Underthesea
JF-Expert Member
- Jul 8, 2021
- 327
- 882
Machifu na si walikua wanaogopa ngozi nyeupe na pia walikua wanufaika wa biashara lakini pia km hao waarabu na wazungu wasinhekuja kufanya biashara hiyo ya utumwa hao machifu wangemuuza nani chanzo ni hao hao tu mkuu
Are you serious??
Imagine wewe ndo umepata uongozi wa nchi!!!!! Hopeless!