Wa Tz Tutakufa Maskini Kwa Kimbilia Kuchimbia Pesa (Kujenga) Badala ya Kuizungusha Izae Zaidi

Wa Tz Tutakufa Maskini Kwa Kimbilia Kuchimbia Pesa (Kujenga) Badala ya Kuizungusha Izae Zaidi

The Chance Vs Lara1 nimependa mdahalo wenu.Big up

Hahahaaaaa! Mdahalo gani? Nilikua namtupia tu vijibu vya size yake. Sikutaka kumu overdose!!!!!!!!!!!! Utu uzima dawa.
 
HALOOOOOOOOOOOOOO! I NEVER GOT WHOOPING 30 LIKES! PAH! JUST LIKE THAT IN MMU!!!!!!!!!! But i got them her! How many do you have? I too didnt think soo.

Embu cheki chini hapo 1000 na ushee people viewing the thread. Hesabu na like za comments zangu za katikati. Afu cheki reponse overrall! Over 220 comments. Weka link hapa thread uliyoanzsha jukwaa lolote ikafika hata tucomment 100 tu!

Bila kusahau Reputation power chek kako na langu! Hahahaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!

FACTS SHOW THAT MAJORITY ARE DIGGIN THIS SHIT!!!!!!!!! NUMBERS DONT LIE!

IWE MMU, ECONOMIC FORUM KOKOTE KULE MI NATISHAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!! ALWAYS EXCELLING IN WHATEVER I DO!!!!!!!!!!!! CHEZEYA!!!!!!!!!!!!!!!!!! NACHEZA NAMBA ZOTE 11 UWANJANI! KIPA MIE, DEFENCE MIE, MID FILDER MIE, FOWARD MIE!!!!!! UTANIWEZEA WAPI?

wewe tisha tu mama! .... uwe na likes 1,000,000!! uwe na 20,000,000 viewing the thread!! 30,000,000 commented the thread!!!! reputation power 1,000,000,000! zote hizo is out of my concern maana hazina tija kwangu! may be its your concern ila ninachokushauri, punguza ushambenga kwenye mambo educative if u dont have power to CORRELATE ISSUES kaa kimya, sio kupanic; economic theories, business theories are real, siyo mapenzi km mada zako nyingi zilivyo!!!!
 
Hahahaaaaa! Mdahalo gani? Nilikua namtupia tu vijibu vya size yake. Sikutaka kumu overdose!!!!!!!!!!!! Utu uzima dawa.

Halafu nimegundua umekaa kishambengashambenga sana.........mm nilijua najibizana na mtu aliekamilika kumbe upo mtupu kiasi hiki ....... twende MMU mama kule hakuna elimu specifically, kule ni mtazamo tu!!!

NB:
hz ni taaluma sio hisia!!!!!
 
Sema wewe baba.....alaf mara nyingi wenye hela na mafanikio ya kutisha hawana maneno mengi.

great thinker lara 1 hajui hilo ....... hata hivyo naona mdau anapenda sana cheap popularity hata katika issues hot and hot and hot ...... nimemwomba akamalizie kwanza shule yake, naona kahudhuria seminra ya siku moja basi akaona she can talk anything about business and economic......thubutu yake, bado utasubiri sana lara 1 !!!!!!

Upo mweupe sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lara 1 kwenye mambo ya kiuchumi na biashara; MMU tumekumis njoo kule tukupe like, reputation power, comment, nk nk

MUHIMU:
think about business not about petty trading unayozungumzia wewe!!!! umenipata?????

Analysis fupi:
unasema tabata nyumba sh 200,000 kwa kupanga na ilijengwa miaka 90's ..... ulivyo mweupe umesahau bei ya ardhi ya mahali pale kuwa imeongezeka si km miaka 90's! umesahau bei ya hiyo nyumba kuwa imeongezeka sio km miaka 90's ..... halafu unaiita"corporate marketer" tena expensive??????? ptuuuuuuuuuuuuuuuuuu tea mate chini mara mbili kidogo!!!!!

