Indeed π₯°utang'ang'ana kutafuta had mvi zikutoke π
uzuri unatengenezwa bana,
usione wanapendeza tu huko mtaani, kuna nguvu ya ziada nyuma ya huo urembo π
hata awe srepa namna gani unaweza mrekebisha kwa kumtimizia tu mahitaji akawa kama malaika π
unafaaa mchezo nni
Sureπattractive kwako si attractive kwangu
Acha kujidanganya uzuri hautenhenezwi demu mzuri hata akiwa mdogo anaonekana achana na mambo ya kujiremba n,k mtu huekeweki mbele wapi nyuma wapi halafu unataka tuongozane hilo kwangu hapana nisiwe mnafkiutang'ang'ana kutafuta had mvi zikutoke π
uzuri unatengenezwa bana,
usione wanapendeza tu huko mtaani, kuna nguvu ya ziada nyuma ya huo urembo π
hata awe srepa namna gani unaweza mrekebisha kwa kumtimizia tu mahitaji akawa kama malaika π
unafaaa mchezo nni
Sasa itakuwaje na unaelewa iβm not attractiveπππ!Aiseeh!
Hawajanyimwa vingine, bali hawazingatii umuhimu wa tabia "njema" kwakuamini "uzuri/mvuto" vinatosha.Oa "attractiveness" uone msala wake humo ndani. Mungu akikupa hiki anakunyima kile, wanawake wazuri sana wa sura wamenyimwa vingine vingi ikiwemo kuishi na mtu mmoja tu.
Kwakweli Africa kama hii ndio design ya watu tuliopo basi tutaendelea kuwa masikini daima.ni ngumu kiasi kukutana na mwafrika attractive, wengi hatuna sura na maumbo ya kuvutia, na sababu kubwa ni kwenye culture hatuchagui wenza wetu, wengi tumezaliwa na watu ambao hawakuchaguana ilitokea tu muda ukifika mwanaume akaamua kuoa au aliletewa na hii imeendelea kwa vizazi hadi vizazi.
chagua mke au mume wa kuanzisha naye maisha na familia na moja kati ya vigezo viwe attractiveness pia utapata mzao attractive, huwa nashangaa mpaka leo hii utakuta kijana anaoa mwanamke nit attractive kabisa huwa najiuliza kwa nini lakini ?
Umemaliza...Akili za mwafrika, anawaza, shape, sasa shape na sura inakusaidia nini? samsung inatoka Korea, umeona sura zao? Toyota inatoka Japan, umeona sura zao? Vietel/halotel iliyoajiri ndugu zako, inatoka Vietnam, umeona sura zao?
Hapo ulipo kuanzia chupi, mpaka nguo,na asilimia 99%ya, vitu ulivyonavyo ndani inatoka nje!
Wewe unachijari ni sura na muonekano? ;
Ujinga ni janga kubwa sana
JF username,jina la utani linadhihirisha vile ni mrembo kiasi gani,sijakosea.πSasa itakuwaje na unaelewa iβm not attractiveπππ!
Huyu mleta mada hajawahi kuona pisi za kihabeshi watoto wa ki ethiopia...Duh hivi mimi labda ndio naona vibaya waafrica sio attractive kina nani hao walio attractive zaidi sasa yaani wasomali, Rwandan, Ethiopian south african tanzanian sio attractive wewe unaumwa..!
kunywa ntalipaHahahaha Ile Soda Kubwa π€£π€£
PEPSI BIG
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]Uzuri ni tabia, tuzipunguzie kazi mahakama.
Kesi ni nyingu tuwe na huruma π