Waafrika ni muda sasa wa kurudia kuabudu Mizimu yetu

Ana uwezo na ana nguvu halafu binadamu anampinga.... Yani kama mtu na mjomba wake wanachezeana sharubu tu..... Kitu akiumbe mwenyewe halafu kimshinde
Ivi duniani ulikujaje jibu swali hili je pumzi unayovuta inatoka wapi je wew ni nani damu yako inatoka wapi ?
 
Wapinga mungu walikuwepo toka enzi za yesu kristo
Wapinga Mungu hao wali umbwa na nani?

Mungu yeye si ni muumbaji wa vyote, mjuzi wa vyote na anaweza yote, Sasa Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na wapinga Mungu?

Kwa nini, Aumbe binadamu wanao mpinga ilhali hataki apingwe?

Alishindwaje kuumba Binadamu wema tu, watakao mtii daima?
 
Binadamu wema mbona tupo na mfano ni mimi hapa ambae napinga hoja yako kuna swali nimekuuliza ujanijibu bado na mwenzio kakimbia hapa
 
Ivi duniani ulikujaje
Na Mungu huyo alikujaje?

Huko alikokuwa Mungu huyo kulitoka wapi?
jibu swali hili je pumzi unayovuta inatoka wapi
Kwanza pumzi ni nini?

Mimi ninachojua kuna hewa ya Oxygen.
je wew ni nani
Mimi ni Binadamu.
damu yako inatoka wapi ?
Haitoki mahali popote pale. Ipo mwilini mwangu kama ilivyo.

Si lazima iwe imetoka mahali.
 
Na Mungu huyo alikujaje?

Huko alikokuwa Mungu huyo kulitoka wapi?

Kwanza pumzi ni nini?

Mimi ninachojua kuna hewa ya Oxygen.

Mimi ni Binadamu.

Haitoki mahali popote pale. Ipo mwilini mwangu kama ilivyo.

Si lazima iwe imetoka mahali.
Maneno meeengi point hakuna
 
Laiti ungeijua nguvu ya MUNGU usingewaza vibaya.Ukifikia level flani ya kumjua MUNGU huwezi sema hivyo.MUNGU hapendi dhihaka.Kumbuka alikukomboa kwa damu ya thamani ya Mwanae
 
Na Mungu huyo alikujaje?

Huko alikokuwa Mungu huyo kulitoka wapi?

Kwanza pumzi ni nini?

Mimi ninachojua kuna hewa ya Oxygen.

Mimi ni Binadamu.

Haitoki mahali popote pale. Ipo mwilini mwangu kama ilivyo.

Si lazima iwe imetoka mahali.
God is creative na tumeumbwa kwa mfano wake. Ukisoma kitabu cha mwanzo kinaelezea.


Vyote hivyo tulivyotengeneza wanadamu ni sababu tuna utashi wa kufikiri, kubuni na kuumba. Na uwezo wetu mpaka sasa umefikia kwenye kutatua matatizo yetu lakini sio kuongeza siku za kuishi wala kumfanya mtu aishi milele.

Kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo wanadamu anaongezeka maarifa. Wanadamu wa sasa hawana tofauti wa watu wa babilon waliojenga mnara kumfwata muumba wao.
 
Alishindwaje kuumba Binadamu wema tu, watakao mtii daima?
According to bible MUNGU aliandaa mpango wa ukombozi wa binadamu kabla hata ya uumbaji wa binadamu. Inamaana kwamba MUNGU alijua binadamu atafanya mabaya na kwa mapenzi yake akachagua kuacha hayo mabaya yaje. Inamaama hakushindwa kuumba binadamu wema tu ila alichagua ubaya uwepo kwa sababu anazojua yeye na kwa mapenzi yake halafu akauandalia mpango kazi wa kuutokomeza.
 
Kiini cha mafundisho ya dini ya Kikristu ni upendo.
Kiini cha mafundisho ya dini ya Kiislamu ni Amani.

Ukiwa na upendo kutoka moyoni kwa kila mtu na kitu, pia, ukawa na amani ya rohoni. Basi, waweza kuiona pepo hapahapa duniani.

Enyi wanadamu achaneni na mizimu. Mtu akifa amekufa.

Kuabudu jua, hakuifanyi jua liwe Mungu.

Hatima ya maisha yako ipo mikononi mwako.

Think, talk and act positevely to yourself. Hii ndo ibada ya mwanzo ya kukutenga na vurugu za walimwengu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…