WADAU UKWELI NI HUU:
1.jenga kwa kadri uwezavyo jitahidi kujenga sehemu zenye business attraction,
2.nunua ardhi kila upatao shilingi yako, fanya hivyo kwenye sehemu zenye business attraction......... mwisho wa siku upate kitu kinaitwa ''PASSIVE INCOME" yaani unapata returns zako kiulaniiiiiiiiiii huku unatazama malumbano ya bunge kwenye tv na muda wote ukionekana upo online kwenye jf na huku michirizi ya pesa zako hazikatiki, lara 1 wapotoshe wasioelewa ila sio wanaoelewa!!!!

COPY lara 1
 
Last edited by a moderator:
wewe tisha tu mama! .... uwe na likes 1,000,000!! uwe na 20,000,000 viewing the thread!! 30,000,000 commented the thread!!!! reputation power 1,000,000,000! zote hizo is out of my concern maana hazina tija kwangu! may be its your concern ila ninachokushauri, punguza ushambenga kwenye mambo educative if u dont have power to CORRELATE ISSUES kaa kimya, sio kupanic; economic theories, business theories are real, siyo mapenzi km mada zako nyingi zilivyo!!!!

Mule mule kibaba....mtu mwenye mafanikio ya kutisha utamjua tu by the way he/she defends his points/converstions, the way of life, things he/she does, and the way of talking. 95% of successful people are the most humble people in this planet. kwani kuongea na madon wa kkoo kitu gani ?? Mbna mimi baba yangu anapiga zogo na mkuu wa kaya almost everyday, cabinet nzima ya ministers anawafaham fika. Siongei, watu tumekaa kimyaa. Mi nafkiri ni ulimbukeni tu. Successful people have a talent that most people lack. "They are good listeners and accept criticism with both hands." Hii thread imejaa mipasho sanaaaa, nimebaki nasoma comments za watu tu.
 
great thinker lara 1 hajui hilo ....... hata hivyo naona mdau anapenda sana cheap popularity hata katika issues hot and hot and hot ...... nimemwomba akamalizie kwanza shule yake, naona kahudhuria seminra ya siku moja basi akaona she can talk anything about business and economic......thubutu yake, bado utasubiri sana lara 1 !!!!!!

Upo mweupe sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lara 1 kwenye mambo ya kiuchumi na biashara; MMU tumekumis njoo kule tukupe like, reputation power, comment, nk nk

MUHIMU:
think about business not about petty trading unayozungumzia wewe!!!! umenipata?????

Analysis fupi:
unasema tabata nyumba sh 200,000 kwa kupanga na ilijengwa miaka 90's ..... ulivyo mweupe umesahau bei ya ardhi ya mahali pale kuwa imeongezeka si km miaka 90's! umesahau bei ya hiyo nyumba kuwa imeongezeka sio km miaka 90's ..... halafu unaiita"corporate marketer" tena expensive??????? ptuuuuuuuuuuuuuuuuuu tea mate chini mara mbili kidogo!!!!!

WADAU UKWELI NI HUU:
1.jenga kwa kadri uwezavyo jitahidi kujenga sehemu zenye business attraction,
2.nunua ardhi kila upatao shilingi yako, fanya hivyo kwenye sehemu zenye business attraction......... mwisho wa siku upate kitu kinaitwa ''PASSIVE INCOME" yaani unapata returns zako kiulaniiiiiiiiiii huku unatazama malumbano ya bunge kwenye tv na muda wote ukionekana upo online kwenye jf na huku michirizi ya pesa zako hazikatiki, lara 1 wapotoshe wasioelewa ila sio wanaoelewa!!!!

COPY lara 1

Exactly !!
 
Hahahaaaaaaaaaa! THECHANCE et al! Najua huwezi pata umaarufu bila kuchukua CHEAP PUBLICITY kwenye hii thread. Mwenzio nina mathread kibaooooooo, yamebamba na yataendelea kubamba! Sina ukame. NIMEKUPA FACTS ZA LIKES, COMMENTS, VIEW NA KADHALIKA! UMEISOMA KIMYA KIMYA!!!!!!

HUNA HADHI YA KUNIAMBIA CHOCHOTE WEWE AND THERE IS NOTHIN YOU CAN DO ABOUT IT! HUMU NAANDIKA NACHOTAKA NA NACHOJISIKIA! HUKIPENDI USISOME THREAD! UKISOMA UTAJIJU! I ASSURE YOU FOREVER ILL DO WHAT PLEASES ME AND NEVER UNACHOSHAURI AMA KUSEMA! MIMI NDO MIMI! ROGER THAT!!!!!!!

