Waachana siku tatu kabla ya ndoa

Miezi 6 wanaishi Tanzania hii hii na hawajawahi kusex?! Duuuuh [emoji44]
Kuna watu wana viapo vya ndoa aseeeh
 
Vijana oeni πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Dodoma Mirembe jamaa fundi mwashi kamchinja mkewe, bora aonekane fala kuliko kubambikiwa
 
Ndio maana hili suala la kuoa bado linaniumiza sana kichwa mamaee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…