Waafrika wengi siyo attractive, sababu hatuchagui wenza!

Hao Watutsi ,Nyankole ,wambulu nk,ni heritage yenye chimbuko la Ethiopia waliohamia huku kusini kutokana na migration za ufugaji ,na tunajua Makabila ya Ethiopia si wabantu wale

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Sio Wabantu ila ni Waafrika...nenda ET hapo ukakutane na pisi ya hatari harafu unaitoa kijijini huko au hapo Rwanda..
 
Muambie huyo. Kuvutia kwako hakukufanyi uwe muhimu bali mchango wako kwenye jamii. Ulishaona wapi watu wanaalikwa kwanye event muhimu sababu wanavutia?
 
Man fcuk you!
 
Naunga mkono. Ukiwa na sura personal unateseka sana mtaani. You just look violent hata kama hujafanya chochote.
 
mueleze huyo dogo kikojozi.
 
Wanyamwezi wanasema the beauty lies in the eyes of the beholder, na kiuhalisia kila jicho lina ua lake, mtu unaemwona wewe mbaya mi nikampenda kabisa kutoka moyoni (no lie) na nikamwona mzuri (awe mweusi, mweupe, bonge, kimbaumbau, mrefu au mfupi)

Hivyo inategemea na mtu anapenda nini, na huyo ataetokea kwetu basi ameumbwa kwa baraka za alie juu ambae kwake wote tupo sawa na anatupenda pasi na kujali mapungufu yetu nae atapata mtu wa kumpenda
 
Vitu kama hivi,vinaonyesha wazi akili ya mleta mada. Kama anajiona ana mvuto kwa kujichubua,kudanganywa na hawara anaetaka mshiko kwake, akumbuke kuna mtu akimwangalia anamuona kama uchafu na hutamani kutapika.
Huyo huyo anaemuona hana mvuto,ana wake anaempenda kuliko wengine duniani. Jeuri hizi nyingine bhana eh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…