Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Uzuri wa huu uzi hata mods hawawezi kuwa wa mwisho hahahah...the last member standing will be the last and thus a Winner...
 
Hamna kitu jamaa keshakufa ,asiekubali kushindwa si washindani msione choo hii story imeshafungika mnabaki kubangaiza tu ,pengine huyo alieanzisha mada nae kafah .anaona soo kutoa uamuzi kuwa mwiba alishanyakua ushindi ,yaani mnaboa ile mbaya hata humu pia mnazulumu ?
 
Mnabangaiza tu ila end of the story jamaa kafa.
 
Hizi mnaandika sasa hazimo ,mwisho wa stori jamaa alikufa ,sas sijui mnaendeleza kitu gani wakati mshindi apewe haki yake,jamaa kafa.
 
kafa kwa ungonjwa gani???
Naona upo palepale ,kama utasoma page tatu ziliopita utaona ni jinsi gani stori iliyonipa ushindi utaiona ,yaani ni wazi kabisa nilifanikiwa kuifunga hii topiki na kusubiri nitangazwe mshindi ila jamaa utafikiri ni tume za uchaguzi za CCM ,hadi leo hawajanitangaza kama mimi ndio mshindi ,wanataka kuchakachua ,yaani hata humu JF wanachakachua,hivi mtapoteza kitu gani mkinitangaza rasmi.
 
Naona upo palepale ,kama utasoma page tatu ziliopita utaona ni jinsi gani stori iliyonipa ushindi utaiona ,yaani ni wazi kabisa nilifanikiwa kuifunga hii topiki na kusubiri nitangazwe mshindi ila jamaa utafikiri ni tume za uchaguzi za CCM ,hadi leo hawajanitangaza kama mimi ndio mshindi ,wanataka kuchakachua ,yaani hata humu JF wanachakachua,hivi mtapoteza kitu gani mkinitangaza rasmi.

Rasmi na rasimu kiasi hunichanganya, let's enjoy playing with words hatuna haja na ushindi
 
Back
Top Bottom