Yamungu Athumani
JF-Expert Member
- Apr 23, 2016
- 1,384
- 3,254
Tena Mara 100Gusia pande zote mbili. Waarabu wao ni wabaguzi mara 3 ya Waafrika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena Mara 100Gusia pande zote mbili. Waarabu wao ni wabaguzi mara 3 ya Waafrika
Una exposure kisi gani?Ubaguzi bado unaendelea kulitafuna bara la Afrika
Mwanzo nilidhani wahindi ndio nambari moja kwa ubaguzi duniani, lakini nachokiona kwa ndugu zangu waafrika hususani hapa bongo niseme tu wengi wao ni wabaguzi wa kutupwa ni zaidi ya wahindi, hivyo wanaendelea na kujionyesha wazi kuwa wao ni wabaguzi wa RANGI.
Baadhi ya Comments nimekutananazo katika mtandao wa INSTAGRAM kuhusu timu ama matokeo ya mpira kwa tiketi ya kuwania kucheza kombe la dunia kati ya Waarabu na waafrika ambao tukonao bara moja, maneno makali sana ya kibaguzi yakitolewa na watu weusi kwa waarabu,, hii sio poa tukemee ubaguzi, udini na ukabila ndugu zangu.
Baadhi ya comments zikiwalenga waarab
View attachment 2169071View attachment 2169072View attachment 2169073View attachment 2169074View attachment 2169075View attachment 2169076View attachment 2169077View attachment 2169078View attachment 2169079View attachment 2169080View attachment 2169081View attachment 2169082View attachment 2169083View attachment 2169084View attachment 2169085View attachment 2169086View attachment 2169087View attachment 2169088View attachment 2169089View attachment 2169091View attachment 2169092View attachment 2169093View attachment 2169094View attachment 2169095View attachment 2169096View attachment 2169097View attachment 2169098View attachment 2169099
View attachment 2169070
Umeruka ruka wee hatimaye umeonyeaha rangi yakoBlack lives matter imeanzia kwa ndugu zenu mabeberu, kila leo wanauwa watu weusi na kuuwana wao kwa wao. Waarabu tusiwasingizie bwana, hawana shida na mtu wale, Allaah amewajaalia kwa ukarimu wao na roho safi.
Umeruka ruka wee hatimaye umeonyeaha rangi yako
Asalamaleku shehee
Gusia pande zote mbili. Waarabu wao ni wabaguzi mara 3 ya Waafrika
Tena Mara 100
Lete vizibiti kama alivyoleta mleta mada
Hata hivo sisi bado tuna roho sana tena ya upendo maana hao waarabu ndo walikua wanatusaka kama usakavyo swala wakati wa mawindo ili watuuze km pipi iuzavyo dukani kwa wazungu au umesahau biashara ya utumwa babu zetu waliyopitia.Harafu mtu huyo akimsema mzungu ama mwarabu ni mbaguzi unamtetea natamani nikutukane tusi zito #^@
Pole kwa maumivu
Watu wa sampuli hii huwa nawachana laiv.
Mbona sijaona maneno yoyote ya ubaguzi uliokithiri kama unavyotaka kutuaminisha?
Au ni vibaya muarabu kuitwa muarabu?
Waache na upagani wao nenda zako kwa waarabu wako wenye imani
Wewe pia umeleta maneno ya kibaguzi humu
Tusiotumia Instagram tungeyajuaje haya?
Ubaguzi ni pamoja na kusambaza maudhui ya kibaguziAcha kulialia bwana, kemea ubaguzi na roho mbaya
Ubaguzi wa aina yoyote ile hauna nafasi kwenye Jamii iliyostaarabika.
Wanaojitosaga kusaka life uarabuni (mf. Wafanyakazi za ndani, sijui gardeners) naonaga Wana roho ngumu sana!!
Hata sio kwamba sijaishi nao, mkuu mimi nimesoma na waarabu na wahindi. Yani shule niliyosoma primary mpaka sekondari waarabu na wahindi walikuwa wengi kuliko waafrika. Darasani waafrika tulikuwa sijui 4 au 5 hivi.
Tulikuwa poa tu hakuna kubaguana wala nini maana watoto mara nyingi uwa hawabaguani.
Ukubwani bado baadhi ya hao watu mpaka leo rafiki zangu.
Ila nasema nchi kama Egypt, Morroco sidhani kama wenyewe pia uwa wanajihesabu sana kama part ya Afrika
Ili wafaidi matunda ya hizo community za Afrika.kama wao hawajihesabu waafrica kwanini wajiunge na AU? kwanini wajiunge na CAF? watu weusi tuna matatizo mkaubwa ya kisaikolojia
Ili wafaidi matunda ya hizo community za Afrika.
Lakini chukulia nchi kama Egypt ina influnce sana kwa siasa za nchi kiarabu. Sema influence yake imeshuka miaka ya karibuni, ila ni nchi ambayo mataifa mengi ya Kiarabu yalikiwa yakiisikiliza na imeshirika sana katika kusuluhisha migogoro yao.
Wale wako sana upande ule kuliko huku kwetu
Watu hufikiri Uafrika ni Ubantu, that's low IQkama wao hawajihesabu waafrica kwanini wajiunge na AU? kwanini wajiunge na CAF? watu weusi tuna matatizo mkaubwa ya kisaikolojia