Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Yupi miongoni mwa hawa huwezi kumvumilia? --- Mkoloni anayetumia nguvu yake ya mali, umashuhuri, jeshi, uchumi na siasa ili kuitawala nchi nyingine na kunyonya rasilimali zake; mamluki anayempigia upatu mkoloni japokuwa ni raia wa nchi yenu sawa na watu wenu; msimamizi mzalendo anayesimamia matumizi sahihi ya rasilimali za taifa kwa ajili ya ustawi na ukuaji wa uchumi
Uchumi imara ni kuwa na watu wa aina yako Jasmoni Tegga haswa kabla kuongeza akiba ya maneno !!
 
Viwanda ndiyo target zetu kuwapatia Aijra
Ajira ziko nyingi sana tena kila mahali, mathalani umetaja: viwanda; pia kuna sekta ya biashara, uvuvi, ufundi, ubunifu, ujasiriamali, taaluma, sanaa, utalii, madini, kilimo & ufugaji, na mengine mengi ambayo kwa kweli zimesheheni kwenye taifa letu lenye karibu kila kitu chenye manufaa ya kubadilisha na kuboresha mfumo & hali yetu ya maisha kama wananchi
 
Ajira ziko nyingi sana tena kila mahali, mathalani umetaja: viwanda; pia kuna sekta ya biashara, uvuvi, ufundi, ubunifu, ujasiriamali, taaluma, sanaa, utalii, madini, kilimo & ufugaji, na mengine mengi ambayo kwa kweli zimesheheni kwenye taifa letu lenye karibu kila kitu chenye manufaa ya kubadilisha na kuboresha mfumo & hali yetu ya maisha kama wananchi
Wananchi wa TZ kweli wamependelewa hakika Mungu katutandikia fursa..
 
Back
Top Bottom