We jamaa bila Shaka ni mwarabu na hapa unawatetea waarabu wenzio.Hao jamaa ni wabaguzi kupindukia,hujakaa nao pekeyako,na hawapendi mtu mweusi hata kidogo.Tetea watu wengine Ila siyo waarabu Mzee
Wako wapi wale watu weusi walioenda nchi za kiarabu enzi za utumwa? Mbona America wapo,France pia wapo?
Jibu walikhanisiwa na wengine kuuawa,waarabu hawakutaka kizazi Chao kichafuliwe na waafrka weusi
Si unaona pia ni Jinsi gani ilivyo ngumu Kwa mtu mweusi kumuoa mwarabu Koko wa zenji,figisu kibao..jamii ya waarabu ni wabaguzi kupindukia
Sent from my CPH1923 using
JamiiForums mobile app