Vyombo vya habari Tanzania vimethibitisha aliyoyasema Lissu

Mayalla, wewe na Lissu mnalingana?
Ona aibu mdogo wangu.
No mimi na Lissu, hatulingani, japo tulikuwa shule moja Ilboru, mimi nikiwa A level, Lissu alikuwa O-level hivyo kwa Lissu mimi ni Kaka yake, na yeye ni mdogo wangu.
Nimeisha mzungumza sana Lissu humu jf.
P
 
hivi kweli unakaa unaweza lisu ataweza kupata hata 1% ya kura?
 
Unaitia sana aibu
 
Laana ya Eric Kabendera ikutafune wewe na familia yako
 
Kwa ile kauli yake ya ku support ushoga akiwa marekani, na leo kuirudia huyu jamaa amefeli on day oneView attachment 1472499
Jambo hilo pekee ndilo hukuwekea chakula mezani?

Hao mashoga hawapo nchini? Kama wapo, unayo mipango ya kuwaondoa kwa njia zipi?

Najua mambo haya wengi ya watu wa aina yako hamuelewi chochote juu yake, ndio maana mnabaki mkiropoka tu.

Hata huko kusoma historia tu kujua mashoga walikuwa wakitazamwa vipi huko mnakopapigia kelele hamuijui na wala hamtaki kuisoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…