Mimi siangalii unasema nini but NANI ANASEMA! So bad hauko rank ya mimi kukusikiliza, so acha kutoa maelekezo! Unajisumbua.


WHO I AM DEPENDS ON WHO YOU ARE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
I think hii thread imeonyesha kwanini wasomi au watu wanaofuata vitabu hawafanyi biashara na watu walioshia darasa la saba wanamaghorofa mjini na wanafanikiwa kibiashara .........watu wamemwaga theories humu kibao ....lakini research ndogo tu ya wafanyabiashara waliofanikiwa duniani wengi hawajasoma ...
 
wewe tisha tu mama! .... uwe na likes 1,000,000!! uwe na 20,000,000 viewing the thread!! 30,000,000 commented the thread!!!! reputation power 1,000,000,000! zote hizo is out of my concern maana hazina tija kwangu! may be its your concern ila ninachokushauri, punguza ushambenga kwenye mambo educative if u dont have power to CORRELATE ISSUES kaa kimya, sio kupanic; economic theories, business theories are real, siyo mapenzi km mada zako nyingi zilivyo!!!!

MXIUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Sikai kimya maishaaaaaaaaaa yako! Kama una uwezo ninyamazishe! HAPA NAANDIKA NACHOTAKA KAMA HIVI AND THERE IS NOTHING YOU CAN DO ABOUT IT! Nikijisikia kuandika mapenzi naandika, nikijisikia kuandia mambo ya ujenzi naandika, nikijisikia kuandika mkurabita nandika! MAISHA YAKO HUWEZI KUNIPANGIA KITU WEWE TAKATA--!
 
I think hii thread imeonyesha kwanini wasomi au watu wanaofuata vitabu hawafanyi biashara na watu walioshia darasa la saba wanamaghorofa mjini na wanafanikiwa kibiashara .........watu wamemwaga theories humu kibao ....lakini research ndogo tu ya wafanyabiashara waliofanikiwa duniani wengi hawajasoma ...

Mambo ya elimu ya mkoloni hio! Full kukutisha na kukukatisha tamaaa!
 
Hii shule ninaitoa kwa vijana wengi ila wanakuwa wagumu kuelewa.. Pamoja na mimi kuonyesha kwa vitendo bado hawaelewi
 
great thinker lara 1 hajui hilo ....... hata hivyo naona mdau anapenda sana cheap popularity hata katika issues hot and hot and hot ...... nimemwomba akamalizie kwanza shule yake, naona kahudhuria seminra ya siku moja basi akaona she can talk anything about business and economic......thubutu yake, bado utasubiri sana lara 1 !!!!!!

Upo mweupe sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lara 1 kwenye mambo ya kiuchumi na biashara; MMU tumekumis njoo kule tukupe like, reputation power, comment, nk nk

MUHIMU:
think about business not about petty trading unayozungumzia wewe!!!! umenipata?????

Analysis fupi:
unasema tabata nyumba sh 200,000 kwa kupanga na ilijengwa miaka 90's ..... ulivyo mweupe umesahau bei ya ardhi ya mahali pale kuwa imeongezeka si km miaka 90's! umesahau bei ya hiyo nyumba kuwa imeongezeka sio km miaka 90's ..... halafu unaiita"corporate marketer" tena expensive??????? ptuuuuuuuuuuuuuuuuuu tea mate chini mara mbili kidogo!!!!!

WADAU UKWELI NI HUU:
1.jenga kwa kadri uwezavyo jitahidi kujenga sehemu zenye business attraction,
2.nunua ardhi kila upatao shilingi yako, fanya hivyo kwenye sehemu zenye business attraction......... mwisho wa siku upate kitu kinaitwa ''PASSIVE INCOME" yaani unapata returns zako kiulaniiiiiiiiiii huku unatazama malumbano ya bunge kwenye tv na muda wote ukionekana upo online kwenye jf na huku michirizi ya pesa zako hazikatiki, lara 1 wapotoshe wasioelewa ila sio wanaoelewa!!!!

