Waafrika na ubaguzi dhidi ya Waarabu. Je, hii ni laana?

Waafrika na ubaguzi dhidi ya Waarabu. Je, hii ni laana?

Ndicho hicho sasa ninachosema kuwa Afrika wako geographically ila wao ni Waarab

sasa kuwa ni waarabu kunawavuaje wao kuwa waafrica? Kuna kitu kimoja kikubwa kinawatesa watu weusi nalo kuona Uafrica ni weusi kito ambacho sio sahihi kabisa.
 
Ndicho hicho sasa ninachosema kuwa Afrika wako geographically ila wao ni Waarab
Wapo sahihi, Uarabu sio geographical, sio rangi, sio kabila. Ni lugha na tamaduni. Wengi ya Waarabu duniani ni Waafrika, iwe weupe , weusi, yellow, red, chocolate, Who cares?

Ni juha tu anaedhani uarabu ni rangi au nchi au kontinenti. Uarabu ni lugha na tamaduni. Kama ilivyo Waswahili.
 
Wapo sahihi, Uarabu sio geographical, sio rangi, sio kabila. Ni lugha na tamaduni. Wengi ya Waarabu duniani ni Waafrika, iwe weupe , weusi, yellow, red, chocolate, Who cares?

Ni juha tu anaedhani uarabu ni rangi au nchi au kontinenti. Uarabu ni lugha na tamaduni. Kama ilivyo Waswahili.
Siku izi uko huku??kipindi Cha Uchaguzi ilikua wa moto kweli.hukuteuliwa nini?[emoji1787][emoji1787]
 
Hata hivo sisi bado tuna roho sana tena ya upendo maana hao waarabu ndo walikua wanatusaka kama usakavyo swala wakati wa mawindo ili watuuze km pipi iuzavyo dukani kwa wazungu au umesahau biashara ya utumwa babu zetu waliyopitia.Harafu mtu huyo akimsema mzungu ama mwarabu ni mbaguzi unamtetea natamani nikutukane tusi zito #^@
Ndo maana tunasema walaumiwe wote..Kama Mwarabu alikuwa akiuza watumwa aliyekuwa akinunua si mzungu..!
 
Acha uongo, unadhani wengine hatuishi na waarabu tukajionea!! Baadhi ya nchi za kiarabu nimevisit pia sijakutana na upumbafu wa hivi. So huwezi nidanganya, wadanganye wasiojielewa
Afadhali umenena...Wengine tukisema wanaleta ule ubaguzi eti kwasababu Wewe Mwarabu...!
 
Ukiombwa kithibitisho utaleta?????????????????
una zani naongea kwa bahati mbaya...? ukiulizwa historia ya pharao je? na kwanini mwili wake upo mpaka kesho, una weza toa majibu? ukiambiwa uingereza na historia ya mtu mweusi utaipokea? je mexico na sehemu zingine za dunia kama marekani kuwa huko kote mwafrika ndio alifika kwanza...
 
Halafu huyo ni muislamu mwenzetu anaongea hayo, sijajua anawaogopa na kuwaonea aibu wasio waislamu!!
Mkuu punguza UDINI ni mbaya zaidi kuliko “ubaguzi” wa uarabu unaojifanya kuutetea

Umeanza na ushabiki wa soka lakini kumbe muktadha wako ni kutetea “ndugu zako katika imani”
 
Nikikumbuka zamani Algeria ilikuwa ni himaya watu weusi walikuwa na dini yao ya Kikatoliki wakati huo inaitwa HIPO na Mtakatifu Augustine ndiye alikuws aAskofu wao ( Bishop of Hippo)
Lakini wipoingia hao mabwana hawakutaka rangi wala dini nyingine, walikula majambia wote mpaka wakapukutika
 
Labda kama uliisha baada ya mimi kuondoka. Utangamano wetu na waarabu ulikuwa wa kutumikishwa zaidi (kuajiriwa kuuza maduka na kazi za ndani), kwenye ndoa na maisha ya kawaida ulikuwepo kwa wao na waarabu koko.
Sawa kiongozi [emoji16]
 
Ndo maana tunasema walaumiwe wote..Kama Mwarabu alikuwa akiuza watumwa aliyekuwa akinunua si mzungu..!
Black lives matters ni slogani ya kupingq “wazungu” kuwabagua “weusi”
Lakini ninyi hamtaki kwamba hawa jamaa haswa waarabu wa afrika na waarabu wa saudia bado wana kasumba za miaka ilee ya utumwa kwa kutuona sie “weusi” ni daraja la chini sana
Angalau wazungu pamoja na ubaguzi wao wanaunafuu kuliko hawa waarabu
 
Acha uongo, unadhani wengine hatuishi na waarabu tukajionea!! Baadhi ya nchi za kiarabu nimevisit pia sijakutana na upumbafu wa hivi. So huwezi nidanganya, wadanganye wasiojielewa
Wewe kila siku uko na mada za kutetea waarabu. Sasa tuletee tweets za waarabu wakipongeza hizi timu za blacks tuone walivyo na upendo mkubwa.
Binafsi nimefurahi nchi nyingi za kiarabu kutolewa, hili ni bara la Afrika, siyo kuwakilishwa na waarabu kama vile tupo Asia huko.
 
Mkuu, "hiyo ni dhana tu wala huna uhakika wa hicho"

Sema wengi wenu hamjaishi na waarabu ndio maana mnawasema na kuwafikiria vibaya, na wengine hufuata mkumbo.

Binafsi, bado sijaona jamii watu wake wakarimu kama waarabu.
Acha siasa, kuna waliotaka kujiunga Ulaya, ikashindikana.
 
Hao waarabu ndo walikuja kigoma Na Tabora kuchukua mababu zetu Na kuwasafirisha Kwa mguu kama ng'ombe Na minyororo mpaka bagamoyo Na kilwa ili kuwauza?
Leo Sisi ndiyo waasisi wa ubaguzi?
Ila walio kuwa wanawanunua watumwa (wamarekani) unaona walikuwa sahihi?

kwa taarifa yako hata hakina Mkwawa walikuwa mawakala wa biashara ya utumwa kwenye maeneo yao, ila baadae waliweka resistance baada ya kushindana kwenye maslahi.

NB : Mkwawa alipigana na wajerumani na sio waarab.
 
Nani kakwambia waarabu ni ndugu zako mzee, Ubaguzi katika historia waliuanza wao hadi sasa ni wabaguzi wakubwa zaidi miongoni mwa binadamu wote mbele ya watu weusi, Qngalia wanachofanywa dada zetu wanaoenda kutafuta vibarua Nchi za arabuni.
Cha ajabu dada zetu bado wanaenda tu, lakini kule Italy alikodhalilishwa Samuel Eto'o na kufananishwa na nyani hatuoni kama ubaguzi.
 
Back
Top Bottom