Waafrika na ubaguzi dhidi ya Waarabu. Je, hii ni laana?

Waafrika na ubaguzi dhidi ya Waarabu. Je, hii ni laana?

Otterhound
Hivi unajua Waafrika wanavyoteswa na waarabu huko Uarabuni?!!




hachana nae huyo... akiambiwa historia ya mtu mweusi anaweza ikataa... namwambia misri ilikuwa ya watu weusi, je wameenda wapi?
 
tatizo lako wewe ni kuwa unachanganya Uarabu na Uafrica, Misri ni waafrica na wakati huohuo ni waarabu. Kwahiyo hakuna ubaya wowote wao kijuhusisha na siasa za kiarabu.
Misri na nchi kama Morroco wanajiona waarab kuliko waafrika, na mimi naona sawa tu. Ukiangalia historical background yao wako connected sana na wenzao wa mashariki ya kati kuliko sisi. Huku tu wapo kijiografia tu
 
Misri na ncho kama Morroco wanajiona waarab kuliko waafrika, na mimi naona sawa tu. Ukiangaloa historical background yao wako connected sana na wenzao wa mashariki ya kati kuliko sisi. Huku tu wapo kijiografia tu

Mimi nawaona wako sawa kwa kila kitu,,,i wish tungepata angalau robo ya ukarimu/ustaarabu/utu wao tungefika mbali sana.
 
Ubaguzi bado unaendelea kulitafuna bara la Afrika

Mwanzo nilidhani wahindi ndio nambari moja kwa ubaguzi duniani, lakini nachokiona kwa ndugu zangu waafrika hususani hapa bongo niseme tu wengi wao ni wabaguzi wa kutupwa ni zaidi ya wahindi, hivyo wanaendelea na kujionyesha wazi kuwa wao ni wabaguzi wa RANGI.

Baadhi ya Comments nimekutananazo katika mtandao wa INSTAGRAM kuhusu timu ama matokeo ya mpira kwa tiketi ya kuwania kucheza kombe la dunia kati ya Waarabu na waafrika ambao tukonao bara moja, maneno makali sana ya kibaguzi yakitolewa na watu weusi kwa waarabu,, hii sio poa tukemee ubaguzi, udini na ukabila ndugu zangu.

Baadhi ya comments zikiwalenga waarab
View attachment 2169071View attachment 2169072View attachment 2169073View attachment 2169074View attachment 2169075View attachment 2169076View attachment 2169077View attachment 2169078View attachment 2169079View attachment 2169080View attachment 2169081View attachment 2169082View attachment 2169083View attachment 2169084View attachment 2169085View attachment 2169086View attachment 2169087View attachment 2169088View attachment 2169089View attachment 2169091View attachment 2169092View attachment 2169093View attachment 2169094View attachment 2169095View attachment 2169096View attachment 2169097View attachment 2169098View attachment 2169099

View attachment 2169070
#Say No To Bigotry
#Say No To Racism
#Say No To Tribalism

WE ARE ONE PEOPLE

#Siempre JMT🙏
 
Sawa machifu ndy waliuza babu zetu weusi kwenda huko walikoenda.Wengine America kaskazini na wengine kusini kulima miwa,wengine Europe especially ufaransa na wengine walibaki kuwa watumwa na vijakazi ktk nchi za kiarabu km Yemen na Oman

Swali langu kwako mwarabu wa Tz;kiko wapi kizazi cha mwendelezo cha watu weusi ktk hizo nchi za kiarabu ambazo babu zetu waliuzwa?
Tunawaona watu weusi Jamaica,Brazil, Peru, Caribbean, US, France nk..wako wapi watu weusi ktk nchi za kiarabu ambao unasema machifu waliwauza?

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app

Dah! Unaongea kwa confidence kabisa, mkuu umewahi kufika Yemen?
 
Hapana.
Kuna saudia Arabia alafu kuna makka na madina.
Maka na madina ni miji mitukufu katika dini yangu
Na nguzo za UISLAM NI 5.
Ya mwisho KWENDA KUHIJI MAKA KWA MWENYE UWEZO.
ili uwe Muslim kamili inakubidi utimize hizo nguzo 5.

Unatia aibu mkuu
 
Kwa tz haya mambo utayaona kwenye mitandao tu,mtaani huwez yaona

Lakin huko kwa waarabu unazinguliwa vzur tu mtaani

Unazinguliwa kivipi, why mnapenda kuongea vitu bila ushahidi!!! Kemea ubaguzi
 
Misri na nchi kama Morroco wanajiona waarab kuliko waafrika, na mimi naona sawa tu. Ukiangalia historical background yao wako connected sana na wenzao wa mashariki ya kati kuliko sisi. Huku tu wapo kijiografia tu

Kuna tatizo la kiakili linawatesa sana watu weusi. Wamisri ni waarabu na pia ni waafrica, sasa hiyo kuliko inasimama kwa misingi ipi?
 
Kuna tatizo la kiakili linawatesa sana watu weusi. Wamisri ni waarabu na pia ni waafrica, sasa hiyo kuliko inasimama kwa misingi ipi?
Inasimama kwakuwa wako connected sana na waarab kuliko waafrika, afrika wapo tu geographically
 
Waarabu ni washenzi hata hawa waarabu koko hawawezi kwenda kuoa kwa waarabu original kabisa wanawabagua

Eti washenzi 😁 unathubutuje kuwaita washenzi watu ambao wameleta ustaarabu barani afrika!!

Wazungu kwako ndio watu wema sio!😁 kwahiyo hata trump hakukosea kusema Afrika ni Shit ole n.k!!!

Jitafakari upya kijana kabla ya kukurupuka
 
Kwa tz haya mambo utayaona kwenye mitandao tu,mtaani huwez yaona

Lakin huko kwa waarabu unazinguliwa vzur tu mtaani
Mwongo.

Watanzania kwa mamia kila siku wanaenda shopping na kufanya biashara zao Dubai, hatujasikia wakilalamika kubaguliwa.

Wewe ulienda nchi ipi ya Waarabu ukabaguliwa? Wewe unaonesha hata Dar huijuwi bado uko kwenu huko madongo kuporomoka.

Nyie ndio wale mnanuka vikwapa, mkimsogelea mtu anaminya pua, mnasema mnabaguliwa, kumbe una kikwapa.
 
Mwongo.

Watanzania kwa mamia kila siku wanaenda shopping na kufanya biashara zao Dubai, hatujasikia wakilalamika kubaguliwa.

Wewe ulienda nchi ipi ya Waarabu ukabaguliwa? Wewe unaonesha hata Dar huijuwi bado uko kwenu huko madongo kuporomoka.

Nyie ndio wale mnanuka vikwapa, mkimsogelea mtu anaminya pua, mnasema mnabaguliwa, kumbe una kikwapa.
Mtoto wa mwarabu naona umepanic,acha unga mdogo wangu

Libya,oman,pakstani hawa jamaa ni wasenge hatari
 
Ndugu zangu watanzania msema 'kweri' ni mpenzi wa Mungu, hawa waarabu binafsi SIWAPENDI kweri kweri na ikiwezekana siku moja tuwafukuze kwenye bara letu.
 
Acha uongo, unadhani wengine hatuishi na waarabu tukajionea!! Baadhi ya nchi za kiarabu nimevisit pia sijakutana na upumbafu wa hivi. So huwezi nidanganya, wadanganye wasiojielewa
Wazanzibar bhana yan nyie mnajiona niwarabu ujue ila jamaa wanawabagua kinoma
 
Back
Top Bottom