COPY lara 1

1 WORD PATHETIC!!!!!!!!!!!!!

You are beyond salvation. Nikifikiria ni mtoto wa kiume unaandika haya inabidi vita nivizidishe. You are an excuse of men kind!

Hulalalaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mwanaume kaandika hapa? inasikitisha!
 
Hahahaaaaaaaaaa! THECHANCE et al! Najua huwezi pata umaarufu bila kuchukua CHEAP PUBLICITY kwenye hii thread. Mwenzio nina mathread kibaooooooo, yamebamba na yataendelea kubamba! Sina ukame. NIMEKUPA FACTS ZA LIKES, COMMENTS, VIEW NA KADHALIKA! UMEISOMA KIMYA KIMYA!!!!!!

HUNA HADHI YA KUNIAMBIA CHOCHOTE WEWE AND THERE IS NOTHIN YOU CAN DO ABOUT IT! HUMU NAANDIKA NACHOTAKA NA NACHOJISIKIA! HUKIPENDI USISOME THREAD! UKISOMA UTAJIJU! I ASSURE YOU FOREVER ILL DO WHAT PLEASES ME AND NEVER UNACHOSHAURI AMA KUSEMA! MIMI NDO MIMI! ROGER THAT!!!!!!!

Mimi siangalii unasema nini but NANI ANASEMA! So bad hauko rank ya mimi kukusikiliza, so acha kutoa maelekezo! Unajisumbua.


WHO I AM DEPENDS ON WHO YOU ARE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

ptuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu acha ushamba wewe!!!!
 
1 WORD PATHETIC!!!!!!!!!!!!!

You are beyond salvation. Nikifikiria ni mtoto wa kiume unaandika haya inabidi vita nivizidishe. You are an excuse of men kind!

Hulalalaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mwanaume kaandika hapa? inasikitisha!

Ficha uweupe wako wewe, biashara sio mapenzi, unazungumzia petty trading watu tunazungumzia business, deals, economy, cha ajabu sijaona hata terminology moja ya kiuchumi ulioandika kwa minajili ya kujenga na kutetea hoja halafu unaanza kutokwa mapofu????

wenzio tunaingiaga kwenye interview tunapambana wenyewe hatubebwi naona wewe ni aina ya wale wanaobebwa, puuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu .......................... nenda MMU haraka iwezekanavyo unachelewa huku hukidhi viwango, huku ni heavy weight IQ tu bhassssssssssssssssssss!!!!!
 
ptuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu acha ushamba wewe!!!!

KAMA WEWE MWANAUME KWELI I DARE YOU MAKE ME DO AS YOU REQUEST!!!!!!!!!!!! Kama huo uwezo unao! Maisha yakoooooooooooo!!!!!!!!!!!!!

Kama huna la kufanya juu ya KUBWA LA MAADUI i sugest you take a seat at the back, coz MIMI NISHAKWMBIA NAFANYA NALOJISIKIA NA UWEZO WA KUNIZUIA HUNA NA MAISHA YAKOO HUTOKUWA NAO!!!!!!!! Unajiabisha tu hapa MTOTO WA KIUME kukuchamba hivi mbele za wanaume wenzio sio staha ila if you keep askin for it ill keep givin it to you! Nitakuvalisha mpaka khanga na wigi ukitaka

Narudia WHO I AM DEPENDS ON WHO YOU ARE!!!!!!!!!!!!!!!!
 
I think hii thread imeonyesha kwanini wasomi au watu wanaofuata vitabu hawafanyi biashara na watu walioshia darasa la saba wanamaghorofa mjini na wanafanikiwa kibiashara .........watu wamemwaga theories humu kibao ....lakini research ndogo tu ya wafanyabiashara waliofanikiwa duniani wengi hawajasoma ...

dont make generalization mkuu ........ mengi kasoma, rostam azizi kasoma, biashra ya bakheresa ipo mikononi mwa wasomi kadhaa, na wengine kibao tu!!!
biashara ni hulka flani hv ........ bill gate nasikia aliacha shule, steve jobs hali kadhalika, warren buffte alikataa shule kwa miaka miwili anadai anajua zaidi ya maprofessor wake ...... haya mambo ya biashara ni damu ya mtu na mtazamo wake peke yake!!!!!
 
Back
Top Bottom