Waafrika na ubaguzi dhidi ya Waarabu. Je, hii ni laana?

Waafrika na ubaguzi dhidi ya Waarabu. Je, hii ni laana?

Umesahau hiyo Dini imeletwa Na Hao Hao waarabu unaowachukia....
Mtume mwenyewe alihusika Na biashara ya watumwa Yani aliuza/kununua Na kumiliki watumwa.

Tena mtumwa mweusi hakuwa Na thamani...mtume aliuza watumwa weusi wawili ili anunue mweupe mmoja
Hehehee kweli binadamu ni wapumbavu sana hasa sisi wenye ngozi nyeusi, Mtu anachukia Bomu sababu linalipua, ila anamsifu na kumtii aliyelirusha.
 
Acha uongo, unadhani wengine hatuishi na waarabu tukajionea!! Baadhi ya nchi za kiarabu nimevisit pia sijakutana na upumbafu wa hivi. So huwezi nidanganya, wadanganye wasiojielewa
Taja hizo inchi za kiarabu ulizoenda na ww ni mweusi na usibaguliwe, labda Kama na ww ni muarabu unataka huruma sio Mana hapa bongo tu kuoa kwenye familia ya waarabu koko tu shida hata Kama ni vilamba sukari ila bado wanajiona wao Bora kuliko weusi
 
It's black continent for black people usomi unakusumbua sana mpaka unaona hao viumbe ni wenzako

Muafrika no mweusi sio mweupe Kama unavyozadhani

Inaonekana we ni msosi wao
 
Morocco
Libya
Tunisia
Algeria
Egypt
Wote wanaongea Arabic kama lugha mama.

Hizi ni inchi ambazo zipo Africa,lakini watu wake hawajihesabu kama ni waafrika.

Ukibahatika kukutana nao uarabuni,

Yeye sio muafrica,
Yeye ni muarabu.

Akili zingine bwana mwisho unaishia kucheka tu 🤣 unataka wajihesabu wao ni waafrika ilhali wao ni waarabu!! Fikiri kabla ya kukomenti.
 
Hao Waarabu wenyewe hawakubali kuitwa waafrika, Afrika ni Rangi Nyeusi

Unalazimisha wajiite waafrika ilhali ni waarabu! Jamaica ambao ni weusi wanaishi Amerika ya kaskazini, na hao pia wajikubali kuwa ni wazungu? Hamuna hoja za kubishana na ukweli bwana, acha ubaguzi na roho mbaya.
 
Mkuu, na wewe unaunga mkono hoja?
siungi mkono hoja,ila nataka abalance story. Pande zote zinapaswa kukemewa. Waarabu ni wabaguzi . Achana na wale wa mataifa ya mbali,hata hawa tuliona nao. Nimekaa na ndugu zako pale Shelui nawajua vizuri sana.
 
Ubaguzi bado unaendelea kulitafuna bara la Afrika

Mwanzo nilidhani wahindi ndio nambari moja kwa ubaguzi duniani, lakini nachokiona kwa ndugu zangu waafrika hususani hapa bongo niseme tu wengi wao ni wabaguzi wa kutupwa ni zaidi ya wahindi, hivyo wanaendelea na kujionyesha wazi kuwa wao ni wabaguzi wa RANGI.

Baadhi ya Comments nimekutananazo katika mtandao wa INSTAGRAM kuhusu timu ama matokeo ya mpira kwa tiketi ya kuwania kucheza kombe la dunia kati ya Waarabu na waafrika ambao tukonao bara moja, maneno makali sana ya kibaguzi yakitolewa na watu weusi kwa waarabu,, hii sio poa tukemee ubaguzi, udini na ukabila ndugu zangu.

Baadhi ya comments zikiwalenga waarab
View attachment 2169071View attachment 2169072View attachment 2169073View attachment 2169074View attachment 2169075View attachment 2169076View attachment 2169077View attachment 2169078View attachment 2169079View attachment 2169080View attachment 2169081View attachment 2169082View attachment 2169083View attachment 2169084View attachment 2169085View attachment 2169086View attachment 2169087View attachment 2169088View attachment 2169089View attachment 2169091View attachment 2169092View attachment 2169093View attachment 2169094View attachment 2169095View attachment 2169096View attachment 2169097View attachment 2169098View attachment 2169099

View attachment 2169070
Hii kitu inaniumiza sana mkuu, na kila nikijaribu ku-comment kwenye baadhi ya mitandao naishia kuoga matusi tu.
 
Unalazimisha wajiite waafrika ilhali ni waarabu! Jamaica ambao ni weusi wanaishi Amerika ya kaskazini, na hao pia wajikubali kuwa ni wazungu? Hamuna hoja za kubishana na ukweli bwana, acha ubaguzi na roho mbaya.
Evidence mojawapo ni hii kampeni ya black lives matter
Unafikiri kwa Nini ipo
 
Kwa hiyo unataka kusema hata kwa Shelui uliona huo ubaguzi?
Labda kama uliisha baada ya mimi kuondoka. Utangamano wetu na waarabu ulikuwa wa kutumikishwa zaidi (kuajiriwa kuuza maduka na kazi za ndani), kwenye ndoa na maisha ya kawaida ulikuwepo kwa wao na waarabu koko.
 
Ukute limtoa mada linaitwa Abdullah
Basi linajiona li arab wakati jeusi tii kama sisi Wenzie.

Kuna watu ubongo wao ni wa kuunyofoa tuweke mawe tu
 
Kila mtu ashinde mechi zake, wao wenyewe ukifuatilia kwao wapo wanaobagua watu weusi , kwa hiyo hata watu weusi wakiwabagua hamna shida ...ndio dunia ilivyo
 
Back
Top Bottom