Waafrika na ubaguzi dhidi ya Waarabu. Je, hii ni laana?

Mtoto wa mwarabu naona umepanic,acha unga mdogo wangu

Libya,oman,pakstani hawa jamaa ni wasenge hatari
Libya sio Afrika?

Unaona ajabu Muafrika kumbagua Mwafrika mwenzake? Umesahau Afrika kusini, juzi juzi tu ilikuwaje?

Pakistan, siyo "Waarabu".

Hivi hizo shu;e mlienda kusomea ujinga?
 
Hao waarabu ndo walikuja kigoma Na Tabora kuchukua mababu zetu Na kuwasafirisha Kwa mguu kama ng'ombe Na minyororo mpaka bagamoyo Na kilwa ili kuwauza?
Leo Sisi ndiyo waasisi wa ubaguzi?
Hao mababu zako waluzwa na nani kama sio mababu zako wengine waliokuwa wajanja zaidi?


Samata kauzwa nani kapelekwa Uingereza?
 
Hao mababu zako waluzwa na nani kama sio mababu zako wengine waliokuwa wajanja zaidi?


Samata kauzwa nani kapelekwa Uingereza?
Aliuzwa kutoka Genk ya ubeligiji akaenda Aston villa ya Uingereza.

Hivi huko Shule ulienda kusomea ujinga?
 
Libya sio Afrika?

Unaona ajabu Muafrika kumbagua Mwafrika mwenzake? Umesahau Afrika kusini, juzi juzi tu ilikuwaje?

Pakistan, siyo "Waarabu".

Hivi hizo shu;e mlienda kusomea ujinga?
Inshu inayo zungumziwa Sio mwafrika kumbagua mwafrika mwenzake.

Inshu ni mwarabu kumbagua mwafrika licha ya kuwa wote wanatoka bara moja.

Ambacho hauelewi ni kipi hapo?
Libya,Misri,Cameroon,Congo, Tanzania,Ghana,Nigeria Morocco,Senegal,Tunisia,Ivory coast zote zinatoka bara moja ambalo ni Afrika,Lakini kuna nchi zenye waraabu Misri,Libya, Morocco,Tunisia,Algeria watu wao wanajiona special mpaka kupelekea kuwa bagua waziwazi hao wengine ambao Sio Arabs wakati wotee wanatoka bara moja ambalo ni Africa.

Wewe unacho tetea ni kipi hasa kuhusu waraabu ingali figisufigisu zao ziko wazii tofauti na nchi zisizo Arabs???
 
Wapi nimesema walionunua walikuwa sahihi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah wee lol.
 
Moja ya Ubaguzi ni Ubaguzi.
Mbona comment za arabu hujaziweka humu. basi tuone nani mbaguzi kati ya wabaguzi.
Kukataa waafrika wenzako pia ni ubaguzi.

Salaleh
 
Kheeeeeh kumbe ni kweli? Niliwahi mbishia mtu hii story. Tobaaaah
 
Acha kukaza kichwaaa... Tunazungumzia nchi za Arabs ambazo ziko Africa.Unatetea ujinga Bibi kizee mzima??Hapo Dubai imekujaje. Unazeeka mpaka akili.
 

Nakuona ukiteseka sana,,,unapotoa data njoo na ushahidi ulijitosheleza, tatizo wengi wenu mnakaririshana huko mitaani kwenu and then mnatuletea humu, aise mnatujazia saver tu.
 
Waarabu ni washenzi hata hawa waarabu koko hawawezi kwenda kuoa kwa waarabu original kabisa wanawabagua

Yani wewe hata uwachukie vipi waarabu haitakusaidia chochote bali unajiumiza tuu 😅. Na usifikiri wote wanawachukia waarabu. Mimi nawapenda wote na wala simchukii mwarabu, mzungu wala mwafrika.


Na ukae utambue waarabu ni ndugu zetu katika imani,,,, nikiwachukia waarabu maana yake hata Mtume wetu Muhammad S.A.W nitakua nimemchukia pia maana yeyee ni mwarabu piaa,,
 

Mpaka hapa umedhihirisha kuwa wewe ni mbaguzi

Ucku mwema
 

Acha maneno mengi kijana, nimeomba ushahidi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…