Waafrika wengi siyo attractive, sababu hatuchagui wenza!

Waafrika wengi siyo attractive, sababu hatuchagui wenza!

Poor you!

Keyboard inaweza kumtia mtu ujasiri wa kutukana bara zima, Kwahiyo tukichaguana wazuri tu (sijui kwa mujibu wa nani) wabaya (kwa mujibu wa mleta mada) wauwawe au? 🤣🤣

Naona kuna watu ukoo mzima mngeisha 😂

Dunia imewamezesha beauty standards, imewaambiwa kizuri kiko hivi na hivi na hiki ni kibaya, media zimewafanyia mind controlling na nyie mmejaa mnawaona mashangazi zenu na wajomba zenu wabaya haaaaaa!
 
Mwafrika is not a complete human being.

Mvuto na kuvutia ni mambo ma will tofauti

Binadamu mvuto wake upo ndani na sio nje

Kitu pekee kinachomfanya MTU mweusi kushindwa kuendelea ni kupambama kujibadilisha Kwa nje na sio Kwa ndani.

Kupitia maisha unayoishi ugumu wa kukosa mahitaji ya msingi kunaweza kukufanya kuwa na mwonekano mbaya ukawa hauvutii Ila bado ukaendelea kuwa na mvuto , maana mvuto husomeka ndani ya MTU na sio nje.
 
Ni ngumu kiasi kukutana na mwafrika attractive, wengi hatuna sura na maumbo ya kuvutia, na sababu kubwa ni kwenye culture hatuchagui wenza wetu, wengi tumezaliwa na watu ambao hawakuchaguana ilitokea tu muda ukifika mwanaume akaamua kuoa au aliletewa na hii imeendelea kwa vizazi hadi vizazi.

Chagua mke au mume wa kuanzisha naye maisha na familia na moja kati ya vigezo viwe attractiveness pia utapata mzao attractive, huwa nashangaa mpaka leo hii utakuta kijana anaoa mwanamke siyo attractive kabisa huwa najiuliza kwa nini lakini?
Bangosha wanachagua vyeupe dawa, wamefikia wapi kwenye kutengeneza mvuto?
 
Poor you!

Keyboard inaweza kumtia mtu ujasiri wa kutukana bara zima, Kwahiyo tukichaguana wazuri tu (sijui kwa mujibu wa nani) wabaya (kwa mujibu wa mleta mada) wauwawe au? 🤣🤣

Naona kuna watu ukoo mzima mngeisha 😂

Dunia imewamezesha beauty standards, imewaambiwa kizuri kiko hivi na hivi na hiki ni kibaya, media zimewafanyia mind controlling na nyie mmejaa mnawaona mashangazi zenu na wajomba zenu wabaya haaaaaa!
Shikamoo mdogo wangu😂
 
Ni ngumu kiasi kukutana na mwafrika attractive, wengi hatuna sura na maumbo ya kuvutia, na sababu kubwa ni kwenye culture hatuchagui wenza wetu, wengi tumezaliwa na watu ambao hawakuchaguana ilitokea tu muda ukifika mwanaume akaamua kuoa au aliletewa na hii imeendelea kwa vizazi hadi vizazi.

Chagua mke au mume wa kuanzisha naye maisha na familia na moja kati ya vigezo viwe attractiveness pia utapata mzao attractive, huwa nashangaa mpaka leo hii utakuta kijana anaoa mwanamke siyo attractive kabisa huwa najiuliza kwa nini lakini?
"Beauty is in the eye of the beholder
And I sure know King Kong's wife is not an idiot"

- Rayvon & Shaggy "Big Up"


View: https://youtu.be/ML5GPHfGX7M?si=-r9ukLI2s3RY-09t
 
Ni ngumu kiasi kukutana na mwafrika attractive, wengi hatuna sura na maumbo ya kuvutia, na sababu kubwa ni kwenye culture hatuchagui wenza wetu, wengi tumezaliwa na watu ambao hawakuchaguana ilitokea tu muda ukifika mwanaume akaamua kuoa au aliletewa na hii imeendelea kwa vizazi hadi vizazi.

Chagua mke au mume wa kuanzisha naye maisha na familia na moja kati ya vigezo viwe attractiveness pia utapata mzao attractive, huwa nashangaa mpaka leo hii utakuta kijana anaoa mwanamke siyo attractive kabisa huwa najiuliza kwa nini lakini?
Kwa hayo mashoga ya Ulaya ndio yanavutia? Hivi uko serious au unatania?
 
Duh hivi mimi labda ndio naona vibaya waafrica sio attractive kina nani hao walio attractive zaidi sasa yaani wasomali, Rwandan, Ethiopian south african tanzanian sio attractive wewe unaumwa..!
Katika watu ambao sio attractive ni wazungu, yani unaweza kuta manzi ni tall fulani and flat, yani shape no. moja Luler kabisa.
 
Ni ngumu kiasi kukutana na mwafrika attractive, wengi hatuna sura na maumbo ya kuvutia, na sababu kubwa ni kwenye culture hatuchagui wenza wetu, wengi tumezaliwa na watu ambao hawakuchaguana ilitokea tu muda ukifika mwanaume akaamua kuoa au aliletewa na hii imeendelea kwa vizazi hadi vizazi.

Chagua mke au mume wa kuanzisha naye maisha na familia na moja kati ya vigezo viwe attractiveness pia utapata mzao attractive, huwa nashangaa mpaka leo hii utakuta kijana anaoa mwanamke siyo attractive kabisa huwa najiuliza kwa nini lakini?
Kwani wewe mama ako alikuwa attractive au babako nae aliltewa dunga embe la mtaani tu hakwenda kuchagua kama unavyosema

Kama hujaaandika muangalie mamako ni attractive kwanza asije kuwa nae alikuwa dunga embe la mtaani kwao enzi hizo
 
Ni ngumu kiasi kukutana na mwafrika attractive, wengi hatuna sura na maumbo ya kuvutia, na sababu kubwa ni kwenye culture hatuchagui wenza wetu, wengi tumezaliwa na watu ambao hawakuchaguana ilitokea tu muda ukifika mwanaume akaamua kuoa au aliletewa na hii imeendelea kwa vizazi hadi vizazi.

Chagua mke au mume wa kuanzisha naye maisha na familia na moja kati ya vigezo viwe attractiveness pia utapata mzao attractive, huwa nashangaa mpaka leo hii utakuta kijana anaoa mwanamke siyo attractive kabisa huwa najiuliza kwa nini lakini?
Vijana vigezo muhimu hivi hapa:
1. Attractiveness
2. Classy Family ( Familia isiwe ya kimasikini)
 
Back
Top Bottom