Wa mwisho ndiyo mshindi

Wananchi wa TZ kweli wamependelewa hakika Mungu katutandikia fursa..
Fursa zipo tele kwenye nchi hii, ila tu sasa wengi ni wazembe, wavivu, wanafiki, wapenda-dezo na dili na fedha za mkato ndiyo sababu wizi na ubadhirifu vilikuwa vimekithiri na kwa kiasi kikubwa taaluma, weledi & kazi halali vilielekea kukosa thamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…