BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Ziro sugar na yale marangi meusiii yakizama mwilini inakuwaje?😀😀😀
Pepsi BIG ni zero Sugar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ziro sugar na yale marangi meusiii yakizama mwilini inakuwaje?😀😀😀
Pepsi BIG ni zero Sugar
Wala hata😂Unanichora
Sawa tajiriWala hata😂
Kitu kizuri hakibadiliki kwa wewe kukiona cha kawaida uzuri wake unabaki pale pale...Hizo mnazoita pisi ,ukishakuwa na mahusiano naye utamuona wa kawaida sana. Ukivutiwa na uzuri au uhandsome wa mtu bila kigezo kingine, umekwisha.
Nani kakuambia. Kitu chochote ukikizoea unakiona cha kawaida sana.Kitu kizuri hakibadiliki kwa wewe kukiona cha kawaida uzuri wake unabaki pale pale...
Bangosha wanachagua vyeupe dawa, wamefikia wapi kwenye kutengeneza mvuto?Ni ngumu kiasi kukutana na mwafrika attractive, wengi hatuna sura na maumbo ya kuvutia, na sababu kubwa ni kwenye culture hatuchagui wenza wetu, wengi tumezaliwa na watu ambao hawakuchaguana ilitokea tu muda ukifika mwanaume akaamua kuoa au aliletewa na hii imeendelea kwa vizazi hadi vizazi.
Chagua mke au mume wa kuanzisha naye maisha na familia na moja kati ya vigezo viwe attractiveness pia utapata mzao attractive, huwa nashangaa mpaka leo hii utakuta kijana anaoa mwanamke siyo attractive kabisa huwa najiuliza kwa nini lakini?
Shikamoo mdogo wangu😂Poor you!
Keyboard inaweza kumtia mtu ujasiri wa kutukana bara zima, Kwahiyo tukichaguana wazuri tu (sijui kwa mujibu wa nani) wabaya (kwa mujibu wa mleta mada) wauwawe au? 🤣🤣
Naona kuna watu ukoo mzima mngeisha 😂
Dunia imewamezesha beauty standards, imewaambiwa kizuri kiko hivi na hivi na hiki ni kibaya, media zimewafanyia mind controlling na nyie mmejaa mnawaona mashangazi zenu na wajomba zenu wabaya haaaaaa!
Eti Shikamoo mdogo wangu 😂😂😂Shikamoo mdogo wangu😂
Miss you mo.. my Y..sisy.Eti Shikamoo mdogo wangu 😂😂😂
Utalia vibaya soon!
Miss you tho.
"Beauty is in the eye of the beholderNi ngumu kiasi kukutana na mwafrika attractive, wengi hatuna sura na maumbo ya kuvutia, na sababu kubwa ni kwenye culture hatuchagui wenza wetu, wengi tumezaliwa na watu ambao hawakuchaguana ilitokea tu muda ukifika mwanaume akaamua kuoa au aliletewa na hii imeendelea kwa vizazi hadi vizazi.
Chagua mke au mume wa kuanzisha naye maisha na familia na moja kati ya vigezo viwe attractiveness pia utapata mzao attractive, huwa nashangaa mpaka leo hii utakuta kijana anaoa mwanamke siyo attractive kabisa huwa najiuliza kwa nini lakini?
Kwa hayo mashoga ya Ulaya ndio yanavutia? Hivi uko serious au unatania?Ni ngumu kiasi kukutana na mwafrika attractive, wengi hatuna sura na maumbo ya kuvutia, na sababu kubwa ni kwenye culture hatuchagui wenza wetu, wengi tumezaliwa na watu ambao hawakuchaguana ilitokea tu muda ukifika mwanaume akaamua kuoa au aliletewa na hii imeendelea kwa vizazi hadi vizazi.
Chagua mke au mume wa kuanzisha naye maisha na familia na moja kati ya vigezo viwe attractiveness pia utapata mzao attractive, huwa nashangaa mpaka leo hii utakuta kijana anaoa mwanamke siyo attractive kabisa huwa najiuliza kwa nini lakini?
Katika watu ambao sio attractive ni wazungu, yani unaweza kuta manzi ni tall fulani and flat, yani shape no. moja Luler kabisa.Duh hivi mimi labda ndio naona vibaya waafrica sio attractive kina nani hao walio attractive zaidi sasa yaani wasomali, Rwandan, Ethiopian south african tanzanian sio attractive wewe unaumwa..!
Kwani wewe mama ako alikuwa attractive au babako nae aliltewa dunga embe la mtaani tu hakwenda kuchagua kama unavyosemaNi ngumu kiasi kukutana na mwafrika attractive, wengi hatuna sura na maumbo ya kuvutia, na sababu kubwa ni kwenye culture hatuchagui wenza wetu, wengi tumezaliwa na watu ambao hawakuchaguana ilitokea tu muda ukifika mwanaume akaamua kuoa au aliletewa na hii imeendelea kwa vizazi hadi vizazi.
Chagua mke au mume wa kuanzisha naye maisha na familia na moja kati ya vigezo viwe attractiveness pia utapata mzao attractive, huwa nashangaa mpaka leo hii utakuta kijana anaoa mwanamke siyo attractive kabisa huwa najiuliza kwa nini lakini?
Vijana vigezo muhimu hivi hapa:Ni ngumu kiasi kukutana na mwafrika attractive, wengi hatuna sura na maumbo ya kuvutia, na sababu kubwa ni kwenye culture hatuchagui wenza wetu, wengi tumezaliwa na watu ambao hawakuchaguana ilitokea tu muda ukifika mwanaume akaamua kuoa au aliletewa na hii imeendelea kwa vizazi hadi vizazi.
Chagua mke au mume wa kuanzisha naye maisha na familia na moja kati ya vigezo viwe attractiveness pia utapata mzao attractive, huwa nashangaa mpaka leo hii utakuta kijana anaoa mwanamke siyo attractive kabisa huwa najiuliza kwa nini lakini?
Kwa hiyo binadamu unamuita kitu kisichoeleweka kana kwamba unaweza kumuumba,acha kufuru kijana hujayamaliza mda wowote miguu utaweza kutolewa hiyo miguu tutembelea mikono pimbi weweAaaaah wapi hakuna mtu anayetaka kukaa na kitu kisichoeleweka
Sio kweli bhana mwanamke mzuri anabaki na uzuri wake hata umzoee vip...Nani kakuambia. Kitu chochote ukikizoea unakiona cha kawaida sana.