Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Nakumbuka Dec 2021 boss kaenda serengeti na familia yake vacation sisi hatujalipwa Mshahara wa Nov na Dec hata kwenda kula chrismass Moshi huwezi.Mshahara tarehe 57 huko mpaka tarehe 60 shenzi type boss yeye anatanua tu maminazake
Wasenche sana hao Wahasibu wa Private Sector tena wengi Wahasibu wanakua Wanawake na boss ukikuta ni Mwanamke subiri utalipwa tarehe 80kuna taasisi moja muhasibu ndio anajiona kama mkuu wa taasisi anaweza kuamua kuwalipa tarehe 70 na asifanywe chochote yani taasisi binafsi bana boss asipokupenda tu umeliwa kichwa tena umkute boss mwanamke mwenye ma commpobities mbali mbali, sukari ikipanda tu mtalimia meno wote.
Well Noted Mkuu,Jipambanie, ongeza thamani yako kwa juhudi na maarifa, wasipoitambua thamani yako nenda katafute malisho pengine !
Besides baada ya kuhitimu chuo miaka kadhaa nyuma kabla sitapata direction, kuna sehemu nilikuwa najishikiza, ni sekta binafsi,,unafanya kazi kama punda, masaa mengi hakuna cha overtime wala nini,,,unapelekeshwa kama kichaa, kazi imejaa machawa, ndg zao na maboss hata ambao hawana uzoefu na kazi husika wamechazwa wengi nao wanataka waabudiwe, mshahara Mbuzi na mnalipwa mda mwingine hadi tar 10 , nafasi niliyokuwepo nilikuwa na ahueni ya mshahara, niliacha kazi nikaondoka kila mtu aliniona kichaa, lakini moyoni nilikuwa najua yanayonisibu,,,, ! Amua fanya maamuzi sahihi, ushauri usiache kazi kabla ya kupata kazi, mm niliacha kabla ya kupata kazi lakini usiniige!
Sasa apo sio Fani ni uchapakazi wako..Maana Sales and Marketing ndio fani watu wananyonywa kuliko fani zote nadhani πMfano:- Afisa masoko anayeweza kuuza kreti 1000 kwa siku, atakuwa sawa na yule anayeuza kreti 100 kwa wiki?
Bora ukomae hukohuko sekta binafsi maana huku nje ukisema uanzishe biashara ndo umeisha kabisa
All in All, Afya ya Akili ni muhimu tafta mtu wa kubadilishana nae mawazo kumjuza changamoto unaznim
Ni sahihi Mkuu, Businessmen are there to make profit out of youNdugu yangu, nakuunga mkono kabisa, lakini tunarudi palepale, ni asilimia chache sana ambazo utakuta sekta binafsi wanatambua mchango wakooo, we shukuru ulipata sehemu ya watu wanao value kile unafanya
Kuna sekta Ndugu yangu heeeeee,
SEMA kikubwa ni kwamba tutajenhewa uwezo Mkubwa, utakuwa multitask mzuri tu, na ukufanikiwa kutoka hapo ukapanda juu lazima utakuwa na uwezo Mkubwa.
Shida ni kwamba tunapotafuta KAZI hatutafuti tu kujengewa uwezo NO. tunatafuta KAZI kupata pesa ili uwe imara kujijengea uwezo na uwe able kufanya KAZI zako.
Sasa unafanya Kazi, no kupumzika, mshahara utaupata tarehe 39 mpaka 40
Hivi unajenga Nini hapo kama sio kupambana kuondoka.
Kati ya SEKTA binafsi, 90% ni wanoko 10% ndio wanajua Nini wafanyakazi wanahitaji
Mtu mwenye hii fani aliyeiva vizuri hatakiwi kuajiriwaSasa apo sio Fani ni uchapakazi wako..Maana Sales and Marketing ndio fani watu wananyonywa kuliko fani zote nadhani π
Mhhhhhh,Pia tuangalie na fani tulizo soma; kama fani yako anaweza kufanya mtu yeyote, lazima ukubali matokeo.
Ila kama fani yako inagusa 'core function' ya kampuni husika, na uko 'productive' tarehe 15 utakuwa unabembelezwa kupokea mshahara.
Fani yako ni ipi, nikushauri kituMhhhhhh,
Aiseee, hatariNi sahihi Mkuu, Businessmen are there to make profit out of you
Wanamsemo wao "punda afe mzigo ufike"
Wanafanyisha kazi ila maslahi ni duni lakini pia wanachelewesha sana Mishahara ya Wafanyakazi wao.
Binafsi nashukuru wale Jamaa walinipenda Kwa sababu hizo nilizosema.
Waliniudhi kitu kimoja, jamaa walikuwa ni washirikina mno.
Kabla hawajakuajiri, wanaangalia kwanza nyota yako.
Siwezi kuandika yote hapa, ila ile Kampuni ilinipa maisha kiaina
Nenda kwa Mo dewji uone maisha ya watu wa sales...utawaonea hurumaMtu mwenye hii fani aliyeiva vizuri hatakiwi kuajiriwa
JournalistFani yako ni ipi, nikushauri kitu
Kampuni ya Waganga?Waliniudhi kitu kimoja, jamaa walikuwa ni washirikina mno.
Kabla hawajakuajiri, wanaangalia kwanza nyota yako.
πππKampuni ya Waganga?
Nenda kwa Mo dewji uone maisha ya watu wa sales...utawaonea huruma
Mkuu nimesubiria ushauri wako etiHawa wanatakiwa wajiajiri, wawe na 'platform' yao, wapate kamisheni maisha yaende.
Wanatakiwa wajue, wao ndio chanzo cha mabilioni kuingia kwenye kampuni, ndio maana hii kazi kwa huko duniani ndio kazi mojawapo inayoonekana wanalipwa vizuri.
Fanya yafuatayo:-Journalist