Waafrika ni muda sasa wa kurudia kuabudu Mizimu yetu

kwan wewe ni nzimu au nsukule?
ili tijue viongosi ya zehebu ya nzimu kwansa..
 
🚮🚮

You are not mentally enough to argue with me.

You Fool, Kama huna hoja Kakojoe ulale.

Sina muda wa kubishana na wajinga.

We endelea na matusi yako ukichoka,kojoa ulale.
Mpumbavu ni alie kuzaa bora angetoa uchafu wako tu ndo maana umezaliwa shoga
 
Labda nikuulize, Mungu huyo ana ruhusuje watu kuzaliwa mashoga?

Punguzo jazba twende taratibu.

Ngoja tutumie maoni yako ya ushoga ulio uingiza tujenge hoja.
Mungu haruhusu usenge usenge ni wa mtu mwenyewe kama wew ulivo hapo na tabia yako ya kumkashifu alie kuumba au ulijizaa mwenyewe au ulitokana na maji ndo ukaja duniani
 
Mungu haruhusu usenge usenge
Kama Mungu haruhusu usenge usenge,

Usenge usenge Uliwezaje kuwepo duniani?
ni wa mtu mwenyewe kama wew ulivo hapo na tabia yako ya kumkashifu alie kuumba au ulijizaa mwenyewe au ulitokana na maji ndo ukaja duniani
Mungu huyo ali umbaje watu wanao weza kumkashifu?

Kwa nini Mungu huyo alishindwa kuumba watu wasio na uwezo wa kumkashifu?

Wakamtii siku zote?
 
Kama Mungu haruhusu usenge usenge,

Usenge usenge Uliwezaje kuwepo duniani?

Mungu huyo ali umbaje watu wanao weza kumkashifu?

Kwa nini Mungu huyo alishindwa kuumba watu wasio na uwezo wa kumkashifu?

Wakamtii siku zote?
Usenge mmeanzisha nyie msio amini kama mungu yupo
 
Kuna wengine huyo unaemuomba hatoi majibu........ Dunia kila mtu na formula zake wengine mizimu inajibu
 
Usenge mmeanzisha nyie msio amini kama mungu yupo
Mungu Aliumbaje binadamu kama sisi tusio mwamini?

Je Mungu huyo Hakujua kwamba tutakuja kutomwamini, atuue na kutu angamiza mapema?

Mfano mimi infropreneur, Mungu Hakujua kwamba nitakuja Kuto mwamini aniue tangu ningali tumboni kwa mama yangu?

Sasa Mungu aliruhusuje mimi infropreneur nizaliwe wakati alijua na anajua kabisa Sita mwamini kama yupo?

Sasa Mungu huyo yupo kweli?
 
Ana uwezo na ana nguvu halafu binadamu anampinga.... Yani kama mtu na mjomba wake wanachezeana sharubu tu..... Kitu akiumbe mwenyewe halafu kimshinde
Ndio maajabu hayo.

Yani Mungu, Aliumba viumbe kama sisi wenye uwezo wa kumpinga?

Sasa kweli Mungu huyo si ana ji Contradict mwenyewe 😄😄
 
Mungu Hakujua kwamba
"wapinga Mungu" tutakuja kuwepo atudhibiti mapema tusiwepo?

Maana yeye si ndiye mjuzi wa vyote na Muumbaji wa vyote?

Je Hakujua???
Kaka kwani wew ujiua utazaliwa tanzania kwa nini usinge zaliwa marekani ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…