofika huko.
CHADEMA wanajua wazi wamefungiwa hivyo vyombo wasiwafikie wananchi; waache kulialia na kutafuta huruma. Ni kazi yao kutafuta njia za kuufikisha ujumbe.
Media kwenye kutoa habari, habari huwa inapimwa kutokana na uzito. Uzito unapimwa kwa vigezo, big names makes news, the biggest name in Tanzania ni rais wa JMT, sasa akiongea rais wa JMT na akaongea KUB, automatically big news ni alichoongea rais wa JMT. Habari ya
Kwahiyo Lissu siyo big name, Zito siyo big name, big name ni magufuli na mbowe tu?Kipande hichi akikiona Erythrocyte anaweza akaharisha kama si kuzimia kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hivi kwanini masikini wengi wanawaza ukabila ?Na hiyo ni ishara au jibu rasmi kutoka kwa watanzania walioko Tanzania kwamba lissu hatakiwi.
Msilazimishe mambo CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO a.k.a chadema hii sio ishara nzuri kwenu,
Anzeni kujiandaa kisaikolojia maoema.
ukabila mkuuPascal Mayalla, ina maana mtu yeyote anayewania nafasi ya juu ya uongozi calibre ya Tundu Lissu mtetezi wa wanyonge, rais mstaafu wa Tanganyika Law Society , Chief Whip , Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA chama kikuu cha upinzani kinachotaka kuingia Ikulu kwa kuchukua dola kupitia siasa za Sanduku la Kura umeona waandishi hawana umuhimu wa kumjadiliwa iwe kwa mtazamo hasi au chanya?
Hivi unajua maana ya habari? Kuwa nje ya nchi siyo kigezo cha kutotangazwa habari zake. Maccm mnafeli wapi? Alichofanya leo ni kutangaza nia tu.Mleta maada na wewe kama umedondosha ubingo wako barabarani. Unampa airtime mtu alieko ughaibuni? Huyu ji comedian na kalithibitisha hilo. Hana issue. Wewe uombe kugombea wakati alishasema hawezi kuja maana hatakuwa salama? Hizo kampeni anafanya kwa FB? Huyu ni kichaa kabisa leo nimethibitisha pasi na shaka.
Bila tume huru ,hizi ni mbwembwe mwishoni ni kilio cha siku zote..ooh wamechakachu..upuuzi tuTume huru IPO?
Sie watanzania tunamtaka Lissu.tumechoka ukandamizwaji wa haki ktk kila sehemu.